grizzman
JF-Expert Member
- Mar 24, 2015
- 225
- 407
Kaka unatumia dawa gani nna mwaka wa sita huu naendesha uber sijawai pata praivet kama zako dah dunia hiiPambana upate hata bajaji sahivi ndo dili sana,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka unatumia dawa gani nna mwaka wa sita huu naendesha uber sijawai pata praivet kama zako dah dunia hiiPambana upate hata bajaji sahivi ndo dili sana,
Upo vizuri mkuu..Hapa ni Texas car wash “Rose garden road”. Hapa ndo niliosha gari baada ya kutoka bandarini. Kama mnavyoona chuma mpya kabisaa.View attachment 2676647
Saa ngapi?Leo tutaendelea ndugu zangu
Kaka unatumia dawa gani nna mwaka wa sita huu naendesha uber sijawai pata praivet kama zako dah dunia hii
Ulisomea nini mkuu ..Kaka serious?? hujawai pata private kabisa? Mimi hao ndo walikua wananiweke mjini nilikua nazingatia
1. Smartness
2. Usafi wa gari
3. Customer care
4. Mungu.
5. Niliipenda kazi yangu toka moyoni kabisa,
6. Nilizingatia sana heshima yangu sikutaka kujihisisha na madem nilikaa nao mbali sana,
Kaka unatumia dawa gani nna mwaka wa sita huu naendesha uber sijawai pata praivet kama zako dah dunia hii
Ulisomea nini mkuu ..
EeeChuo au?
Saa ngapi?
Daah!! unaonekana upo vizuri sana kichwani...Economics & Statistics
Daah!! unaonekana upo vizuri sana kichwani...
Nimekukubali.
yule mdada ndo wewe nini, mana naona naww ni mrembo wa ajabuUkiendelea plz tag me
Khe hapana bossyule mdada ndo wewe nini, mana naona naww ni mrembo wa ajabu
Nigee mmoja basiHuyu ni customer wangu namwitaga dada, ni mtu maarufu sana hapa Tanzania ila anaishi US muda sana kama hapo kashanipa taarifa anakuja mwezi huu…View attachment 2681141
AseehIwe kesho kweli mkuu
BossLeo tutaendelea ndugu zangu
Mnakula majaninipo na wanangu kina chinno tunasubiri story