Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Lakini Nourhan si kuna siku ulisema utatupostia wewe? Dooh😀😀
Nilipost usiku sana waliniona baadhi 🤣😂
Humu kuna wehu wengine wanaweza kutumia picha vibaya kama dogo mmoja uzi wa selfie akawa anabeba picha za watu anapost 😁naogopa nisiachwe na mume wangu nje kugumu 😂
Na watoto wa 4 baby namba 5 on the way 😁🤣niachwe aku.
 
Hahaaaaaa kumbe dada yake ndio kaokoa jahazi lasivyo angekuwa kama cocastic tu. Jamaa wangekuwa wanajipakulia manyama tu huko Dar tena anavyopenda vya bure na kukosa msimamo kama Mwanaume. Sijui hali ingekuwaje. Amshukuru sana Dada yake.
Aisee kweli mzee wa hovyo kwanini umdhalilishe mtu hivyo kwa ukweli aloamua kuongea mwenyewe tuwe na kauli nzuri kwa wenzetu.
 
Aisee kweli mzee wa hovyo kwanini umdhalilishe mtu hivyo kwa ukweli aloamua kuongea mwenyewe tuwe na kauli nzuri kwa wenzetu.
Nawe acha shobo kenge wewe. Hizi ni hadithi tu, acha ukahaba na kujibembeleza kwa mjuba we dogo. Kumbe ni wa hivyo, kumbe ndio biriani unayouza.

Umeeleweka, byeeeeee
 
Sio kila comment notifications napata mpaka nipitie post wapo walokuja inbox nikawajibu

Biryani napikia nyumbani kwangu hufanya delivery sehemu tofauti.
Na ww birian yako unauza kwa sura? Nimeuliza biashara iko wapi naona haluna jibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…