Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Mkuu tusome tu story, ila hii kitu kwasasa nimeona sio kwel maana sio kwa kukosa akili huku kwa huyu mwenzetu
 
Ila si ndio sehemu ya story na huko mbeleni utaona repercussion ya hicho alichokifanya. Actually nimependa anavyoweka small details kama hizi ili mbeleni usiwe na mshangao how imetokea.

Nakupa mfano matukio mawili ambapo naweza mpongeza INSIDER MAN moja ni kuweka ile small detail hii hapa kabla hata ya kueleza nini kitatokea nyumbani.

"Kipindi niko njiani nilifuta picha zote za Iryn mpaka namba za simu, na nilijiapia kwamba pindi nikifika home nitaendelea kufuta picha zote kwenye simu yangu nyingine ya zamani"

Jambo lingine ni kuweka ile small detail ambayo kwa akili ya kawaida unaweza ichukulia poa katika simulizi yake. Ni lile tukio la kuelezea mtoto wa mama wawili kumuomba pesa sijui ilikua ya simu ile then akaipotezea. Ila katika episode iliyopita inakusaidia msomaji kuanza kuconnect matukio.

Longstory short hayo yalishatokea meaning tujifunze kwa makosa yake na katika yale mazuri yake.​
 
Ndo mana tunasema hii ni chai
 
Kwakweli tuamini hivo tu af jmn jokes aside mtu gani pesa kwake zinamiminika yani gafla mume wa sista anaagwa juu kwa juu na mkewe wanaenda sauz anakubali fasta na milioni juu ha ha we insaida wewe unatudharau sana aisee
 
Hahah i can't use the magic word, hebu tukae hapa kwa jinsi stori ilivyoelezwa alikuwa kama mzazi mwenza tu...

INSIDER MAN amekuwa akimuita 'mke wake' labda kwa kuwa wanaishi wote au kwa kuwa alishamtolea mahari...
Bas mkuu kama anamwita mke wake sisi ni nani kumwita mzazi mwenza
 
Kujua kuwa hii sio stori ya kutungwa bali ni visa halisi ni pamoja na kuelezea makosa ya mueleaji.Insider anelezea uhalisia hadhira inataka aeleze kama inavyotaka yenyewe.
 
Mwanaume mchepukaji hawezi kufanya makosa kama hayo ya kujirudiarudia tena kwa kuyapanga wewe mwenyewe,

kuwatoa Hilda na Asmah kwa pamoja kwa wakati aliokua nao wa kutokua kwenye maelewano na mke wake pamoja na Irene, tena kwa Asmah kuonyesha mahaba mbele ya Hilda uo ni ujinga na kutokujitambua
 
Wengi nimebaini wanasoma juu juuu, hapa ndo utazisoma IQ za watu.

👉🏻Suala la mama J alishatuambia ni mtu wa aiana gani. Ni season iliyopita kama sikosei. Alituambia ni mtu ambaye ana maamzi ya haraka sana. Akiondoka kwenda kwao huwa anamuacha atulie alafu wanayamaliza.

Mama J kwenda home, hata mimi ningemuacha. Jamaa yuko kwenye kipindi kigumu, Iryn kachomoa mimba, kampuni inamsumbua, wife wake anaondoka hata mimi ningeenda kwa Asmah kutuliza akili.

Tukija kwenye uhalisia, mwanamke akienda kwao, ukaanza kumbembeleza arudi. Huyu mwanamkek lazima akusumbue akili. Usiforce maamuzi ya jamaa yafanane na wewe. Kuhusu michepuko hakuna mwanaume asiyechepuka, kama upo bhasi una matatizo au huna hela.

Kingine, jamaa sio mtu wa kubembeleza mwanamke. Ndomana wanaume tunashauriwa kuwa na wanawake wengi, unakuwa na sehemu za kupata faraja.

👉🏻Suala la Pili Insider alitupa details kidogo sana kuhusu kumtumia hela. Hapa sasa mimi nimeunganisha dot huwenda jamaa anakosa la kumtumia dogo hela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…