Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaomba usianze mambo ya kiingilio WhatsApp tafadhali
Dah! Yaani ushapata mpunga na mazagazaga ya familia umenunua ndo Angel akakujia kichwani[emoji119][emoji119].
Hapo ni kumkemea shetani tu
vipi boss biashara ya bolt/uber mpka leo inafanya vizuri kama hiyo miaka uliokuwa unafanya wew??
Weka episode nyingine mkuu,wengine tupo Jamaica ndiyo tunaamka saa hii tunakiwasha Cha Bob Marley alafu hatuna kazi za kufanya,wakati huko bongo Ni muda kulala.Kaka swali lako ntakujibu mbele.
Kwa hiyo asilale aandike humu kwa ajili yako mvuta Bangui wa Jamaika?😏😉😁😆😩Weka episode nyingine mkuu,wengine tupo Jamaica ndiyo tunaamka saa hii tunakiwasha Cha Bob Marley alafu hatuna kazi za kufanya,wakati huko bongo Ni muda kulala.
Wakiamka wataikuta umeshawawekea.
Nipo na korosho na DNS IV solutionNimegundua wengi mnaifuatilia hii story ya maisha nilopitia, ntajitahidi kuwapa matukio yote muhimu. Andaeni Popcorn [emoji897]
Dah wewe jamaa ni Nouma sana nipo hapa dereva mwenzako wa bolt...japo nimeanza na PIKIPIKI Bado nApambana IPO siku nitakuwa bolt wa gari [emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059] Uber kwenye pikipiki haifanyi poa kabisa...!