Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Hata mi nimemdharau sana hususani anavypapstikia mwanamke akiwa na mimba. Hakuna mwanaume hapo japo hadithi yake ni chai hiyo.
Kuipigania damu yako ni utoto? Una matatizo ya akili kapimwe haraka sana. Ndo nyie wanaume mnaokataa watoto na kukimbia majukumu. Mtu unajiita Roboti utakiwa na akili kweli?
 
Thanks God result imetoka vizuri mpaka sasa nina 1st class imenyooka, still hata research ikija vibaya nina uhakika wa 1st class.

Mwakani sikosi cheti cha Best student 🙏

Kwa kusherehekea results, kesho tutaendelea na mwendelezo.
Leo hiyoooo
 
Kuipigania damu yako ni utoto? Una matatizo ya akili kapimwe haraka sana. Ndo nyie wanaume mnaokataa watoto na kukimbia majukumu. Mtu unajiita Roboti utakiwa na akili kweli?
Nakuona unajitia kidole alafu unajinusa we shoga. Umeandika upuuzi wa hali ya juu.
 
Wakati mwingine unajichanganya mpaka inafika sehemu unakua huna namna ya kufanya uamuzi. Sasa una mchepuko, ana mimba, unatembea na mfanyakazi wake.
Hapo tayari una mke, mtoto na huwezi muomba mama ushauri au Mzee wako, na kwao yeye ndo wa kiume mkubwa. Lazima uwe limited na option unazokua nazo kuhusu kuomba ushauri. Simcheki sana maana labda ninachomzidi ni kwamba huwa narudi tu Kwa Yesu na kumwambia tu Bwana Mkubwa Yesu nimefika mwisho wa kufikiria niongoze.
Kumbe huyu Asmah alitakiwa ndo aombe maji kwa kutembea na Mme wa Afande 🤣 🤣 🤣hata hivyo, Irene hana mpango wa kulipiza kisasi kwa mbaya wake.
 
Back
Top Bottom