Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Ety mrangi hahahahaha
 
Ndiyo, najua… ah, nimekumisi sana

Wewe pia unajua jinsi unavyonifanya nijisikie… usijali, nitakutafuta muda"

Tutaonana tena, usijali.

WHO IS FOOLING WHO?
 
It sounds like mama Jr anajaribu kumuonesha muhuni kuhusu neno WIVU lina maana gani; anataka kupima kama kweli anapendwa...., but kuna dots alituachia last time wakati anapekua simu ya mama Jr, kuna mafisi yalikua yanammezea mate..., kuna limoja limeeleweka nini? But how mwanamke aache ushahidi kwenye bag lake na aongelee just kwenye dirisha lake akijua mumewe yupo chumbani? Let's keep on waiting. Story inazidi kunoga
 
Hakuna kitu kinauma kama mume wako/ mchumba wako awe na mchepuko kampa mimba halafu hadi ndugu wa mwanaume wanajua na wanamjali huku wewe tuu ndio hujui.

Ndugu wanaendelea kukuchekea siku unakuja kujua ni wewe tuu ndio hujui inauma sana. Sometimes men creates the monster in women kwa matendo yao halafu kesho wanajifanya " fear women" nyoko nyoko.

Nyie mawifi, mama wakwe wenye tabia kama za dada Insider jua kwamba " Karma serves exactly the same Menu" sijasema muitenge damu yenu ila maumivu ambayo mwanamke mwenzio anayasikia yatarudi kwa namna yoyote ile.
 
Acha mbwembwe dogo. Sasa hapa imekubadilishaje maisha yako? Mtu anafugwa na kulelewa na mwanamke, we imekubadilisha namna gani? Aiseeeee😀😀😀😀
Hebu tuweni wakweli, tuache wivu kabisa. Hivi kabisa unaweza kusema INSIDER MAN analelewa? Anafugwa? Mwamba alisusa mshahara almost miezi 6 (refer ile episode ya Dodoma akiwa na Mary, siku aliomla Mary for first time ) Tuache wivu, Insider bado anaweza kua role model kwa vijana wengi, anajitafuta na kajipata, Insider ni mwaminifu sana, I thought vijana wengi mngejifunza kwake, tazama jinsi mzee Juma na familia yake wanavyo mpenda, haikutokea tu, alitengeneza mazingira hayo kwa jasho na uaminifu. Vijana wengi humu hivi ile Nissan Dualis ingerudi kwa Jenny kweli? Tazama uaminifu ule ulivompa mailege kwa mzee Juma, Jenny na marafiki wa mzee Pama. Kuna mengi sana ya kujifunza kwa dogo. Kitendo cha yeye kupita na kina dada kadhaa bado kwangu sioni kama dogo ni malaya, karuka sana viunzi huyu mtu, bado ana stahili pongezi nyingi.
 
Mfano wewe ndio ungekua dada yake mwandishi; kwa situation aliokua nayo kaka yako UNGEFANYAJE?
 
Duh Insider wewe ni noma huu mkasa unazidi kusisimua najiuliza maswali mawili yanayojitokeza kuhusu mama J ni kweli kwamba atakuwa ameshindwa kuwa na uvumilivu amekengeuka kwa kuamua kuwa na bwana wa kuruka naye viwanjani au katika kipindi ulichokaa Dar na mama kijacho wako kuna mtu alimtonya kwamba uko jijini na Iryne hivyo akaamua kufuatiloa nyendo zako maana hizo risiti alizokuwa nazo kwenye mkoba wake ni maeneo ya viwanja ulivyokuwa unajivinjari na mama kijacho wako.Any way,the story needs a lot to be desired keep it up!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…