Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

 

Attachments

  • IMG_20240812_181650.jpg
    75.9 KB · Views: 10
Wakati naandika nilijua tu kuna mtu kama ww atakuja kupinga nilichoandika.

Watu wengi tu nmewawakilisha, kwa7b wapo wengi huko nyuma walimwomba muendelezo na sio mara moja ila hawakupata kwa wakati ambao aliupanga.

Pia hata ww upo hapa kwa ajili ya huo huo MUENDELEZO, ila kwa7b hujali muda ndo maana huoni kama ina athari.

Pia sioni ulichopinga maana ww mwenyewe umesema β€œwatu wengi tu wamefanya hivyo, kuachana nayo” sasa sijui unaweza kunionesha hao watu ambao ume wasemea?

Pia nlitegemea mwenye stori ndo angesema hayo ila ajabu et ww unamsemea.

Ungekuwa unajali muda ungeona umuhimu wa nlicho andika, ww umetaka kuonekana umo kumbe haumo na huna tofauti na wabunge vilaza bungeni kwa kupiga meza bum bum bum ili uonekane nawe upo.
 
Huu ni mkasa endelevu ukikosa bando mkasa umetumwa Utah unit's tu. Halafu mbona unakuwa na arosto na vitu ambavyo havibadirishi wala kuongeza chochote kwenye maisha yako? Jifunze kuwa na kiasi kwenye maisha yako
 
fact mwenetu
sema atakua ametingwa
usihukumu ila kumlaum tu kwa mamb ya kswaili saw lakn anazngua knyaksi ila mamb meng s unajua babu wanaume na kazi
 
πŸ˜‚Watu wanajali muda
 
Thanks God result imetoka vizuri mpaka sasa nina 1st class imenyooka, still hata research ikija vibaya nina uhakika wa 1st class.

Mwakani sikosi cheti cha Best student πŸ™

Kwa kusherehekea results, kesho tutaendelea na mwendelezo.
Congrats bro
 
Acha makasiriko.Wanadamu tumezaliwa kiubinafsi Sana mawazo yako yote yako sawa kwasababu una uhuru huo lakini unampobana mleta Uzi unamkosea kwasababu yeye anatumia akili,muda na gharama kama ambazo wasomaji mwatumia ,Apo kwenye akili nasisitiza anajitahidi vilivyo Code baadhi tusizijue kwa usalama wake na hata familia yake .

Mwisho ,katika maisha yetu tujenge dhana ya kuwa na shukrani kwa juhudi zozote zinazotusukuma katika jambo fulani na kuwa na mawazo chanya katika yote tuyafanyayo.Asante INSIDER MAN kwa story hii nzuri ikikupendeza hata imalize mwaka ni sawa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…