Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Hii stori ipo interesting inafundisha na inafikirisha!!🤔😊

-Mwanamke una gubu,kitandanai hujitumi,kitu kidogo unafungasha kwenda kwenu,una safari kusalimia kwenu unamuachia mumeo week tatu nne na hamu zake,akichwpuka unalalamika unafungasha kwenu!!

-Tangu lini kukawa na ubest friend kati ya mwanaume rijali na mdada unaona kabisa pisi Kali hata bibi yako aanakuonya kabisa we hutilii maana I,boss gani anaipenda familia yako hivo?sawa upendo ila shtuka

-washkaji na maarafiiki wote wanajua na kumpa Hongera mumeo Kwa kumpa hawara mimba,we huna habari,huna hata shushushu wako,wanakuzoom tu.
Umelala unafua kibarazani unacheza na mtoto unatoka mtaani siku zinaenda unajua mumeo Yuko mkoani kikazi kumbe kaja Yuko mtaa wa pili tu hapo na hawara ake Kwa raha zao na watu wanajua.we hujui maskini.ndugu wa mume wanajua we hujui.

-dada wa kitasha anaumia sanaaa akiona mwanaume ana mwanamke mwingine akisahau ye pia ni mchepuko anamuumoza mwenzie mwenye mume.hafikirii hisia za wengine,zake ndo anajali bila kuwaza hata yeye anakosea Kwa mwingine.peisca anapambania kumtukana iryn bit*ch kumbe nae anatoka na mwanaume wa mtu🤣
-binti unamtamani ex wa mdogoako,unajua ni mume wa mtu,ana mchepuko una mimba yake nawe unataka kuwa mchepuko unakubali kumzalia..wadada wakishua wakipenda🤣

Mwisho wa siku nimejifunza wanaume kuchepuka haiepukiki pia.hata asipopenda bado atapendwa.ni yeye tu kukosa msimamo

Bado naendelea kujifunza
Daàaa umeandika kwa hisia mkuu tuendelee kujifunza lifestyle ya Insiderman.
 
humpend kamchukua bebi.yako au.ndo mamb ya uswahili na umaskin
yan wadada bana mtafka mbinguni na ulimi
Uswahil na umaskini kwa story tu.
Mtu wa Mungu kuwa na Amani pale Ambapo mtu mwingine anatoa mawazo yake na uyaheshimu.
Mshipa umekukazaaaaaaaaa utazan kuna mtu analipwa akitoa maoni.


Get life byaaach
Acha kuleta mazoea ya kikuda
 
Uswahil na umaskini kwa story tu.
Mtu wa Mungu kuwa na Amani pale Ambapo mtu mwingine anatoa mawazo yake na uyaheshimu.
Mshipa umekukazaaaaaaaaa utazan kuna mtu analipwa akitoa maoni.


Get life byaaach
Acha kuleta mazoea ya kikuda
Kama nakuona unashusha kichambo hahaha
 
Hawa wanawake humu wanaongea tu hivo; kwa kaka zao huenda wamefanya zaidi ya alicho kifanya sister wake mwandishi; sasa uwakute wanavyo wasema wanaume wengine, utadhani HAWANA kakaz. Usikute hadi pesa kwa mawifi wa mchongo wanatumaga hawa
Ni kweli kabisa mkuu
 
Hapo kwa mama wawili mwamba katushinda wengi. Huwezi nilaza polisi hii ya TZ na utegemee ukaribu wa aina yoyote tena kutoka kwangu.
Nikikumbuka huyo mama wawili navurugwa akili, najiona mimi nikishindwa hata kumtazama usoni tena hata hicho kipili chake.. Kweli muandishi katoa somo kubwa sana la nguvu ya msamaha ila sidhani kama nitaweza kusamehe. Nitajaribu
 
Back
Top Bottom