Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Kuna mzee aliachana na mkewe restaurants.

Lilikuwa tukio eti X wake aliomba waongee robo saa pale hotel kwaa million 3. Mume alifikiria kidogo, aliinamisha kichwa chini. Alivyoangalia mkewe na akamuuliza wewe unasemaje, mke akasema anaenda kuongea nae hizo dkk 15. Mume akanuongezea iwe nusu saa. Lkn jamaa aache kibunda kabisa. X bf wa mmama akaingia kwenye gari akatoa vibunda vitano badala ya vitatu. Inamaana naye akaongeza dau la kuongea na mke wa mzee yule.

Kwa kuwa kuilikiwa na upande was bar yeye akahamia bar akaongea na meneja jambo.
 

Mkuu nakupa Task, fatilia international Organization mishahara yao ikoje ndo utaelewa kuna watu wanalipwa mishahara mikubwa sana. Mkuu hapa bongo kuna watu wa hela chafu sana, kuna watu wanazitumia hela na kupitia Uber nililithibitisha hili.

Sitaki kufungua CODE hapa subiri huko mbele utaelewa.

Kuhusu Aunt mbona nilileta story kama additional ya kilichoendelea mambo mengine nitaandika story ikiisha.
 
Wewe umejuaje mimi ni 1998-2003 kiufupi pengine mimi nipo aged kwako....
Namna unavyo argue vitu umu ndani mtu anaweza determine umri ulio nao maana kwa mtu ambae amesha kua exposed na maisha hivi vitu hata hawezi shangaa ila nyie vijana wa kisasa ndo mnaona ni vitu vya ajabu wakati bongo hii kuna watu wana spend mpaka mishahara ya mabosi wenu ofisini kwa usiku mmoja
refer attachment
 

Attachments

  • JamiiForums-190484886.jpeg
    36.5 KB · Views: 69
aanze tu na ubalozi wa Us wanapo tangaza nafasi za kazi hua wana onesha na annual salary ya kazi ambayo hata mkuu wa idara kibongo bongo hafikishi kwa mwaka ...
apo mtu ana lamba 49M / annual ukifika managerial position uko si ndo kijana utaanza temea watu mate barabarani 😂😂
 

Attachments

  • Screenshot_20230729-091218_Chrome.jpg
    169 KB · Views: 70
Uber unakuwa bilionea Chap
 
Enhee
 
Anapewa na uwoya
 
Halafu pia sidhan kama anasimulia Kila tukio, nafikiri kachagua wahusika wachache.

Sijataka kusema kila tukio maana ningeandika zaidi ya Episode 500, kama hawa wazungu nimefanya nao sana kazi na kilichokuwa kinanibeba ni kujua Ngeli, na wazungu walikua wanashngaa kuona najua ngeli, walikua wanasema Uber wa Tanzania hawajui English, walikua wanafurahi sana ndomana nilikua nafanya nao sana kazi.

Hii story nimeamua kudonoa noa tu na ni 20% tu ya matukio nilokutana nayo nitayaandika hapa napo kwa uchache sana. TANZANIA tungekua tunajali kazi za uandishi bhasi ningeandika kitabu kabisa.

Siwezi kupoteza muda wangu kuandika kitu ambacho hakipo never, mimi ni Economist ninajali muda sana na ukitegemea nina majukum kibao ya kufanya.

Nikimaliza hii story kuna CODE nyingi nitazifungua na zitaweza kukuwasaidia jinsi ya kukutana na hawa matajiri ila pia vitu vingine ni bahati na kila mtu Mungu kampa sehemu ya kupata riziki yake.

Na kama mtu umeuliza swali ukaona sijakujibu, jua majibu utayapata mbele kupitia Episodes, kuna mtu aliuliza nilijuaje kama gari ya mama Janeth ni 0-km?. Wakati tumeingia kwenye gari tuondoke Iryn alimwambia mama Janeth gari yake nzuri san ndo mama Janeth alimwambia ina mwezi toka aagize na amenunua Brand new kabisa. Ndo hapo nilijua ile gari ni mpya, kwanza hata ungeiona kwa macho jinsi ilivyokuaa usingeuliza.

Pia hii Organization hawalipi kodi hata akiagiza gari atalipia zile gharama za bandarini bhasi ila kodi halipi kabisa, na mama Janeth gari yake ilikua na namba za usajili za Organization.

Nashangaa pia kwanini hamjauliza kama Mama Iryn alimilikia gari au laah, hili nitaleta kama ADDITIONAL,

Leo tutaendelea na story yetu.
 

Sallam SK akiingia element anamaliza zaidi ya 20million kwa usiku mmoja, kuna jamaa alitrend sana pale Kidimbwi alitumia kama 54million kwa usiku mmoja, kuna watu wanahela hapa bongo ni vile hatuna connection nao tu.
 
Usiwe unajibu kila comment mkuu, wengi wa wanaojitia ujuaji NI wageni humu jf na wengi wao wanaishi huko Namtumbo na wengine ni walimu wa shule za Msingi huko Tandahimba

Mtu anayelipwa Mshahara Laki 3 si rahisi kuamin kuwa hapa Tanzania kuna binadam wanaolipwa zaidi ya Mil 50 Kwa mwezi.
 
Kwenye hao wahuni wa kubet nimetoa macho balaa
 

Na huyu ni mtu wa kawaida sana mostly wanakuaaga wabongo, kuna watu hapo wanakunja zaodi ya 50m kwa mwezi hasa hawa wakubwa kama macoordinator, nknk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…