INSIDER MAN
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 2,005
- 19,579
- Thread starter
- #121
Nzur bro next episode lin
Badae naweza kutupia mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nzur bro next episode lin
Utanitag mkuu naisubirBadae naweza kutupia mkuu.
Usitie presha mzee twende taratibu tu, kwenye matukio uliyopitia ndio kuna mambo ya kujifunza na kuyajua.Ntajitahidi kusummarize hii story ile nifike kwenye point, na nitagusia matukio machache sana japo nilikutana nayo mengi sana. Ntakua short but clear.
usiwe na haraka mkuu twende mdogo mdogo..sisi tupo kujifunzaNtajitahidi kusummarize hii story ile nifike kwenye point, na nitagusia matukio machache sana japo nilikutana nayo mengi sana. Ntakua short but clear.
UtatutagNina story yangu bado sijaimaliza, nasubiria niimalize kabisa nikiiweka humu. Naepuka kuandika vipande vipande huku story inasomwa. Ni usumbufu kwangu lakini hasa kwa wasomaji.
Ata kma ukitaka kutupiaNina story yangu bado sijaimaliza, nasubiria niimalize kabisa nikiiweka humu. Naepuka kuandika vipande vipande huku story inasomwa. Ni usumbufu kwangu lakini hasa kwa wasomaji.
Interesting....nitarudiEPISODE 4
Wakati naanza hii kazi Mama Junior alikua hayupo home, alikua kwao ni mimi ambaye nilimpa ruhusa aende akapumzishe akili baada ya dada wa kazi kwenda kwao. Niliona mazingira ya kubaki peke yake na mtoto bila mtu wa kumsaidia mke wangu angeteseka, uzuri kwao ni hapahapa dar. Mama Junior ni mwanamke ambaye ana wivu sana na mimi kiasi kwamba huwa anahisi mimi nachepuka, inshort niseme ni mwanamke ambaye ananipenda sana.
***
Naam! ilikua ni jumatatu tulivu sana, nikakurupuka kitandani kucheki muda saa 5 asubuhi. Wakati naangalia muda nakutana na mcd calls za kutosha, nikakutana na messages,
“Bro! Good morning, how you doing??” -Manuel
“I’m worried about you..”- Manuel
“Kaka habari yako, ni mimi maggy uliyenipeleka Airpot last week, nahitaji tuonane leo if possible”- 0712*********
“Bae! Kwanini hupokei simu zangu? Upo na nani?”- Mama Junior
Kabla sijajibu hizo message nikacheki missd calls
“Mama Junior, 6 “
“Manuel, 2”
“New number, 1”
Akili yangu ikawa inawaza nianze na nani kati ya hao, nikaanza kupigia Manuel kwanza akapokea nikamshukuru kwa kampani ya pale Kidimbwi akanambia kama ntapata nafasi nipitie pale Sea cliff kuna kazi nyingine ya kufanya.
Nikampigia simu Maggy tukaongea akanambia anytime ukifika Posta utanicheki nikamwambia “sawa”.
Nikapiga simu namba ngeni, kupokea alikua ni mama mmoja hivi nilishawai mpakia, na yeye anafanyia kazi moja ya bank pale Posta, Azikiwe.
Nikampigia simu Mama Junior niliamua awe wa mwisho sababu namfahamu vzr, na kwa kitendo cha kutopokea simu zake na kujibu messages nilijua lazima atakua kafura.
Nikampigia simu … [emoji338]
Mama Junior: “Umeshaagana na wanawake zako ndo umeona sasa unitafute kwa muda wako…, Unaweza kunambia jana ulikua wapi? na umelala wapi?”
Mimi: “ Jamani… ndo salamu hiyo?”
Mama Junior: “ Baba Junior tafadhali naomba maelezo…, mwezi umepita hata kuja kutuona na mwanao hutaki, una mambo yako wewe”
Mimi: “ Mke wangu usifike huko… jana nilikua na washikaji walinipa mwaliko, nikaingia night sana, hapa ndo naamka…, hata hvo nimekupigia nikupe habari njema”
Mama J: “Habari zipi..?”
Mimi: “Mwezi wa 12 huu Christmas nataka wewe na Junior mpendeze, piga hesabu na gharama zote then Nitumie”. Hapa nilikua nimemmaliza hata hasira zikaisha kabisa.
Mama J: “Sawa haina shida, I love you. Takecare”
Nikaamka kitandani kwenda kuoga, kwanza nilikua na mahangover ya pombe, nilipeleka backet 2 za heineken sio mchezo, na ukicheki mpaka muda huo sijapata hata soup, kwa wanywaji nadhani huwa mnajua. Dizaini kama nikawa na kauvivu ka kwenda mzigoni, lakini nikasema hapana lazima niende nipige hata kidogo then nionane na hawa watu.
Nilikua napambana sana kutafuta wateja wa private ili niwe na uhakika wa kazi na kupata pesa nyingi. “Nakumbuka Dullah alinisisitiza sana nijitahid sana kuwa na wateja wa private maana hawa ndo kila kitu, App sometimes zinazingua kuna siku kazi zinakua ngumu”. Mfano kwa kila trip kamisheni ya Uber/bolt ni 25% yaani kama ubao unasoma 100,000/= hapo 25,000 ni yao yako 75,000, kwenye hio 75 hujatoa cost za mafuta, parking fee nknk. Ili uweze kupata faida ya angalau 30,000 kwa siku inabidi uingize kuanzia 70,000.
Kuna wale ambao wanaendesha kwa mikataba unakuta kwa bossy anapeleka 25,000-30,000, inabdi apambane kwa siku apate kuanzia 100,000/=, hapo unaona inabdi akili ya ziada sana.
********
Nikaingia mzigoni kama kawaida nikapiga mzigo nikapata mteja wa kwenda pale Aga khan, baada ya kumshusha mteja nikawaza kuonana na Maggy nijue anaishu gani na pia nikakumbuka na yule mama wa azikiwe. Nikasema leo ni “Two birds one stone” napiga ndege wa2 kwa jiwe moja.
Nikamvutia waya Maggy, akanilekeza ofisi yake ni pale Golden Jubilee tower, bhasi mimi nikasogea mpaka pale mtaa wa Ohio nikapark gari oppositie na Golden jubilee. Nikamtext [emoji187] ilikua saa inasoma 9 kasoro mchana.
MIMI: “hey boss niko around”
Maggy: “Umepark wapi?”
Mimi: “Opposite hapa na jubilee, near kibanda cha Mpesa”
Maggy: “Ok nakuja soon, bossy!”
Haikuchukua dakika 10 Maggy akawa amefika kwenye eneo la tukio tayari, nikamsalimia na nikamsifia “you look great”, akatabamu akanambia “nawe pia”.
“So tunafanyia haya maongezi hapahapa, au ndani ya gari??”. Nilimwuliza
Akanambia sijala kwanini tusiende cafe? nikakumbuka hata mimi nilikua sijala chakula cha maana toka niamke, lakini nilikua sisikii njaa.
Nilikokuwa nimepark gari kwa nyuma yake au tusema opposite na “IT plaza” kulikuwa na cafe pale, bhs ndo tuliingia pale, mimi nikaagiza “dona choma” yeye akaagiza “kiepe yai, kuku”. Hiki kicafe ndo niliingia kwa mara ya kwanza, ofcourse nilikipenda wanachakula kitamu afu ni cheap, so kila nikija Posta hapa ndo nilikua nakula msosi.
Tukaanza pale kupiga story sana, Maggy alikuwa anaongea “mimi usafiri wangu ni Uber kila siku asbh pamoja na kurudi so kama upo tayari uwe unakuja asubuhi kunichukua unanipeleka ofisn then jion sa12 unanirudisha home. Pia ninakazi nyingi sana huwa zinatokea hata za siku nzima, Uber wengi gari zao sio safi na wateja wetu wengi ni foreigners, jinsi ulivyo smart na gari yako safi ntakua na amani na wateja wangu.
Nikamwuliza before mimi ulikua unafanyaje? Akanambia nilikua namtu nafanya naye kazi ila hazingatii usafi wa gari. Mimi nikatabasamu pale,
Mimi nikamwambia suala la kuja kukuchukua niachie nilifanyie kazi ntakucheki badae tuyajenge kama tutaafikiana tutafanya kazi lakini suala la wateja wako mimi sina shida hili naweza kupa jibu la direct hapahapa, nikamwambia hao muda wowote nipigie simu hata Arusha tunakwenda, hata kama unasafari nje ya mkoa mim sina tatizo.
Tukaagana pale huku nikimwahidi badae nitamtafuta, palepale nikamcheki mama yangu wa azikiwe, Palepale nikampigia simu lakini hakupokea ghafla ikaingia text “Call you letter”, nikamtext back chap “niko Posta”, akanijibu “Na kikao nitakupigia nikitoka”. Nikamjibu “Ok”.
Kucheki muda ilikua saa 10 kasoro tayari nikasema acha nimsubiri huyu mama then nielekee Masaki kuonana na Manuel. Ukweli nilikuwa natamani sana kupiga story na Manuel maana ni mtu ambaye alitokea kunikubali sana afu hakuwa na roho ya kinyongo ni mtu poa sana. Nilitamani kuongea naye mengi kuhusu Siwtzerland ( “Switzerland ni moja ya nchi nzuri sana kwa foreigners, kusoma, hata upatikanaji kazi”). Plan zangu kubwa ni kutengeneza connection nijue namna kufika kule na masuala mengine.
Wakati narudi kwenye gari yangu nikaona kuna Uber kibao wametega around na mimi, nikaona kikundi cha washikaji wakipiga story nikajua wale ni Uber, bhs nikasogea pale kujumuika na mimi.
Matajiri kwema? za kazi?, wote wakajibu nikawaambia bila shaka nyinyi ni Uber, ndomana namimi nimesogea hapa nimevutiwa na story. Kwa muda mfupi tukawa kama watu ambao tunajuana kitambo.
Unajua story za madereva wa Uber nyingi ni kuhusu madem tu[emoji3][emoji3], ukiona Uber wamekaa kwenye vijiwe vyao hizo ndo story zo kubwa huji kuta wakipiga story za maendeleo hata siku moja. Inshort madem wanaliwa sana na madereva wa Uber.
Pale Posta najuana sana na maderva wa Uber wengi wananiitaga “Wakishua” sababu mimi muda wote niko smart na gari nayo ipo smart, hii ilipelekea kupendwa sana wa abiria.
********
Tulikua watu 6 pale lakini kadri muda ulivyokua ukienda na wahuni walizidi kupungua ikafika stage tukabaki wawili,, “Request ndo zilikua zinatupunguza maana kuanzia saa 11 jion ni muda ambao request zinakua nyingi sana Posta, demand ya ya Uber inakua juu sana hata rate ya nauli inakua juu sana.
Mpaka saa 11 naona kimya yule mama wa Azikiwe hajanitafuta, sikutaka kumtafuta kwanza nitaonekana kama mimi ndo nashida, then ataniona cheap sana, kwanza kitendo cha kumsubiri mpaka saa11 nilijiona fala sana.
Nika switch online App yangu nikaset destination ya kwenda Sea cliff, “ipo hivi kama unataka mteja wa kwenda Masaki au Posta, bhs kwenye App unaset destination, hivyo utapata request zinazoelekea usawa huo inaweza isiwe exactly point ila atlist inasaidia”. So kitendo cha kuweka destinationa haikuchukua muda nikapata request ya mteja alikua anaelekea Coral beach.
Nikamshusha customer pale Coral beach nikachukua uelekeo wa Sea cliff, kutoka Coral mpaka Seacliff sio mbali sana, ilikua chap tu niko pale tayari. “Wakati nakaribia Coral nilikua nishampanga tayari Manuel so akanambia nitamkuta pale Karambezi”.
Nikafika pale Karambezi nikamzoom Manuel kwa mbali ofcourse hapakua na watu wengi sana palikua kawaida tu. Tukasalimiana pale story zikaanza, story kubwa nilikua namwuliza namna ya kufika Switzerland na ishu za kazi especially unskilled jobs. “Njia rahisi ya kuingia chap ni scholarship au kusoma, hapo ni rahisi sana ila kama unakua umepata kazi bhasi mwajiri wako akupambanie visa japo huwa inachukua muda sana na gharama yake kubwa. Kama unataka kuingia wewe apply chuo, I recommend you to use this way, ukishafika ukaanza masomo kama mastars ni mwaka mmoja tu umemaliza, ukiwa unasoma kuna mishe nyingi sana za kufanya kule kama viwandani, mashambani, migahawani nknk” Manuel alikua akiongea.
Manuel mbinu nyingine ya kutumia ya haraka bhasi uoe mswiss hapo unapewa na uraia kabisa, “Nigerians wanatumia sana hii mbinu, wanaoa sana wamama watu wazima” nilicheka sana.
Ishu nyingine kubwa pia jumatano na alhamis nitakua na ratiba ya kutembelea vituo vya watoto yatima kwa Dar, ijumaa tutakwenda kibaha na Bagamoyo, ila kwa Jumamosi utaangalia wapi unatupeleka, then J2 tutaondoka kurudi Switzerland. Manuel alikua akiongea.
Akanionesha vituo tutakavyotembelea nikaona kuna sinza, tegeta, bunju, Kunduchi, Kimara, Kigamboni. Tukakubaliana 600,000/= ( 200,000/= per day) kuhusu jumamosi nikamwambia ntawapa offa, muda ule tulikua tunaikimbiza “pearly bay wine”. Nikamwambia bro jana dizaini kama haukuwa free kule Kidimbwi, alicheka sana akanambia “bro! next time gonna be lit,”. Tukaagana pale.
“The way nilivyomwona Manuel nilihisi kama mtu wa madem sana” huko mbele mtaona.
Before sijatoka pale Karambezi mama yetu alikua kanipigia simu ila sikupokea, so wakati natoka ilikua ishapita saa tayari, na saa yangu ilikua inaonesha ni saa 19:05. Nikampigia simu akanambia karudi home kama vipi niende kwake haina shida, “nikaona mama anaongea ujinga, yaani mimi niende kwake??”. Nikamwambia mama haiwezekani kama muhimu sana tuonane pale Raibow , huyu mama alikua anakaa kule chini Mbezi Beach karibu na Rainbow. “So hakukataa akakubali tuonane pale tuongee”.
Nikawa nawaza huyu mama anataka nini kwangu? Nikachoma mafuta mpaka pale Rainbow mbili kasoro dakika nikawa pale, wakati niko Kawe alikua kanijulisha kafika tayari.
Kufika pale nikaingia ndani nikamkuta amekaa anakunywa savannah, duu! nilijisemea huyu mama hatari au ndo anaongeza nyege!??.
Mimi: Habari yako bossy
Mama: Salama tu, ndo unatoka mishemishe?
Mimi: kama unavyoona, umeniweka sana pale Posta
Mama: jamani pole, kwani ulikua unanisubiri?!
Mimi: Ndio, maana hukusema niondoke! anyway nimeitikia wito bossy wangu, nakusikiliza, what’s a deal?
Mama! Ninataka asubuhi uwe unanichukua na mwanangu, lakini mtoto unamwacha pale mikocheni Warioba( hii shule ipo karibu na msikiti wa mwinyi).
Mimi: Sawa mama, sasa mbona hili lilikuwa lakuongea kwenye simu tu na tukamaliza, au ulitaka kuniona??( nilikua nimekazia macho)
Mama: Huku akicheka, unaonekana mpole sana ila ni mwongeaji sana, unavituko sana.
Mimi: Una watoto wangapi?
Mama: Wawili tu, wakwanza wa kike yuko form 5, wapili yuko standard 3, wote wa kike.
Mimi: wow! am luckiest man, huyo wa form 5 nitunzie ntakua mkwe wako.
Mama: utanibakia mwanangu bure!!
Mimi: So unakunywa beer usiku huu, baba watoto akirudi inakuaje??
Mama: Mume namtolea wapi mimi?, naishi na wanangu tu. Unajua wewe haunywi kama unanichora hapa!
Mimi: Hilo tu usijali, siku ntakupeleka Kidimbwi tukanywe wote.
Mama: Huku akicheka, unavituko sana mimi nishachuja tayari huko wanaenda damu mbichi.
Mimi: unaweza kujiona umechuja ila mimi bado nakuona upo hot sana.
“Huyu ni mama wa kichaga mweupe anashepu nzuri, ni mama kijana afu anajipenda sana huyu age yake anavyoonekana ni 40s ni mama kijana.
Mama: huku akicheka, we kaka unavitukoa sana,
Kwa muda tulio kaa na mama nilikua nishamcontol kwa maongezi na kila kitu kama ningetupia voko angeingia king.
Tukakubaliana pale atanilipa 12,000 kwa trip ila nikamwambia nitaanza jumatatu ya week inayokuja, mama hakuwa na shida kabisa.
“Unajua hawa wateja sometimes nilikua nawapa utani ili kuendelea kuwasogeza karibu na awe huru, haipendezi muda wote kuwa kauzu.”(Kanuni ni kwamba kama mteja ni mwongeaji na wewe kuwa mwongeaji, kama kauzu na wewe kuwa kauzu, hii ndo iliku principle yangu).
*****
Nikatoka pale na furaha sana, hesabu kichwani ni kumalizana ma Maggy hapo tayari na vichwa 2 na vyote vinakwenda Posta. Ilikua saa 3 usiku tayari nikamtext Maggy, palepale akani text back ni kama alikua anasubiri text yangu. Nikampandia hewani nikamwuliza anakaa Mikocheni gani akanambia karibu na shule ya Alpha. Nikamwambia nitakuwa nampeleka tu ila kurudi kama nitakua around nitakuwa namcheki, hakuwa na noma akakubali, tukakubaliana 10,000.
Mnajua kwanini sikutaka kazi ya kumpeleka na kumrudisha? niliwaza nitakua mtumwa, kwanza utakua na stress upo zako mbweni huko afu sa11 umfuate mteja Posta unakua mtumwa, sikutaka hii kitu kabisa, au jambo lingine muda wa kwenda kazini unaeleweka wakati wa kurudi hauleweki, sikutaka kuchoma mahindi bila sababu ya msingi.
Palepale nikapata idea ya kutengeneza mkataba wa kazi, nikachukua laptop nikadizaini mkataba wangu vizuri kabisa, nikaweka mpaka sehem ya kusaini mwanasheria, sikutaka masikhara na kazi kabisa, na pia nilitaka wateja wanione niko serious.
******
Jumatano ilifika huyo nikaenda Seacliff pale kumchukua Manuel lakini this time alikua yeye na Alex tu, tukasalimiana pale. Tulielekea kwenye hivyo vituo walikua wanafanya research zao na kupiga picha. Tulitembelea vituo vyote tukamaliza kwenye sa11 jioni, nikawarudisha mimi nikaendelea na kazi yangu. Kesho yake tukatembelea vituo vingine ile kazi tuliimaliza jioni pia.
Ijumaa ndo siku ya kwenda kibaha na Bagamoyo, kama kawaida tukaenda huko wakafanya mambo yao hii siku tulirudi usiku sana, nikawadrop pale Seacliff lakini Manuel akaomba tukapate dinner then niondoke, sikukataa tukaelekea Karambezi pale.
Ile tunaingia mlango mkubwa wa kwenda Karambezi nakutana na Ex wangu, Tangu nimemaliza chuo sikuwai onana naye ilikua ishapita miaka 3 na yeye alikua 2nd yr that time, nilikua nimemwacha mwaka 1 mbele.
Yeye ndo aliyeniona akaniita jina langu “INSIDER”, Manuel ndo aliyeskia wakati akiniita. Bro somebody is calling you, kucheki namwona Angel (code), wow akaja akanihug kwa nguvu, mpaka Manuel akashangaa!!!
Nilishangaa sana kukutana naye pale ofcourse alikua na rafiki yake afu walikua wakitoka, huyu alikua dem wangu wa chuo enzi hizo baada ya kumaliza chuo aliniacha asee!!, this time tunakutana nimebadilika, nimenawiri,afu niko na wazungu.
Akaomba namba yangu sikutaka kumpa, nikamwambia anipe yake ntamcheki…..
Angel ni mwanamke ambaye nilianza naye mahusiano wakati niko chuo, so wakati wao wanaanza first year mimi ndo nilikutana naye na kuweka ukaribu hatimae tukaanza mahusiano. Tulidumu kwa kipindi chote cha miaka 2, tulipendana sana mpaka masela zangu wa chuo walikua wanaamini huyu mrembo namwoa. Kilichotokea baada ya kumaliza chuo zilianza sababu, mara hapokei simu, ubusy mwingi, nikaanza pata report kutoka kwa masela anaonekana na mwanaume uyo moja kila maeneo, mimi kama mwanaume nikajua hapa sina mtu, nika move on.
********
Tuliagana ma Manuel pale Seacliff ili asubuhi niwai kuwabeba twende misele, ile jumamosi asubuhi by saa 3 nilikua pale. Wakatoka wote hao tukaanza safari plan yetu tuanze na “Ununio beach”, Manuel akaomba twende na “Haile Selasie Road” kuna vitu akanunue vya asili. Sehemu yenyewe tuliyokwenda ni karibu na filling station ya Puma au kama unatokea “Samaki samaki” kuna barabara inakunja kulia kama unakwenda CCBRT, sasa kwenye ile kona kushoto kuna supermarket inaitwa “Shrijee”, sasa pembeni ya supermarket kuna jamaa wanauzaga vitu vya asili kama, picha, vinyago, kacha nknk.
Manuel aliingia na ndugu zake wakanunua picha, vinyago, kacha kuna vingine waliweka kwenye mfuko vingi. Wakati tunatoka pale akanambia tupitie pale Puma, akamwambia dada ajaze full tank, “nilivyosikia full tank, nilihisi moyo wangu kupasuka kwa furaha”, huyu Manuel anaroho nzuri sana, ni moja wa wazungu wenye roho nzuri sana.
Kwenye saa 5 tulikua tuko pale Ununio Beach Ofcoz walipapenda sana na ile mandhari walienjoy sana, mimi ndo nilikua kama director pale. Nakumbuka tulikwenda “Mahaba Beach” kule kulikua kuna samaki wengi sana wabichi, wavuvi ndo kama centre yao, bhs tulichoma sana samaki pale.
Tulitoka pale mchana tunaenda “Coco beach” tukala sana mihogo pale na mishikaki, usiku ilikua imefika muda unagonga kwenye moja kasoro, Manuel akasema twende tukapate dinner moja ya cafe nzuri pale Masaki afu tukamalize bata letu Samaki Samaki. “Wakati tunapita pale samaki samaki asubuhi Manuel alipaona akanambia badae tunakuja hapa”.
Nikawadrop wajiandae then tukaenda pale “The tribe” tukapata dinner hao tukamalizia pale Samaki samaki. Kama mnavyojua vibe la Samaki samaki tulienjoy sana lakini hawakukaa sana maana jumapili ndo walikua wanatakiwa kuondoka. Nikawarudisha Seacliff na mimi nikarudi kulala ili asubuhi mapema niwe pale kuwachukua kuwapeleka Airpot.
Naam asubuhi mapema saa 2 na madakika nilikua pale, wao walikua wanatakiwa “kuchek in “ pale Airpot 10:00 AM. Nikaingiza gari mle ndani Seacliff karibu na mlango wa kuingilia tukapark vitu hao safari ya Airpot, ndani ya nusu saa tulikua tumefika Termninal 3, hakukua na foleni kabisa.
Tulipiga picha za pamoja pale kama ukumbusho, wale wazungu walifurahi sana, nilipata nafasi ya kuongea na Sophie lakini sikuchukua namba nikaopotezea.
Nikawa escot mpaka ndani pale tunaongea sana na Manuel akanambia “You are my brother here in Tanzania, I’ll never stop calling you bro!”, alitoa noti 2 za Dolla 100 akanipa, nilimkatalia akanambia “bro hizi pesa sio zako nampa Junior, mfikishie”. Pale nikaishiwa pozi ikabidi nipokeee tukapeana hug na mimi nikatoka zangu kurudi parking ili niondoke.
Niseme kwamba kukutana kwangu na Manuel ilikua baraka sana kwani ndani ya week 2 niliingiza pesa nyingi sana na pia niliishi maisha mazuri sana. Nikapiga hesabu ndani ya siku ambazo nimefanya nao kazi nilikua nimeingiza $1,050 na bado alikua ananipa offa za lunch, dinner nknk.
Nikawaza hapa leo niende kwa Mama J nikamsalimie na Junior maana ilikua inakwenda mwezi wa 2 hatujaonana live zaidi ya video call tu. Nikasema hizi pesa nimepewa kwaajili ya junior acha nikanunue baadhi ya mazaga niwapelekee itakayobaki ntampa mama J.
Nikaingia Mlimani city nikanunua baadhi ya vitu nikaelekea boko kwenda kuiona familia yangu, ile nimeingia kwenye gari nikamkumbuka Angel, nikasema ngoja nimpigie maana alionesha anahamu sana ya kuongea na mimi, nikachukua simu ili nimpigie..
ITAENDELEA
Boss tushushie episodesEPISODE 4
Wakati naanza hii kazi Mama Junior alikua hayupo home, alikua kwao ni mimi ambaye nilimpa ruhusa aende akapumzishe akili baada ya dada wa kazi kwenda kwao. Niliona mazingira ya kubaki peke yake na mtoto bila mtu wa kumsaidia mke wangu angeteseka, uzuri kwao ni hapahapa dar. Mama Junior ni mwanamke ambaye ana wivu sana na mimi kiasi kwamba huwa anahisi mimi nachepuka, inshort niseme ni mwanamke ambaye ananipenda sana.
***
Naam! ilikua ni jumatatu tulivu sana, nikakurupuka kitandani kucheki muda saa 5 asubuhi. Wakati naangalia muda nakutana na mcd calls za kutosha, nikakutana na messages,
“Bro! Good morning, how you doing??” -Manuel
“I’m worried about you..”- Manuel
“Kaka habari yako, ni mimi maggy uliyenipeleka Airpot last week, nahitaji tuonane leo if possible”- 0712*********
“Bae! Kwanini hupokei simu zangu? Upo na nani?”- Mama Junior
Kabla sijajibu hizo message nikacheki missd calls
“Mama Junior, 6 “
“Manuel, 2”
“New number, 1”
Akili yangu ikawa inawaza nianze na nani kati ya hao, nikaanza kupigia Manuel kwanza akapokea nikamshukuru kwa kampani ya pale Kidimbwi akanambia kama ntapata nafasi nipitie pale Sea cliff kuna kazi nyingine ya kufanya.
Nikampigia simu Maggy tukaongea akanambia anytime ukifika Posta utanicheki nikamwambia “sawa”.
Nikapiga simu namba ngeni, kupokea alikua ni mama mmoja hivi nilishawai mpakia, na yeye anafanyia kazi moja ya bank pale Posta, Azikiwe.
Nikampigia simu Mama Junior niliamua awe wa mwisho sababu namfahamu vzr, na kwa kitendo cha kutopokea simu zake na kujibu messages nilijua lazima atakua kafura.
Nikampigia simu … [emoji338]
Mama Junior: “Umeshaagana na wanawake zako ndo umeona sasa unitafute kwa muda wako…, Unaweza kunambia jana ulikua wapi? na umelala wapi?”
Mimi: “ Jamani… ndo salamu hiyo?”
Mama Junior: “ Baba Junior tafadhali naomba maelezo…, mwezi umepita hata kuja kutuona na mwanao hutaki, una mambo yako wewe”
Mimi: “ Mke wangu usifike huko… jana nilikua na washikaji walinipa mwaliko, nikaingia night sana, hapa ndo naamka…, hata hvo nimekupigia nikupe habari njema”
Mama J: “Habari zipi..?”
Mimi: “Mwezi wa 12 huu Christmas nataka wewe na Junior mpendeze, piga hesabu na gharama zote then Nitumie”. Hapa nilikua nimemmaliza hata hasira zikaisha kabisa.
Mama J: “Sawa haina shida, I love you. Takecare”
Nikaamka kitandani kwenda kuoga, kwanza nilikua na mahangover ya pombe, nilipeleka backet 2 za heineken sio mchezo, na ukicheki mpaka muda huo sijapata hata soup, kwa wanywaji nadhani huwa mnajua. Dizaini kama nikawa na kauvivu ka kwenda mzigoni, lakini nikasema hapana lazima niende nipige hata kidogo then nionane na hawa watu.
Nilikua napambana sana kutafuta wateja wa private ili niwe na uhakika wa kazi na kupata pesa nyingi. “Nakumbuka Dullah alinisisitiza sana nijitahid sana kuwa na wateja wa private maana hawa ndo kila kitu, App sometimes zinazingua kuna siku kazi zinakua ngumu”. Mfano kwa kila trip kamisheni ya Uber/bolt ni 25% yaani kama ubao unasoma 100,000/= hapo 25,000 ni yao yako 75,000, kwenye hio 75 hujatoa cost za mafuta, parking fee nknk. Ili uweze kupata faida ya angalau 30,000 kwa siku inabidi uingize kuanzia 70,000.
Kuna wale ambao wanaendesha kwa mikataba unakuta kwa bossy anapeleka 25,000-30,000, inabdi apambane kwa siku apate kuanzia 100,000/=, hapo unaona inabdi akili ya ziada sana.
********
Nikaingia mzigoni kama kawaida nikapiga mzigo nikapata mteja wa kwenda pale Aga khan, baada ya kumshusha mteja nikawaza kuonana na Maggy nijue anaishu gani na pia nikakumbuka na yule mama wa azikiwe. Nikasema leo ni “Two birds one stone” napiga ndege wa2 kwa jiwe moja.
Nikamvutia waya Maggy, akanilekeza ofisi yake ni pale Golden Jubilee tower, bhasi mimi nikasogea mpaka pale mtaa wa Ohio nikapark gari oppositie na Golden jubilee. Nikamtext [emoji187] ilikua saa inasoma 9 kasoro mchana.
MIMI: “hey boss niko around”
Maggy: “Umepark wapi?”
Mimi: “Opposite hapa na jubilee, near kibanda cha Mpesa”
Maggy: “Ok nakuja soon, bossy!”
Haikuchukua dakika 10 Maggy akawa amefika kwenye eneo la tukio tayari, nikamsalimia na nikamsifia “you look great”, akatabamu akanambia “nawe pia”.
“So tunafanyia haya maongezi hapahapa, au ndani ya gari??”. Nilimwuliza
Akanambia sijala kwanini tusiende cafe? nikakumbuka hata mimi nilikua sijala chakula cha maana toka niamke, lakini nilikua sisikii njaa.
Nilikokuwa nimepark gari kwa nyuma yake au tusema opposite na “IT plaza” kulikuwa na cafe pale, bhs ndo tuliingia pale, mimi nikaagiza “dona choma” yeye akaagiza “kiepe yai, kuku”. Hiki kicafe ndo niliingia kwa mara ya kwanza, ofcourse nilikipenda wanachakula kitamu afu ni cheap, so kila nikija Posta hapa ndo nilikua nakula msosi.
Tukaanza pale kupiga story sana, Maggy alikuwa anaongea “mimi usafiri wangu ni Uber kila siku asbh pamoja na kurudi so kama upo tayari uwe unakuja asubuhi kunichukua unanipeleka ofisn then jion sa12 unanirudisha home. Pia ninakazi nyingi sana huwa zinatokea hata za siku nzima, Uber wengi gari zao sio safi na wateja wetu wengi ni foreigners, jinsi ulivyo smart na gari yako safi ntakua na amani na wateja wangu.
Nikamwuliza before mimi ulikua unafanyaje? Akanambia nilikua namtu nafanya naye kazi ila hazingatii usafi wa gari. Mimi nikatabasamu pale,
Mimi nikamwambia suala la kuja kukuchukua niachie nilifanyie kazi ntakucheki badae tuyajenge kama tutaafikiana tutafanya kazi lakini suala la wateja wako mimi sina shida hili naweza kupa jibu la direct hapahapa, nikamwambia hao muda wowote nipigie simu hata Arusha tunakwenda, hata kama unasafari nje ya mkoa mim sina tatizo.
Tukaagana pale huku nikimwahidi badae nitamtafuta, palepale nikamcheki mama yangu wa azikiwe, Palepale nikampigia simu lakini hakupokea ghafla ikaingia text “Call you letter”, nikamtext back chap “niko Posta”, akanijibu “Na kikao nitakupigia nikitoka”. Nikamjibu “Ok”.
Kucheki muda ilikua saa 10 kasoro tayari nikasema acha nimsubiri huyu mama then nielekee Masaki kuonana na Manuel. Ukweli nilikuwa natamani sana kupiga story na Manuel maana ni mtu ambaye alitokea kunikubali sana afu hakuwa na roho ya kinyongo ni mtu poa sana. Nilitamani kuongea naye mengi kuhusu Siwtzerland ( “Switzerland ni moja ya nchi nzuri sana kwa foreigners, kusoma, hata upatikanaji kazi”). Plan zangu kubwa ni kutengeneza connection nijue namna kufika kule na masuala mengine.
Wakati narudi kwenye gari yangu nikaona kuna Uber kibao wametega around na mimi, nikaona kikundi cha washikaji wakipiga story nikajua wale ni Uber, bhs nikasogea pale kujumuika na mimi.
Matajiri kwema? za kazi?, wote wakajibu nikawaambia bila shaka nyinyi ni Uber, ndomana namimi nimesogea hapa nimevutiwa na story. Kwa muda mfupi tukawa kama watu ambao tunajuana kitambo.
Unajua story za madereva wa Uber nyingi ni kuhusu madem tu[emoji3][emoji3], ukiona Uber wamekaa kwenye vijiwe vyao hizo ndo story zo kubwa huji kuta wakipiga story za maendeleo hata siku moja. Inshort madem wanaliwa sana na madereva wa Uber.
Pale Posta najuana sana na maderva wa Uber wengi wananiitaga “Wakishua” sababu mimi muda wote niko smart na gari nayo ipo smart, hii ilipelekea kupendwa sana wa abiria.
********
Tulikua watu 6 pale lakini kadri muda ulivyokua ukienda na wahuni walizidi kupungua ikafika stage tukabaki wawili,, “Request ndo zilikua zinatupunguza maana kuanzia saa 11 jion ni muda ambao request zinakua nyingi sana Posta, demand ya ya Uber inakua juu sana hata rate ya nauli inakua juu sana.
Mpaka saa 11 naona kimya yule mama wa Azikiwe hajanitafuta, sikutaka kumtafuta kwanza nitaonekana kama mimi ndo nashida, then ataniona cheap sana, kwanza kitendo cha kumsubiri mpaka saa11 nilijiona fala sana.
Nika switch online App yangu nikaset destination ya kwenda Sea cliff, “ipo hivi kama unataka mteja wa kwenda Masaki au Posta, bhs kwenye App unaset destination, hivyo utapata request zinazoelekea usawa huo inaweza isiwe exactly point ila atlist inasaidia”. So kitendo cha kuweka destinationa haikuchukua muda nikapata request ya mteja alikua anaelekea Coral beach.
Nikamshusha customer pale Coral beach nikachukua uelekeo wa Sea cliff, kutoka Coral mpaka Seacliff sio mbali sana, ilikua chap tu niko pale tayari. “Wakati nakaribia Coral nilikua nishampanga tayari Manuel so akanambia nitamkuta pale Karambezi”.
Nikafika pale Karambezi nikamzoom Manuel kwa mbali ofcourse hapakua na watu wengi sana palikua kawaida tu. Tukasalimiana pale story zikaanza, story kubwa nilikua namwuliza namna ya kufika Switzerland na ishu za kazi especially unskilled jobs. “Njia rahisi ya kuingia chap ni scholarship au kusoma, hapo ni rahisi sana ila kama unakua umepata kazi bhasi mwajiri wako akupambanie visa japo huwa inachukua muda sana na gharama yake kubwa. Kama unataka kuingia wewe apply chuo, I recommend you to use this way, ukishafika ukaanza masomo kama mastars ni mwaka mmoja tu umemaliza, ukiwa unasoma kuna mishe nyingi sana za kufanya kule kama viwandani, mashambani, migahawani nknk” Manuel alikua akiongea.
Manuel mbinu nyingine ya kutumia ya haraka bhasi uoe mswiss hapo unapewa na uraia kabisa, “Nigerians wanatumia sana hii mbinu, wanaoa sana wamama watu wazima” nilicheka sana.
Ishu nyingine kubwa pia jumatano na alhamis nitakua na ratiba ya kutembelea vituo vya watoto yatima kwa Dar, ijumaa tutakwenda kibaha na Bagamoyo, ila kwa Jumamosi utaangalia wapi unatupeleka, then J2 tutaondoka kurudi Switzerland. Manuel alikua akiongea.
Akanionesha vituo tutakavyotembelea nikaona kuna sinza, tegeta, bunju, Kunduchi, Kimara, Kigamboni. Tukakubaliana 600,000/= ( 200,000/= per day) kuhusu jumamosi nikamwambia ntawapa offa, muda ule tulikua tunaikimbiza “pearly bay wine”. Nikamwambia bro jana dizaini kama haukuwa free kule Kidimbwi, alicheka sana akanambia “bro! next time gonna be lit,”. Tukaagana pale.
“The way nilivyomwona Manuel nilihisi kama mtu wa madem sana” huko mbele mtaona.
Before sijatoka pale Karambezi mama yetu alikua kanipigia simu ila sikupokea, so wakati natoka ilikua ishapita saa tayari, na saa yangu ilikua inaonesha ni saa 19:05. Nikampigia simu akanambia karudi home kama vipi niende kwake haina shida, “nikaona mama anaongea ujinga, yaani mimi niende kwake??”. Nikamwambia mama haiwezekani kama muhimu sana tuonane pale Raibow , huyu mama alikua anakaa kule chini Mbezi Beach karibu na Rainbow. “So hakukataa akakubali tuonane pale tuongee”.
Nikawa nawaza huyu mama anataka nini kwangu? Nikachoma mafuta mpaka pale Rainbow mbili kasoro dakika nikawa pale, wakati niko Kawe alikua kanijulisha kafika tayari.
Kufika pale nikaingia ndani nikamkuta amekaa anakunywa savannah, duu! nilijisemea huyu mama hatari au ndo anaongeza nyege!??.
Mimi: Habari yako bossy
Mama: Salama tu, ndo unatoka mishemishe?
Mimi: kama unavyoona, umeniweka sana pale Posta
Mama: jamani pole, kwani ulikua unanisubiri?!
Mimi: Ndio, maana hukusema niondoke! anyway nimeitikia wito bossy wangu, nakusikiliza, what’s a deal?
Mama! Ninataka asubuhi uwe unanichukua na mwanangu, lakini mtoto unamwacha pale mikocheni Warioba( hii shule ipo karibu na msikiti wa mwinyi).
Mimi: Sawa mama, sasa mbona hili lilikuwa lakuongea kwenye simu tu na tukamaliza, au ulitaka kuniona??( nilikua nimekazia macho)
Mama: Huku akicheka, unaonekana mpole sana ila ni mwongeaji sana, unavituko sana.
Mimi: Una watoto wangapi?
Mama: Wawili tu, wakwanza wa kike yuko form 5, wapili yuko standard 3, wote wa kike.
Mimi: wow! am luckiest man, huyo wa form 5 nitunzie ntakua mkwe wako.
Mama: utanibakia mwanangu bure!!
Mimi: So unakunywa beer usiku huu, baba watoto akirudi inakuaje??
Mama: Mume namtolea wapi mimi?, naishi na wanangu tu. Unajua wewe haunywi kama unanichora hapa!
Mimi: Hilo tu usijali, siku ntakupeleka Kidimbwi tukanywe wote.
Mama: Huku akicheka, unavituko sana mimi nishachuja tayari huko wanaenda damu mbichi.
Mimi: unaweza kujiona umechuja ila mimi bado nakuona upo hot sana.
“Huyu ni mama wa kichaga mweupe anashepu nzuri, ni mama kijana afu anajipenda sana huyu age yake anavyoonekana ni 40s ni mama kijana.
Mama: huku akicheka, we kaka unavitukoa sana,
Kwa muda tulio kaa na mama nilikua nishamcontol kwa maongezi na kila kitu kama ningetupia voko angeingia king.
Tukakubaliana pale atanilipa 12,000 kwa trip ila nikamwambia nitaanza jumatatu ya week inayokuja, mama hakuwa na shida kabisa.
“Unajua hawa wateja sometimes nilikua nawapa utani ili kuendelea kuwasogeza karibu na awe huru, haipendezi muda wote kuwa kauzu.”(Kanuni ni kwamba kama mteja ni mwongeaji na wewe kuwa mwongeaji, kama kauzu na wewe kuwa kauzu, hii ndo iliku principle yangu).
*****
Nikatoka pale na furaha sana, hesabu kichwani ni kumalizana ma Maggy hapo tayari na vichwa 2 na vyote vinakwenda Posta. Ilikua saa 3 usiku tayari nikamtext Maggy, palepale akani text back ni kama alikua anasubiri text yangu. Nikampandia hewani nikamwuliza anakaa Mikocheni gani akanambia karibu na shule ya Alpha. Nikamwambia nitakuwa nampeleka tu ila kurudi kama nitakua around nitakuwa namcheki, hakuwa na noma akakubali, tukakubaliana 10,000.
Mnajua kwanini sikutaka kazi ya kumpeleka na kumrudisha? niliwaza nitakua mtumwa, kwanza utakua na stress upo zako mbweni huko afu sa11 umfuate mteja Posta unakua mtumwa, sikutaka hii kitu kabisa, au jambo lingine muda wa kwenda kazini unaeleweka wakati wa kurudi hauleweki, sikutaka kuchoma mahindi bila sababu ya msingi.
Palepale nikapata idea ya kutengeneza mkataba wa kazi, nikachukua laptop nikadizaini mkataba wangu vizuri kabisa, nikaweka mpaka sehem ya kusaini mwanasheria, sikutaka masikhara na kazi kabisa, na pia nilitaka wateja wanione niko serious.
******
Jumatano ilifika huyo nikaenda Seacliff pale kumchukua Manuel lakini this time alikua yeye na Alex tu, tukasalimiana pale. Tulielekea kwenye hivyo vituo walikua wanafanya research zao na kupiga picha. Tulitembelea vituo vyote tukamaliza kwenye sa11 jioni, nikawarudisha mimi nikaendelea na kazi yangu. Kesho yake tukatembelea vituo vingine ile kazi tuliimaliza jioni pia.
Ijumaa ndo siku ya kwenda kibaha na Bagamoyo, kama kawaida tukaenda huko wakafanya mambo yao hii siku tulirudi usiku sana, nikawadrop pale Seacliff lakini Manuel akaomba tukapate dinner then niondoke, sikukataa tukaelekea Karambezi pale.
Ile tunaingia mlango mkubwa wa kwenda Karambezi nakutana na Ex wangu, Tangu nimemaliza chuo sikuwai onana naye ilikua ishapita miaka 3 na yeye alikua 2nd yr that time, nilikua nimemwacha mwaka 1 mbele.
Yeye ndo aliyeniona akaniita jina langu “INSIDER”, Manuel ndo aliyeskia wakati akiniita. Bro somebody is calling you, kucheki namwona Angel (code), wow akaja akanihug kwa nguvu, mpaka Manuel akashangaa!!!
Nilishangaa sana kukutana naye pale ofcourse alikua na rafiki yake afu walikua wakitoka, huyu alikua dem wangu wa chuo enzi hizo baada ya kumaliza chuo aliniacha asee!!, this time tunakutana nimebadilika, nimenawiri,afu niko na wazungu.
Akaomba namba yangu sikutaka kumpa, nikamwambia anipe yake ntamcheki…..
Angel ni mwanamke ambaye nilianza naye mahusiano wakati niko chuo, so wakati wao wanaanza first year mimi ndo nilikutana naye na kuweka ukaribu hatimae tukaanza mahusiano. Tulidumu kwa kipindi chote cha miaka 2, tulipendana sana mpaka masela zangu wa chuo walikua wanaamini huyu mrembo namwoa. Kilichotokea baada ya kumaliza chuo zilianza sababu, mara hapokei simu, ubusy mwingi, nikaanza pata report kutoka kwa masela anaonekana na mwanaume uyo moja kila maeneo, mimi kama mwanaume nikajua hapa sina mtu, nika move on.
********
Tuliagana ma Manuel pale Seacliff ili asubuhi niwai kuwabeba twende misele, ile jumamosi asubuhi by saa 3 nilikua pale. Wakatoka wote hao tukaanza safari plan yetu tuanze na “Ununio beach”, Manuel akaomba twende na “Haile Selasie Road” kuna vitu akanunue vya asili. Sehemu yenyewe tuliyokwenda ni karibu na filling station ya Puma au kama unatokea “Samaki samaki” kuna barabara inakunja kulia kama unakwenda CCBRT, sasa kwenye ile kona kushoto kuna supermarket inaitwa “Shrijee”, sasa pembeni ya supermarket kuna jamaa wanauzaga vitu vya asili kama, picha, vinyago, kacha nknk.
Manuel aliingia na ndugu zake wakanunua picha, vinyago, kacha kuna vingine waliweka kwenye mfuko vingi. Wakati tunatoka pale akanambia tupitie pale Puma, akamwambia dada ajaze full tank, “nilivyosikia full tank, nilihisi moyo wangu kupasuka kwa furaha”, huyu Manuel anaroho nzuri sana, ni moja wa wazungu wenye roho nzuri sana.
Kwenye saa 5 tulikua tuko pale Ununio Beach Ofcoz walipapenda sana na ile mandhari walienjoy sana, mimi ndo nilikua kama director pale. Nakumbuka tulikwenda “Mahaba Beach” kule kulikua kuna samaki wengi sana wabichi, wavuvi ndo kama centre yao, bhs tulichoma sana samaki pale.
Tulitoka pale mchana tunaenda “Coco beach” tukala sana mihogo pale na mishikaki, usiku ilikua imefika muda unagonga kwenye moja kasoro, Manuel akasema twende tukapate dinner moja ya cafe nzuri pale Masaki afu tukamalize bata letu Samaki Samaki. “Wakati tunapita pale samaki samaki asubuhi Manuel alipaona akanambia badae tunakuja hapa”.
Nikawadrop wajiandae then tukaenda pale “The tribe” tukapata dinner hao tukamalizia pale Samaki samaki. Kama mnavyojua vibe la Samaki samaki tulienjoy sana lakini hawakukaa sana maana jumapili ndo walikua wanatakiwa kuondoka. Nikawarudisha Seacliff na mimi nikarudi kulala ili asubuhi mapema niwe pale kuwachukua kuwapeleka Airpot.
Naam asubuhi mapema saa 2 na madakika nilikua pale, wao walikua wanatakiwa “kuchek in “ pale Airpot 10:00 AM. Nikaingiza gari mle ndani Seacliff karibu na mlango wa kuingilia tukapark vitu hao safari ya Airpot, ndani ya nusu saa tulikua tumefika Termninal 3, hakukua na foleni kabisa.
Tulipiga picha za pamoja pale kama ukumbusho, wale wazungu walifurahi sana, nilipata nafasi ya kuongea na Sophie lakini sikuchukua namba nikaopotezea.
Nikawa escot mpaka ndani pale tunaongea sana na Manuel akanambia “You are my brother here in Tanzania, I’ll never stop calling you bro!”, alitoa noti 2 za Dolla 100 akanipa, nilimkatalia akanambia “bro hizi pesa sio zako nampa Junior, mfikishie”. Pale nikaishiwa pozi ikabidi nipokeee tukapeana hug na mimi nikatoka zangu kurudi parking ili niondoke.
Niseme kwamba kukutana kwangu na Manuel ilikua baraka sana kwani ndani ya week 2 niliingiza pesa nyingi sana na pia niliishi maisha mazuri sana. Nikapiga hesabu ndani ya siku ambazo nimefanya nao kazi nilikua nimeingiza $1,050 na bado alikua ananipa offa za lunch, dinner nknk.
Nikawaza hapa leo niende kwa Mama J nikamsalimie na Junior maana ilikua inakwenda mwezi wa 2 hatujaonana live zaidi ya video call tu. Nikasema hizi pesa nimepewa kwaajili ya junior acha nikanunue baadhi ya mazaga niwapelekee itakayobaki ntampa mama J.
Nikaingia Mlimani city nikanunua baadhi ya vitu nikaelekea boko kwenda kuiona familia yangu, ile nimeingia kwenye gari nikamkumbuka Angel, nikasema ngoja nimpigie maana alionesha anahamu sana ya kuongea na mimi, nikachukua simu ili nimpigie..
ITAENDELEA
Unajua sana kusimulia,kila episode inavutia ni kama unaangalia movie ..kuna ya kujifunza mengi piaNimegundua wengi mnaifuatilia hii story ya maisha nilopitia, ntajitahidi kuwapa matukio yote muhimu. Andaeni Popcorn [emoji897]
Nimegundua wengi mnaifuatilia hii story ya maisha nilopitia, ntajitahidi kuwapa matukio yote muhimu. Andaeni Popcorn [emoji897]
Thread inainspire vijana waliokata tamaa wapo juu ya mawe akili haisomi,imestuck.EPISODE 03
Baada ya siku 3 akanicheki ghost akanambia account yako ipo tayari, akanipa password akanambia download bolt driver app kwa istore then anza kazi. Kweli nikafanya nikaona mambo yako supa nikaona sehem ya kwenda online kama unataka request, nika touch pale nikaona inasearch nikazima data nikalala, nikaplan kuingia mzigoni jioni.
Inaendelea
“Unajua biashara ya Uber ni nzuri sana kwa kijana ambaye anataka kujiajiri, inalipa sana kama utakua makini. Niko kwenye hii biashara toka 2017 nina uzoefu wa kutosha sana, nimepitia mishale mingi sana. Mdogo wangu nakuomba sana zingatia haya, 1. Focus na malengo yako, 2. Acha tamaa, 3. Fanya kazi kwa bidii chukulia kama ni kazi nyingine. Acha tamaa na wanawake, utakutana na mademu wengi sana kuna ambao watataka uwale sababu hana nauli, kuna wamama watu wazima “mashangazi” watakutaka nakuona so HB mdogo wangu wamama wengi watavutiwa sana wewe. Kuwa mkarimu kwa wateja, Ipende ofisi yako “gari yako” hakikisha unafanya usafi muda wote liko safi, kuwa makini sana wakati wa usiku sio kila sehemu ya kwenda. Utakutana na watu wa kila aina chamsingi wewe kuwa humble usipende kugombana na wateja kabisa. Ukizingatia haya utafika mbali na pia gari yako utaiona pesa trust me. “Hayo yalikua maneno ya Dullah akinipa changamoto za biashara hii ya Tax mtandao.”
Niliamka saa 11 jioni nikaingia bafuni nikajiandaa chap nikaweka mazingira mazuri ya gari. Nilianza hii kazi ya Uber mwishoni October 2021, bhasi nikapitia filling station nikajaza mafuta full tank huyo nikaenda kupark gari pale mbezi Beach kwa zena. Hapo nilikua nimeswitch online so dizaini kama App ilikua inasearch requests.
Nimekaa kama nusu saa hollaaa hakuna hata request nikaanza pata wasiwasi au sababu mimi mpya??. Nikampigia simu Dullah kumwambia sipati request, Dullah akanambia vumilia tu zitaita usiwe na wasiwasi.
Baada ya dk 10 hivi nikaskia kitu kinaita “nke nke nkee nkeeke nkeee” uyo chap ni accept, ukweli nilikua bado na kaushamba wa kutumia hii App lakini Dullah alinielekeza namna ya kutumia map na vitu vingine muhimu akanambia vingine utamasta taratibu.
Baada ya kuaccept mteja akapiga simu akanambia fata ramani, nikamjibu sawa, (“kwa mara ya kwanza App lazima itakuchanganya”). Nikaanza kwenda uelekeo wa kawe akapiga simu nakuona unapotea “Oasisi” unakujua?… nikamjibu ndio, mteja akanambia sasa huko unakwenda wapi??. Oasisi nilikua najua kabla hujafika round about [emoji3534] ya kwenda whitesand kuna kibarabara cha lami kinakunja kushoto, chap nikageuka nikafika mpaka kwa mteja nikamchukua alikua anakwenda mbweni.
Baada ya kumshusha mteja Mbweni sikukaa sana nikapata request nyingine nika accept mteja alikua anakwenda mbezi beach- shamo tower. Nilipiga kazi mpaka saa 6 usiku nikaingiza 59,000, nikapitia sheli nikajazia mafuta tena yaliyotumika nikabaki na 39,000, nikaona pesa nzuri kwa muda wa masaa 6 tu niliyofanya ikanipa morare sana.
Asubuhi nikaamka 06:00 am nikaanza kazi kama kawaida siku hiyo nilipiga kazi mpaka muda wangu wa kudrive ukaisha. So nilirud home kama 23:00 pm, pesa nilizoingiza sio haba kwenye App ubao ulikua unasoma 153,000/= bado zile pesa nilizokua naingiza nje na App. Ukitoa gharama za wese na cost nyingine faida yangu ilikua kama 80,000 hivi.( “Uber/Bolt kuna driving limit, hutakiwi kudrive zaidi ya masaa 12 kwa siku, ukidrive masaa 12 wanakufungia App ukapumzike kwa masaa 6 then urudi mzigoni tena, kwa mtu anayetafuta pesa hii ni changamoto sana, hapo ndo utaona umuhimu wa kuwa na App zote mbili Uber/Bolt”)
Niseme ukweli kwa muda mfupi ndani ya week nilitengeneza pesa ndefu sana. Mpaka nikaona hakuna haja ya kuajiriwa kama Bolt tu inaniingizia pesa hivi kuna haja gani ya kutafuta kazi??.
Baada ya week 2 kukata “ghost”akanicheki akanambia account yangu ya Uber ipo tayari. Nikaanza kuitumia Uber aisee huku ndo nilianza kupata deals nyingi sana na pesa upande wa nauli zilikua juu tofauti na bolt, huku nikaanza pata connections nyingi na kukutana na foreigners.
*******
Nataka kidogo niwape utofauti wa Uber na Bolt. Uber wako vizuri sana upande wa fares na usalama, kwanza wanaotumia Uber wengi ni foreigners pia ni watu wenye pesa au matajiri. Abiria wa uber akirequest wanajua kwenda na muda itoshe kusema abiria wa Uber ni smart sana. Ukija kwa ndugu zetu wa Bolt abiria wao ni pasua kichwa sana, wateja wa bolt wengi ni wanachuo, wale low income earners ndo unawakuta huku sasa. Abiria wa Bolt ni wanamaneno balaa, ana request usafir anakuweka hata nusu sometimes mpaka one hour afu akija anakupa majibi rahisi nilijua upo mbali. Nauli ikiongezeka kidgo atalalamika balaa, madereva wa Tax mtandao wanakwambia bolt ni kwa maskini na Uber ni kwa matajiri. Pia raha ya Uber hata kama mteja atakuweka baada ya dk 5 inaanza kucharge waiting fee, tofauti na Bolt.
Baada ya kuanza kutumia Uber nikaona nitaendana sana na wateja wa Uber kuliko Bolt hata kimaslahi yapo Uber nikaamua kuachana na Bolt, japo nilikua naitumia kwa nadra sana na baadhi ya mazingira.
“Kuna uhusiano mkubwa sana kati ya uber na wateja wake kama nilivyosema huko juu. “
Nilivyoanza kutumia Uber nilianza kupata sana hela sio hivyo tu bali niliweza kupata dili nyingi sana. Niliweza kukutana na foreigners wengi sana wa nchi mbalimbali pamoja na matajiri, viongozi wakubwa wa serikali, na celebrities mbalimbali. Niliweza kujuana na watu wengi sana mpaka leo kuna foreigners nachat nao sana hata wakija bongo lazima wanicheki.
Siwezi kusimulia matukio yote maana ni mengi kwakweli nitagusia baadhi. Muda wangu wa kazi ulikua naamka 06:00 am mpaka usiku, kama biashara siku iyo mbaya bhasi mapema niko home kucheza na Junior. Siku za weekend nilikua nakesha siku zingine narudi late night. Nilikua nazingatia sana usafi wa gari, usafi wangu binafsi, yaani siku za kazi nilikua nachomekea kama officer nakwenda kazini kumbe ni Uber tu, hii kitu ilepelekea kupendwa sana na watu na wateja wangu wengi walikua wanawake.
*******
Nikiwa barabarani kama kawaida nilikua Posta nimepaki gari yangu pale, mida ya saa10 jion nikapata request ya kwenda Airport. Nikampeleka yule mteja alikua ni dada, akanambia ameipenda gari yangu atakua ananicheki, baada ya kumdrop pale tukabadilishana namba.
Nilikua pale Terminal 2 nimechili nasubiri request ilikua nishakaa almost dk 45, nikakumbuka Dullah alinambia kwakua unatumia vibao vya njano make sure uko makini sana maana pale Airpot wakijua wewe ni Uber then gari yako haina vibao vyeupe watakupiga fine, hata wale madereva wa tax mle Airpot ni wanaa sana.
Mnajua kwanini madereva wa Tax mle Airpot hawawapendi Uber? Ujio wa Tax mtandao umewaharibia sana biashara afu Tax nyingi mle ndani ni za wafanyakazi wa mle ndani. Mfano kutumia tax ya Airport mpaka Masaki utalipia 50,000-70,000 wakati kwa Uber haizidi 25,000, hapo utaona kama Tax mtandao ikawa msaada sana.
Baada ya 1 hr hivi nikapata request mteja alikua anakwenda Sea cliff hotel, chap aka nitext kupitia App “Are you coming”, nikamjibu ASAP. Yaani “As soon as possible”
Ofcourse nilikua mgeni na Airpot na kwa mara ya kwanza lazima uchanganye kama sio mzoefu wa zile barabara za mle ndani, na pia hakuna barabara ya kutoka Terminal 2 kwenda Terminal 3 ya shortcut “sio kwamba shortcut haipo ila wameiziba tu makusudi”, so pale unavyotoka lazima ulipie then uwe kama unatoka ndo uzunguke ile round about [emoji3534] kama unatoka ndo uelekee Terminal 3.
Kama ulikua Terminal 2 unataka kwenda terminal 3 lazima ulipie 2,000 utoke pale terminal 2 then kuingia terminal 3 lazima uchukue card inamaana lazima ulipie tena utakavyotoka terminal 3 (lazima ulipie mara 2). “Hapo jamaa alikua ananielekeza pale terminal 2 maana nilikua sijui na ukichanganya hata barabara tu unalimwa fine, nilisikiliza maelezo vizurii sana nikamasta.”
Message ikaingia kwenye App “I am near the Arrival door” huyu alikuwa mteja.
Nikahisi huyu atakua foreigner tu, nikafika pale wakati nasogea akawa kashasogea barabarani akanipa ishara, nikampakia hao tukasepa. “Wazungu wako chap sana huwa hawapotezi muda kabisa, akirequest labda wewe uzingue, ila wabongo wanaringa sana”. Safari yetu ilikua ni kuelekea Sea cliff hotel kule Masaki, bhasi tukiwa njiani tukaanza story…..
MZUNGU: Bro your Car is very clean
MIMI: Thanks bro! It’s my office, how was the journey??
MZUNGU: Wow was amazing bro and I’m very happy being here in Tanzania [emoji1241] [emoji4].
MIMI: So it’s your first time being here?
MZUNGU: [emoji23][emoji23][emoji23], no bro!, it’s my second time.
MIMI: Welcome bro! so your nationality?
MZUNGU: I’m Swiss bro! [emoji1237]
MIMI: Wow nice bro! So What do you do for a living?.
MZUNGU: I am working for WORLD VISION.
Tuliongea mengi sana na Mzungu akanambia kule hotelini ana workmates hivyo atanicheki niwapeleke Morogoro na watakua Tanzania kwa week 2. Tukafika pale Sea cliff hotel nikamdrop tuka exchange contacts.
Jumatano nikiwa mzigoni kama kawaida yangu, alinipigia simu kama nitakua around maeneo ya Sea cliff nimcheki tuongee, jioni nikamcheki akanambia tukutane pale Karambezi cafe.
Tutakutana pale tukaanza story so ishu mezani ilikua ni alikua anatarajia kwenda Morogoro Ijumaa na ndugu zake( jumla watakua 4). Akaniambia tutarudi jumapili hivyo nimpe gharama zangu, nikamwambia badae nitamcheki nikiwa na cost zote. Tuliongea mambo mengi sana ya kimaisha inshort ndani ya muda alikua ametokea kunikubali sana. Bhasi tukaagana pale, katika story zetu nilimwambia na mke na mtoto mmoja hata yeye pia alinambia kaoa ana watoto 2, akanambia Msalimie Junior, before sijaondoka nitakuja kumwona.
Ile night nikamcheki huyu mzungu alikua anaitwa “MANUEL” ni jina lake halisi, nikampa mchanganuo wa gharama zangu nikamwambia hesabu ya jumla kila kitu kitakua chini yangu tukakubaliana $500 kwa zile siku tutakazokua kule Moro. Akanipa kazi nifanye booking ya hotel nzuri kwa ajili ya watu 4 kwa siku 2, that time Morena Hotel ndo ilikua imefunguliwa nika book hotel pale.
Ijumaa asubuhi na mapema nikaenda pale kuwabeba tukaenda Morogoro, nikawadrop pale Morena Hotel, tulifika Morogoro saa5 na dakika kadhaa, siku ileile tukaenda Mzumbe University sijui walikua na Agenda gani pale tukarudi hotelini jion saa11. Manuel akasema “Lets have dinner together” tukaingia hotelini tukaenjoy pale story zilikua nyingi sana, tukapiga na wine za kutosha sana.
Ilikua ishafika saa3 nikawaaga,
“So where are you going to sleep??, hilo lilikua ni swali kutoka kwa Manuel.
Wote wakawa wananitizama wakisubiri jibu. Kuna dada mmoja mzungu akasema , “he doesn’t want to sleep with us here”.
MIMI: No I have my friend here so don’t worry about me guys.
Mimi nilikwenda kwa jamaa yangu anakaa paleple around kihonda stand, nilimpanga mapema. Nilikua nakwepa gharama za hotel,
Asubuhi mapema nikapanda hotelini kuwabeba walikua wanakwenda SUA chuoni sijui walikua na agenda gani, Pale SUA tulitoka mchana ikabidi turudi tena Mzumbe jioni tukarudi hotelin. Kama kawaida have dinner, tukaplan tukirudi dar niwapeleke moja ya viwanja maarufu vya bata.
Jumapili mida ya saa6 mchana tukaanza safari ya kurudi Dar kitu kama kumi kasoro tukawa tumefika. Nikawarudisha pale Sea cliff hotel,
So bro badae tutakwenda wapi? Aliuliza Manuel,
Nikamjibu “Saprise”[emoji3]. Akanambia Ok bro I trust you!!, nikamwambia by 07:00 PM ntakua around kuwachukua, Na mimi nikarudi zangu home. Palepale akanilipa Pesa zangu ambayo tulikubaliana nikapokea, kuja kuhesabu ilikua jumla $550. Nikatabasamu.
Tukiwa parking nilitamani kumwuliza kuhusu wale dada 3 ni nani kwake? lakini nikapotezea nikapanga kumwuliza siku nyingine.” Kweli wale dada walikua ni visu sana kuna mmoja alikua mdogo mdogo hivi nilimwelewa sana.
Nilivyoingia home nikawaza hawa nawapeleka wapi ukicheki leo Jumapili, kwa jumapili sehemu yenye vibe ni Kidimbwi tu ndo watavibe na wale wote pombe wanatumia, so sikupata ukakasi sana.
“Kwa jumapili kidimbwi huwa inajaa sana tuseme ndo kiwanja pekee kwa Jumapili huwa kina vibe hapa mjini”.
Nikapata wazo nifanye booking kabisa “reservation”, maana tukichelewa tutakosa space then niko na hawa wazungu tutaanza hangaika kupata nafasi, sikutaka kupoteza point 3 kwenye vitu vidogo kama hivi.
Nikaingia Instagram nikachukua namba zao nikawapigia simu chap, dada akapokea nikamwambia dhumuni langu akanambia table bado zipo ila I have to make payment before. Nikamwambia dada sikia tuko 5 hawa wengine ni foreigners, sisi tunakuja by 08:00 PM tutakua hapo on time. Dada akawa haelewi hivi akanambia wengi huwa wanapiga simu hawatokei na hii ni biashara huu ndo utaratibu wetu, nikamwambia nakurudia ASAP.
Nika mcall Manuel kumpanga akaniambia good bro! you can proceed. Nikamrudia Dada tena akanambia cost za table kwa VIP inaanzia 500,000 na kuendelea pia akanambia kuna table zingine ili ukae lazima uwe unatumia 200k na kuendelea. Nikaona option 2 ndo nzuri zaidi, akanambia ana reserve ila ikifka muda huo bila taarifa yoyote atawapa watu wengine.
“Bro! tunatoka out, tunakwenda kunywa na kulewa, acha gari tu home kwa usalama zaidi sisi, tunakuja na Uber, nitumie location” ilikua mesage ya Manuel. Nikaona ni jambo jema sana.
By 07:00 PM ontime nikawa nimefika pale Kidimbwi ili kuweka mambo sawa na kuchagua location nzuri. Nikiwa njian nilikua nishampanga dada niko njiani, nilivyofika pale dada Ofcourse akanipeleka moja kwa moja upande wa chini kwa mbele unaona mandhari ya bahari.
Kwenye mbili kasoro Manuel na ndugu zake nao walikua wamefika pale Kidimbwi, ofcourse walikuwa wamependeza sana, niliona jinsi wabongo wakiwatolea macho wale dada waswiss. Walifurahi sana na walipapenda sana pale na yale mazingira walipagawa sana.
Hawa dada 3 wa kizungu ngoja niwape majina yao
“Dada 1, Jina lake Alex, huyu alikua ndo mkubwa age yake ni around 30’s+ hivi”
“Dada 2, jina lake Olivia, huyu alikua around 25-28s”
“Dada 3, jina lake Sophie, huyu alikua mdogo kwa wote age yake 22”. Huyu nilipata muda wa kuzungumza naye vizuri tukiwa Moro,alinitamkia mwenyewe age yake, alikua anasoma bado. Ukweli alikua mzuri sana “kisu”.
*********
Baada ya kuingia ndani wahudumu walikua wanatukimbilia sana, all Eyes on US.
Kila mtu akaagiza anachojua yeye kwa waiter pale, wakati dada anatoka kwenda kufata, Manuel akamnong’eza dada japo alionekana kuelewa alichoongea Manuel.
Baada ya dakika kadhaa dada akaja na Vodka chupa kubwa, mimi niliagiza heineken ila zikaja bucket 2, ikaja backet ya desperados na Corona beer. “Nikajua Manuel alimwambia dada kwa kila order alete backet. Tuka agiza na mishikaki 50 “ yaani kila mtu mishikaki 10”.
*********
Tulianza gambe mapema sana so kadri muda unavyokwenda na watu walizidi kumininika kwa wingi na kufanya mandhari ile izidi kupendeza.
Kuna kitu ambacho nili kinotice kutoka kwa Manuel, nikahisi uwepo wa wale ndugu zake 3 ni kama kuna uhuru anakosa, huko mbele mtakuja kufahamu ni mtu wa namna gani.
Kadri muda unavyozidi kwenda na pombe zilizidi kukolea japo kwa yale mazingira ya upepo wa bahari mwanana wa Kidimbwi ulifanya pombe kuchelewa sana kuchanganya mwilini.
Zikashuka backets zingine tukaendelea kupiga pombe, ukweli wazungu wapo vizuri sana kwenye masuala ya pombe wanakimbiza balaa. Manuel alimaliza ile chupa ya Vodka na alikua ngangari akaagiza nyingine, this time alikua anakunywa na Alex kama wanashare.
Mida ya Saa 9 usiku tukaondoka pale Manuel aka request Uber kurudi Sea cliff na mimi nikarequest kurudi home mbezi beach.
ITAENDELEA KESHO.