Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Nyingine isichelewe sana mzee hapo ulipoishia Pana mengi.
Kama hutojali naomba kujua budget ya kuanzisha tyre service kwa vifaa vya kisasa kama ulivyota. Location na Kodi iwe nje a budget @ INSIDER MAN
Mkuu nashindwa kukupa makadirio mazuri. Wacheki hawa jamaa instagram, pia ingia kwenye website yao wameweka kila kitu hadi bei. Ukiwapigia wanakupa hadi ushauri hawana noma.

Kama unaweza fungua hii biashara inalipa sana, chamsingi uwe muaminifu, utapiga sana hela.
 

Attachments

  • IMG_8817.jpeg
    190.3 KB · Views: 14
Kusajili kampuni natakiwa kuwa na kiasi gani? INSIDER MAN
Inategemea na Capital mkuu, kwa fee ya serikali kwa kampuni yenye capital kubwa haizidi 500k. Hapo sasa kuna gharama zingine za kuandaa memorandum, utahitaji Advocate wa kukusaidia au consultant.
- pia utatakiwa kufungua Box nknk
 
Account yangu imenigomea don't know why and hence nimelazimika kuandaa mpya.
Nili predict huko nyuma kwamba Mary ni suala la muda tu Ila lazima ataliwa; ilikua kabla ya ule mtoka wa ile Jumamosi moja na mwisho mwamba akavunjiwa NAZI kwenye mkono; leo huyo kajileta mwenyewe. I can predict, this time mama J anakuja Dodoma kufumania, the good think is, sio Aggy wala Maggy wanaojua anapoishi huyu "muhuni"
Story ni nzuri na ina mafundisho kibao, walau hata sisi ambao umri umesogea tunaweza ku enjoy. Keep it up dogo, leta burudani yenye mafunzo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…