Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Asante
 
Ukipata kazi fanya kazi
Acha kazi uone kazi
Asmah ameyatimba na genye zake alitakiwa akaze asikuregezee sababu aloshajua toka awali mazoea na wewe yatamfukuzisha kazi.
 
Kabul Pulao Pilau Pendwa La Pakistan.

Ilikuwa Ijumaa Order ya wateja wangu wapo walotaka Biryani wengine Kabul Pulao pembeni ikisindikizwa na Bisbas Chachandu ya Yemen na Sambharo

Gily Gru mwambie wifi soon nakuja tuipike Kabul Pulao nampa na Secret Ingredients ambayo simpi yoyote kila Chef ana secret yake ya chakula kitamu.
 

Attachments

  • BeautyPlus_20240607210129655_save.jpg
    1.6 MB · Views: 18
  • BeautyPlus_20240607211630102_save.jpg
    1.7 MB · Views: 16
  • BeautyPlus_20240607152326234_save.jpg
    1.6 MB · Views: 16
Nimefikisha taarifa. Wewe tu njoo ule bata🤩
 
CCTV za kazini zilionesha kijana akifanya yake na Asma eneo la ofisi. Mlinzi alitaka amuambie awe makini, maana kila analofanya boss Iryn anaona. Sasa kibarua kimeota nyasi
 
Smart move ya Iryn ni kuwapa zawadi wafanya kazi wake ya IPhone akiwemo Insider na mke wake. Anaona mawasiliano yao na location alipo.

Insider alimpeleka Asmah akapumzika kidogo hapo lakini akajikuta amelala hadi saa 10 alfajiri. Hapa Iryn aliona simu zikisoma location moja masaa zaidi ya 4 lazima ahisi kuna jambo linaendelea. Halafu Insider huyohuyo alichukua simu ya Asmah na kuindoa scam spy app za Iryn. Hii ilikuwa kengele kuwa mali Italiwa badly na Iryn hatakuwa na chake. Simu alizogawa Iryn kama zawadi kwa wafanyakazi ndio ulinzi wake kibiashara na kwa mtu anayempenda. Gari aliyokuwa anatumia ni ya Iryn je aliikagua kujua kama kuna Camera zile za usalama ambazo mara nyingi ni ngumu kugundua kama sio mtaalamu wa hayo mambo. Pia vipi hiyo gari kama ina GPRS nayo inaonyesha location alipo hata kama kwenye simu ameondoa spy programs?

Kuna mifumo ipo sasa hivi mtu akitaka kujua mliyokuwa mnaongea anawapa pesa vijana wa taasisi fulani wana download maongezi yenu yote wanamtumia.

Bado Hilda na Sumaiya anawatafutia angle ya kuwatimua
 
Gari alirudisha kitambo. Nahisi ndani ofisini Kuna cctv au kwenye simu kulikua na spy software. Hata yeye mwenyewe Insider Man anaweza kuwa amewekewa kwenye simu yake.
 
Gari ya Iryn n audi sio jeep
 
Kwa mkewe yupi?

Hiyo jamaa hajaoa, kazaa na mama J na hawajala kiapo. kisha kamkula bosi wake hadi kumjaza mimba, na huyo hawajala kiapo.

Sasa mkewe ni nani hapo?
Mama J ndio mkewe hiyo haipingwi mzee, ndoa sio yale makaratasi mzee baba!!. Ndio maana hata akae nje mpaka saa 8 za usiku, bado mahala pa kurud ni kwa mama J. Huyo ndio mkewe
 
Mama J ndio mkewe hiyo haipingwi mzee, ndoa sio yale makaratasi mzee baba!!. Ndio maana hata akae nje mpaka saa 8 za usiku, bado mahala pa kurud ni kwa mama J. Huyo ndio mkewe
Kinachomfanya mama J umtambue kuwa ni mke ni kule kuzaa na kuishi nyumba moja na insider man?

Vipi Iryn naye akizaa kisha insider akahamia sauzi kuishi naye atakuwa mkewe?

Walioanzisha ndoa za makaratasi hawakukurupuka jichanganye ule kiapo kisha utelekeze mwanamke ndio utajua maana yake.
 
Ahahahah.
Mama J ndio mke wa jamaa bwana hata iweje. By the way ndio character pekee ninayempenda katika story nzima.
 
Na ndio maana kulikuwa na kikao kule ukweni kwa insider,kikaja kikao cha mama insider,mama j na insider.
Maana yake pamoja na wao kuzaa na kuishi pamoja bado kuna jambo la msingi linatakiwa lifanyike ( kufunga ndoa).
Ila kibongo bongo mama j ndio mwenye mali na tunaweza kusema ndio mwenye mamlaka na insider au insider kuwa na mamlaka na mama j ,sabaabu ni watu wanaotambulika kwenye familia zao zote mbili kwamba wapo pamoja.ni sawa kusema " mkewe".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…