Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,971
- 13,608
Hii just story. INSIDER MAN tunaye hapa. Ina maana alivuka hichi kipengere 🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni booonge la NARCISSIST yani umekuta mai waifu wako ako low unapata wapi nguvu ya kulala na kuamka na kuondoka bila kuyaweka sawa aisee sometimes ndo mana hawa wanawake wanatupiga matukio mpk shetani anatuhurumia mtu gani kila saa "nikapata wazo la kwenda kwa jane" mara "nikapata wazo kwenda kwa Allen" mda wote unapata wazo la kwenda kwa watu kikwetu tunaita wakawaka
Mwandiko mbaya na wa hovyo. Unatuumiza macho na hizi comments zako unazoandika na mwandiko wa hovyo.binafsi inachnganya hii ndio mana wengine wanaita chai unarudije kwako wf hayupo na mlitoka kupishna then hta usijushuhulishe kujua inakuaje lkn kwak ww inakuwa km vile tayar umeshamchoka so liwalo na liwe na uhalisia haiko hvyo ila sishangai pia toka hii stor ilikoanzia hali ni hiihii majina tu ya warembo ndiyo yanabdilika ilikuwa kwa Hilda, Prisca, au Iyrn
Ndgu robotiMwandiko mbaya na wa hovyo. Unatuumiza macho na hizi comments zako unazoandika na mwandiko wa hovyo.
Nikapata wazo la kwenda kwa.......hivi unapata wazo la kwenda kwa fulani na ukafurahi kabisa wakati mke wako nyumbani hana raha na wewe ndio sababu na bado unamlaumu kwa makosa yako mwenyewe?? Eti kwanini alikagua simu jamani.
Ndio maana wanawake huwa wanawapiga matukio halafu mnajitilisha huruma hapo unapata jeuri sababu una wanawake wengi pole yake mama J kajipatia zigo la misumari unaacha kusolve matatizo na mkeo unaenda kulala kwa mchepuko shame shame...
Kabisa tena ni chai maharage hata uwe nunda vipi kuna namna conshasi inasumbuabinafsi inachnganya hii ndio mana wengine wanaita chai unarudije kwako wf hayupo na mlitoka kupishna then hta usijushuhulishe kujua inakuaje lkn kwak ww inakuwa km vile tayar umeshamchoka so liwalo na liwe na uhalisia haiko hvyo ila sishangai pia toka hii stor ilikoanzia hali ni hiihii majina tu ya warembo ndiyo yanabdilika ilikuwa kwa Hilda, Prisca, au Iyrn
So kitaalam anaitwajeMama J hakuwa kaolewa bali mke mtarajiwa, aliwekwa ndani kinyumba...
kwa ww unavoelewa mfano ungekua ww ungeitwajeSo kitaalam anaitwaje
So kitaalam anaitwaje
Nimeshangaa sana..Lakin ujue nini, huyu hata sio narcist, huyu ni mpumbavu wale waliobobea asijielewe hata anafanya nini.Wewe ni booonge la NARCISSIST yani umekuta mai waifu wako ako low unapata wapi nguvu ya kulala na kuamka na kuondoka bila kuyaweka sawa aisee sometimes ndo mana hawa wanawake wanatupiga matukio mpk shetani anatuhurumia mtu gani kila saa "nikapata wazo la kwenda kwa jane" mara "nikapata wazo kwenda kwa Allen" mda wote unapata wazo la kwenda kwa watu kikwetu tunaita wakawaka
Kwakwel na miki leo ndio nimekubalibwale wanaosemaga hii ni chai. Tena ni chai baridi kabisaaaaa hainyweki episode hii.binafsi inachnganya hii ndio mana wengine wanaita chai unarudije kwako wf hayupo na mlitoka kupishna then hta usijushuhulishe kujua inakuaje lkn kwak ww inakuwa km vile tayar umeshamchoka so liwalo na liwe na uhalisia haiko hvyo ila sishangai pia toka hii stor ilikoanzia hali ni hiihii majina tu ya warembo ndiyo yanabdilika ilikuwa kwa Hilda, Prisca, au Iyrn
Nae akaishia kufurahiJamaa ana kwambia Waka furahi sanaa ..amna epsode inayo kosa neno wakafurahi sana
Jamaa mjinga kweli, kuna watu huko walikua wanasema jamaa ana akili za kitoto na ni mjinga. Na mimi naanza kuaminiWewe ni booonge la NARCISSIST yani umekuta mai waifu wako ako low unapata wapi nguvu ya kulala na kuamka na kuondoka bila kuyaweka sawa aisee sometimes ndo mana hawa wanawake wanatupiga matukio mpk shetani anatuhurumia mtu gani kila saa "nikapata wazo la kwenda kwa jane" mara "nikapata wazo kwenda kwa Allen" mda wote unapata wazo la kwenda kwa watu kikwetu tunaita wakawaka