Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Kuipigania damu yako ni utoto? Una matatizo ya akili kapimwe haraka sana. Ndo nyie wanaume mnaokataa watoto na kukimbia majukumu. Mtu unajiita Roboti utakiwa na akili kweli?Hata mi nimemdharau sana hususani anavypapstikia mwanamke akiwa na mimba. Hakuna mwanaume hapo japo hadithi yake ni chai hiyo.
Leta mbili kabisaBadae
Leo hiyooooThanks God result imetoka vizuri mpaka sasa nina 1st class imenyooka, still hata research ikija vibaya nina uhakika wa 1st class.
Mwakani sikosi cheti cha Best student 🙏
Kwa kusherehekea results, kesho tutaendelea na mwendelezo.
Siku inapita hiyoLeo hiyoooo
Nakuona unajitia kidole alafu unajinusa we shoga. Umeandika upuuzi wa hali ya juu.Kuipigania damu yako ni utoto? Una matatizo ya akili kapimwe haraka sana. Ndo nyie wanaume mnaokataa watoto na kukimbia majukumu. Mtu unajiita Roboti utakiwa na akili kweli?
Anataka ashushe 2 na moja ya bonus
Itapendeza
Sasa hata ifike chakula chenyewe kibayaa😁Asante insider kesho imeshafika.
Kumbe huyu Asmah alitakiwa ndo aombe maji kwa kutembea na Mme wa Afande 🤣 🤣 🤣hata hivyo, Irene hana mpango wa kulipiza kisasi kwa mbaya wake.Wakati mwingine unajichanganya mpaka inafika sehemu unakua huna namna ya kufanya uamuzi. Sasa una mchepuko, ana mimba, unatembea na mfanyakazi wake.
Hapo tayari una mke, mtoto na huwezi muomba mama ushauri au Mzee wako, na kwao yeye ndo wa kiume mkubwa. Lazima uwe limited na option unazokua nazo kuhusu kuomba ushauri. Simcheki sana maana labda ninachomzidi ni kwamba huwa narudi tu Kwa Yesu na kumwambia tu Bwana Mkubwa Yesu nimefika mwisho wa kufikiria niongoze.
Baadae imekua baadaeBadae
Ulikuwa na stress za pepaThanks God result imetoka vizuri mpaka sasa nina 1st class imenyooka, still hata research ikija vibaya nina uhakika wa 1st class.
Mwakani sikosi cheti cha Best student [emoji120]
Kwa kusherehekea results, kesho tutaendelea na mwendelezo.