Me too kumbe sioNimeona notification ya baba junior nikajua mzigo umeshuka
Ni Afghanistan not PakistanKabul ni mji mkuu wa nchi ya Pakistan
Hahaaaaaa mzee wa conspiracy umefanya nicheke. Angenielewesha yu mkuu. Msosi unaitwa Kabuli bwana. 😀😃😄Huyo anajiita Mzee wa hovyo ataongea cha maana?
😄Usiongee kitu usicho kijua
Unataka nitumie lugha ipi wakati ndo jina lake si uende google🔍
Ni Kabul sio Kaburi.
Kabul ni mji
Kaburi anazikwa mtu vitu 2 tofauti.
😄 dogo anazingua, mwabie aache dharau.Kweli wewe ni mzee wa hovyo. Hasira za nini mkuu? Amegusa chakula yako nini?😁
Lakini Nourhan si kuna siku ulisema utatupostia wewe? Dooh😀😀Na hauwezi kuja kuiona labda INSIDER MAN ampost Irene 😂🤣
Jamani story tu ndo Hadi uongee yote haya mtu wa Mungu?Hahaaaaaa kumbe dada yake ndio kaokoa jahazi lasivyo angekuwa kama cocastic tu. Jamaa wangekuwa wanajipakulia manyama tu huko Dar tena anavyopenda vya bure na kukosa msimamo kama Mwanaume. Sijui hali ingekuwaje. Amshukuru sana Dada yake.
Inasikitisha kwa kweliJamani story tu ndo Hadi uongee yote haya mtu wa Mungu?
Duh hatareee
Sanaa kwa kweliInasikitisha kwa kweli
Nilipost usiku sana waliniona baadhi 🤣😂Lakini Nourhan si kuna siku ulisema utatupostia wewe? Dooh😀😀
Aisee kweli mzee wa hovyo kwanini umdhalilishe mtu hivyo kwa ukweli aloamua kuongea mwenyewe tuwe na kauli nzuri kwa wenzetu.Hahaaaaaa kumbe dada yake ndio kaokoa jahazi lasivyo angekuwa kama cocastic tu. Jamaa wangekuwa wanajipakulia manyama tu huko Dar tena anavyopenda vya bure na kukosa msimamo kama Mwanaume. Sijui hali ingekuwaje. Amshukuru sana Dada yake.
Na ww birian yako unauza kwa sura? Nimeuliza biashara iko wapi naona haluna jibuAisee kweli mzee wa hovyo kwanini umdhalilishe mtu hivyo kwa ukweli aloamua kuongea mwenyewe tuwe na kauli nzuri kwa wenzetu.
INSIDER MAN mwenyewe kasema watoto wa kike wa bachelor wananuka mikojo, hyo sawa hyo? alafu cha kusikitisha ana mtoto wa kike pia kwa mujibu wa hadithi yake.Sanaa kwa kweli
Chuki kwa mtu ambaye hata hujawah muona
Nawe acha shobo kenge wewe. Hizi ni hadithi tu, acha ukahaba na kujibembeleza kwa mjuba we dogo. Kumbe ni wa hivyo, kumbe ndio biriani unayouza.Aisee kweli mzee wa hovyo kwanini umdhalilishe mtu hivyo kwa ukweli aloamua kuongea mwenyewe tuwe na kauli nzuri kwa wenzetu.
nimemshangaa huyo jamaa hapendi kupika,Kupika mbona ni kazi nzuri tu tena yenye heshima.Mm ni mwanaume lakini napenda kupika
Nini wewe? Hii nayo ni story tu.Jamani story tu ndo Hadi uongee yote haya mtu wa Mungu?
Duh hatareee
Na ww birian yako unauza kwa sura? Nimeuliza biashara iko wapi naona haluna jibu
Hapa na wewe umetulisha matango pori. Mji mkuu wa Pakistan ni Islamabad.Kabul ni mji mkuu wa nchi ya Pakistan
Aiseee Mungu akusamehe na akuongoe.Nawe acha shobo kenge wewe. Hizi ni hadithi tu, acha ukahaba na kujibembeleza kwa mjuba we dogo. Kumbe ni wa hivyo, kumbe ndio biriani unayouza.
Umeeleweka, byeeeeee