Dadeki.coz hajasimulia muda alokua anaenda toi au sio.Sio muda mrefu watahoji Mtu gani miaka yote miwili hujajisaidia haja kubwa
Boss wangu alikuwa anachukua 30Mkuu nakupa Task, fatilia international Organization mishahara yao ikoje ndo utaelewa kuna watu wanalipwa mishahara mikubwa sana. Mkuu hapa bongo kuna watu wa hela chafu sana, kuna watu wanazitumia hela na kupitia Uber nililithibitisha hili.
Sitaki kufungua CODE hapa subiri huko mbele utaelewa.
Kuhusu Aunt mbona nilileta story kama additional ya kilichoendelea mambo mengine nitaandika story ikiisha.
dAda wa watu kakuambia vizur tu,afu wewe bichwa mkojo unamjibu isivyo,Unawashwa na hujakunwa asubuhi.
Kaka insider inamaana kwa sasa hauna mawasiliano au ukaribu tena Ireen maana unatumia sana nyakati zilipotipa kwenye uandishi kama vile kwa sasa hampo pamoja tena, yaani kila mtu ana hamsini zake kwa sasaMkuu wanawake wenye Pesa wanapenda vitu vidogo vidogo sana, kama Iryn alikua na pesa. Huwezi kumshawishi kwa pesa kabisa, Iryn nilikuaga namfanyia vituko sana na alikua anafurahi sana.
Namna unavyo argue vitu umu ndani mtu anaweza determine umri ulio nao maana kwa mtu ambae amesha kua exposed na maisha hivi vitu hata hawezi shangaa ila nyie vijana wa kisasa ndo mnaona ni vitu vya ajabu wakati bongo hii kuna watu wana spend mpaka mishahara ya mabosi wenu ofisini kwa usiku mmoja
refer attachment
Kama chai ndg kinachokuganya uwe hapa kumfuatilia ni nini hasa embu wakati mwingine tupunguze chuki na wivu wa kijinga kwa watu tusio wafahamu!Chai chai.
Madereva wa uber wenyewe wanashangaa haya maisha anayoishi mwenzao.
Kwani kuna sehemu amesema alishindwa au aliyetenda kosa alilipaEti huyo iryn ana pesa lakini siku wamegongwa akashindwa kumpa laki 7 akanyooshe gari mpaka wakamkaba mlevi aliyewagonga akaweka bond iphone.
Bata kwa siku wanapiga mpaka la laki 7 lakini kunyoosha gari mziki.
mkuu tukusubiri kwa mda gani?...Na huyu ni mtu wa kawaida sana mostly wanakuaaga wabongo, kuna watu hapo wanakunja zaodi ya 50m kwa mwezi hasa hawa wakubwa kama macoordinator, nknk
Kulipwa 45million kwa mwezi si sawa na dola elfu 20, wako wanaolipwa zaidi ya hizo, tatizo umaskini wetu tunachukulia vitu vingi haviwezdkanj, wakati ni kawaida kwa wenzetu, nchi hii hii IST wanalipa ada kwa mwa 65million wakati UDSM milioni 2 hutaki kutoa. Tunatofautiana.Watu wanaamini hii ni true story ya kweli yaani,
hakuna kitu kama icho....sema jamaa anajua kutunga hadithi....leta hadithi mkuu unajua kutunga sana.
Hivi true story nyie mnazijua kweli yaani muajemi akanipa milioni 5 alafu akaniongeza na milioni 2 [emoji28][emoji28][emoji38][emoji28][emoji28] you guys na nyie mnaamini kabisa.....
hivi mnakumbuka jamaa alipewa milioni 3 mwanzo kabisa na muajemi.[emoji16][emoji1787][emoji23] afu muajemi ampe demu vitu vya thamani ya 40milions hapo bado mashine za kisasa zilizopo dubai zinakuja...... demu naye hataki iphone 13 kamuachia msela, na msela naye hataki iphone 13 pro [emoji38][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16]muajemi mwenyewe hata papuchi hataki kweli....
mama alianza kazi mwaka 91 na alikuja kulipwa milioni 45 kwa mwezi na organization X nchi hii hii ya walala hoi.....too much salt....too much sugar..... too much alcohol.....stori za kutunga hizi.....
Hakuna true stori ya hivi ila unajua kutunga sana....mbotswana pia alilala appartment za milioni 3 per month mswana mwenyewe ni black melanin afu jamaa kamezea hakula [emoji16][emoji16][emoji16]
Wewe hunaga gundu kabisa yaani.
Acha ufala unaijua million 54 nyie ndo mtakuwa dancer wa marioo.Sallam SK akiingia element anamaliza zaidi ya 20million kwa usiku mmoja, kuna jamaa alitrend sana pale Kidimbwi alitumia kama 54million kwa usiku mmoja, kuna watu wanahela hapa bongo ni vile hatuna connection nao tu.
Ziko sehem za kuagiza nyama in terms of Kgs, sehem nyingine lazima uagize in terms of mishkaki, kutokana na terms za mtoa huduma.Watu wanaagiza mishikaki ishirini badala wanunue nyama kilo mbili wachome wale washibe ,,
Mnatetea Sana bwana Yenu wahojaji tumskuja sasaZiko sehem za kuagiza nyama in terms of Kgs, sehem nyingine lazima uagize in terms of mishkaki, kutokana na terms za mtoa huduma.
Uongo mwingiKwenye huu uzi connection zipatikane jamani
Tena demu wa.dau la dola 10000 anamsifia mzuri anakaa coco beach kizembe zembe tuWatu wanaagiza mishikaki ishirini badala wanunue nyama kilo mbili wachome wale washibe ,,