"Nilidhani ni kahaba kumbe ni bikra"Singano Jr fundi hasa
Account hiyo ni ya fb, insta au twitter mkuu maana wengine hatupo zaidi ya JF ti.Yani wanawake wote wale waliopostiwa tangu August 1 uende kabisa ukamtambue Hilda
U joking INSIDER MAN
Ila Asante kwa kuwa umewapatia hap mbudya followers
Account hiyo ni ya fb, insta au twitter mkuu maana wengine hatupo zaidi ya JF ti.
Sasa badala ya kuandika instagram, si ungeweka tu jjna la page tukaongeze followers huko?
We kaka unajua silipwi?Sasa badala ya kuandika instagram, si ungeweka tu jjna la page tukaongeze followers huko?
Kuna clip manzi anadance kwenye boat ile kila nikiicheck nasema huyu ni Hilda, kucheck kwenye comment kuna mwamba kacomment Hildaah 😀Code ya Hilda ishafunguka.. tupe Code ya Iryn mkuu
Analyse ni habari nyingine aseee.... Yaan tafta thread zake zote ambazo hujawah kusoma utafurah sana .... Yule apostle ni should da 😀😀😀😀😀Guy's mwenye title ya Thread yeyote nzuri naomba anitajie ili nipunguze alosto za Insider
Mie naanza kuwatajia hizi zifuatazo
1.Mimi na Mimi ya Eltony tonny
2.Lyfe style yangu ilivyonipotezea mke mwema ya Analyse
3.Shetani rudisha akili zetu ya Singano Jr
4.Gambling City
Hongera sana for this level of maturityNimerudi tena kumtafuta hilda Ila wanaume wamepagawaaaa huko mwenye page ya mbudya sio kwa wale waremboo
Khaaaaa kama kuna bonge mweupe mwenye msambwanda amejibinua amelala kwenye mchanga wanaume wamekoment huko wanajilizaaaa
😂😂😂😂😂
Af mwanamke ulete wivu wa kikuda hahaha akirudi home shukuru mkaribishe kwa upendo mpe pole maisha yaendelee. Majaribu huko nje ni mengi.
KUielewa kabisa mkuu yaan mimi ukisema tu ninfiction nakosa interest nilisishia episode One tu"Nilidhani ni kahaba kumbe ni bikra"
DR.Singano Jr.
Hili ni JIWE KABISA
UnavitukoSijawahi k
KUielewa kabisa mkuu yaan mimi ukisema tu ninfiction nakosa interest nilisishia episode One tu
Kwani kuchat hapa JF huwa unalipwa shilingi ngapi?? Vingapi unavyofanya na hulipwi 10 mbovu binti yangu??We kaka unajua silipwi?
okay hakuna sababu ya kufanya hivyoNimejibu nilichoulizwa. Anzia nyuma kwenye komenti iliyozaa hilo jibu
Leo ana-graduateMkuu INSIDER MAN tupia muendelezo leo kiongozi. Arosto ni kali mno!