Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Nikapata wazo la kwenda kwa.......hivi unapata wazo la kwenda kwa fulani na ukafurahi kabisa wakati mke wako nyumbani hana raha na wewe ndio sababu na bado unamlaumu kwa makosa yako mwenyewe?? Eti kwanini alikagua simu jamani.

Ndio maana wanawake huwa wanawapiga matukio halafu mnajitilisha huruma hapo unapata jeuri sababu una wanawake wengi pole yake mama J kajipatia zigo la misumari unaacha kusolve matatizo na mkeo unaenda kulala kwa mchepuko shame shame...
 
binafsi inachnganya hii ndio mana wengine wanaita chai unarudije kwako wf hayupo na mlitoka kupishna then hta usijushuhulishe kujua inakuaje lkn kwak ww inakuwa km vile tayar umeshamchoka so liwalo na liwe na uhalisia haiko hvyo ila sishangai pia toka hii stor ilikoanzia hali ni hiihii majina tu ya warembo ndiyo yanabdilika ilikuwa kwa Hilda, Prisca, au Iyrn
Wewe ni booonge la NARCISSIST yani umekuta mai waifu wako ako low unapata wapi nguvu ya kulala na kuamka na kuondoka bila kuyaweka sawa aisee sometimes ndo mana hawa wanawake wanatupiga matukio mpk shetani anatuhurumia mtu gani kila saa "nikapata wazo la kwenda kwa jane" mara "nikapata wazo kwenda kwa Allen" mda wote unapata wazo la kwenda kwa watu kikwetu tunaita wakawaka
 
binafsi inachnganya hii ndio mana wengine wanaita chai unarudije kwako wf hayupo na mlitoka kupishna then hta usijushuhulishe kujua inakuaje lkn kwak ww inakuwa km vile tayar umeshamchoka so liwalo na liwe na uhalisia haiko hvyo ila sishangai pia toka hii stor ilikoanzia hali ni hiihii majina tu ya warembo ndiyo yanabdilika ilikuwa kwa Hilda, Prisca, au Iyrn
Mwandiko mbaya na wa hovyo. Unatuumiza macho na hizi comments zako unazoandika na mwandiko wa hovyo.
 
Nikapata wazo la kwenda kwa.......hivi unapata wazo la kwenda kwa fulani na ukafurahi kabisa wakati mke wako nyumbani hana raha na wewe ndio sababu na bado unamlaumu kwa makosa yako mwenyewe?? Eti kwanini alikagua simu jamani.

Ndio maana wanawake huwa wanawapiga matukio halafu mnajitilisha huruma hapo unapata jeuri sababu una wanawake wengi pole yake mama J kajipatia zigo la misumari unaacha kusolve matatizo na mkeo unaenda kulala kwa mchepuko shame shame...

Mama J hakuwa kaolewa bali mke mtarajiwa, aliwekwa ndani kinyumba...
 
binafsi inachnganya hii ndio mana wengine wanaita chai unarudije kwako wf hayupo na mlitoka kupishna then hta usijushuhulishe kujua inakuaje lkn kwak ww inakuwa km vile tayar umeshamchoka so liwalo na liwe na uhalisia haiko hvyo ila sishangai pia toka hii stor ilikoanzia hali ni hiihii majina tu ya warembo ndiyo yanabdilika ilikuwa kwa Hilda, Prisca, au Iyrn
Kabisa tena ni chai maharage hata uwe nunda vipi kuna namna conshasi inasumbua
 
Wewe ni booonge la NARCISSIST yani umekuta mai waifu wako ako low unapata wapi nguvu ya kulala na kuamka na kuondoka bila kuyaweka sawa aisee sometimes ndo mana hawa wanawake wanatupiga matukio mpk shetani anatuhurumia mtu gani kila saa "nikapata wazo la kwenda kwa jane" mara "nikapata wazo kwenda kwa Allen" mda wote unapata wazo la kwenda kwa watu kikwetu tunaita wakawaka
Nimeshangaa sana..Lakin ujue nini, huyu hata sio narcist, huyu ni mpumbavu wale waliobobea asijielewe hata anafanya nini.
Mwanaume wa namna hii hakika anakua amelogwa na mwisho wa siku kwakua anavyoviandika hata havi make sense kufanywa na mtu aliyepita angalau darasani, nimeamua kuamini kwel hii ni chai. Ni story tenaa iliyokosa ushawishi kabisaaa kwa watu wanaosoma huku wana digest contents
 
binafsi inachnganya hii ndio mana wengine wanaita chai unarudije kwako wf hayupo na mlitoka kupishna then hta usijushuhulishe kujua inakuaje lkn kwak ww inakuwa km vile tayar umeshamchoka so liwalo na liwe na uhalisia haiko hvyo ila sishangai pia toka hii stor ilikoanzia hali ni hiihii majina tu ya warembo ndiyo yanabdilika ilikuwa kwa Hilda, Prisca, au Iyrn
Kwakwel na miki leo ndio nimekubalibwale wanaosemaga hii ni chai. Tena ni chai baridi kabisaaaaa hainyweki episode hii.
 
Wewe ni booonge la NARCISSIST yani umekuta mai waifu wako ako low unapata wapi nguvu ya kulala na kuamka na kuondoka bila kuyaweka sawa aisee sometimes ndo mana hawa wanawake wanatupiga matukio mpk shetani anatuhurumia mtu gani kila saa "nikapata wazo la kwenda kwa jane" mara "nikapata wazo kwenda kwa Allen" mda wote unapata wazo la kwenda kwa watu kikwetu tunaita wakawaka
Jamaa mjinga kweli, kuna watu huko walikua wanasema jamaa ana akili za kitoto na ni mjinga. Na mimi naanza kuamini

Inakuaje tena anatoka out na Asmah mbele ya akina Hilda tena anasema Asmah alikua anadeka mbele ya akina Hilda, kitu ambacho Iryn anamaind kila wakati na mara ya Mwisho Iryn alimwashia kuhusu kulala na Asmah
 
Back
Top Bottom