Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

DaΓ aa umeandika kwa hisia mkuu tuendelee kujifunza lifestyle ya Insiderman.
 
humpend kamchukua bebi.yako au.ndo mamb ya uswahili na umaskin
yan wadada bana mtafka mbinguni na ulimi
Uswahil na umaskini kwa story tu.
Mtu wa Mungu kuwa na Amani pale Ambapo mtu mwingine anatoa mawazo yake na uyaheshimu.
Mshipa umekukazaaaaaaaaa utazan kuna mtu analipwa akitoa maoni.


Get life byaaach
Acha kuleta mazoea ya kikuda
 
Uswahil na umaskini kwa story tu.
Mtu wa Mungu kuwa na Amani pale Ambapo mtu mwingine anatoa mawazo yake na uyaheshimu.
Mshipa umekukazaaaaaaaaa utazan kuna mtu analipwa akitoa maoni.


Get life byaaach
Acha kuleta mazoea ya kikuda
Kama nakuona unashusha kichambo hahaha
 
Hawa wanawake humu wanaongea tu hivo; kwa kaka zao huenda wamefanya zaidi ya alicho kifanya sister wake mwandishi; sasa uwakute wanavyo wasema wanaume wengine, utadhani HAWANA kakaz. Usikute hadi pesa kwa mawifi wa mchongo wanatumaga hawa
Ni kweli kabisa mkuu
 
Hapo kwa mama wawili mwamba katushinda wengi. Huwezi nilaza polisi hii ya TZ na utegemee ukaribu wa aina yoyote tena kutoka kwangu.
Nikikumbuka huyo mama wawili navurugwa akili, najiona mimi nikishindwa hata kumtazama usoni tena hata hicho kipili chake.. Kweli muandishi katoa somo kubwa sana la nguvu ya msamaha ila sidhani kama nitaweza kusamehe. Nitajaribu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…