Euphra
JF-Expert Member
- May 17, 2023
- 522
- 1,082
Insider alisema anavaa joho mwakani maana masters kaanza October mwaka janaMnaotaka kumfaham Insider nendeni leo kwenye mahafari, atakayesomwa best student ndo huyo (CPA-T)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Insider alisema anavaa joho mwakani maana masters kaanza October mwaka janaMnaotaka kumfaham Insider nendeni leo kwenye mahafari, atakayesomwa best student ndo huyo (CPA-T)
😂Mnaotaka kumfaham Insider nendeni leo kwenye mahafari, atakayesomwa best student ndo huyo (CPA-T)
MwakaniLeo ana-graduate
Nadhani CPA bado hajamaliza, labda masters ndio alileta feedback yake hapa.Mnaotaka kumfaham Insider nendeni leo kwenye mahafari, atakayesomwa best student ndo huyo (CPA-T)
Huyo ni Diddy wa Dar. We mletee shobo tu.INSIDER MAN, story nimeikubali, nafikiria zawadi ya kukupa, I shall contact you later and please accept it.
Vipi siku hizi hulilii mshedede huko PM?Na wewe unawatafuna kuonyesha uanamme wako? Mbona mm sijui
Nililia mshedede wako jamani au niliomba majiVipi siku hizi hulilii mshedede huko PM?
NdiooMmm ya kweli haya?
Tatizo lenu hayo majina numyie mnahisi ni yeynyewe .. ni bandiaKuna clip manzi anadance kwenye boat ile kila nikiicheck nasema huyu ni Hilda, kucheck kwenye comment kuna mwamba kacomment Hildaah 😀
Ungeuliza dada salon yenu iko maeneo gani Masaki, hahahaTatizo lenu hayo majina numyie mnahisi ni yeynyewe .. ni bandia
Hata kuhusu saluni sio biashara hiyo.Ungeuliza dada salon yenu iko maeneo gani Masaki, hahaha
Vyote amemalizaWatu hamuifuatilii vizuri hii story tangu imeanza.....Insider anatusimulia habari ya maisha yake yaliyopita it means haya anayoyasimulia yalishafanyika 2022- 2023 huko.......nawashangaa mliobusy kumshauri kwamba afanye hivi aache kile. Ambacho kinaendelea kwa Insider kwa sasa ni shule, hiyo Masters na CPA labda mumshauri kuhusu shule
Huyo sio marry. Huoni ni muethiopia kabisa? Huyo ni Iryn main character wetu katika hii hadithi yetu.
Huyu INSIDER MAN apigwe na kitu⛏️ nionavyo anakwenda kuvuruga famiria ya kina marry bado ajamvuruga mzee juma mtoto wa mama 2 ataachwa salama kwakua atataka kumpa pole mkuu ya kusingiziwa kesi,Ila una nyota ya ibilisiKama bado hujafunga ndoa na mama J ni bora ukamuacha tu . ni bora ukamuacha saa hizi japo ataumia lakini ni much better kuliko hayo maumivu ya ndoani. Mama J akijua umezaa na Iryn kuna uwezekano mkubwa akavunja ndoa, sasa ya nini kuifunga? Pia inaonekana wazi wala humpendi huyo mama J mana wala huna muda naye kabisa kama ulivyo na muda na michepuko yako ila inaonekana unataka kumuoa kwa sbb umeshapeleka mahari na tayari ndugu jamaa na marafiki wanamjua kuwa ni wife..usione aibu kumwacha ni bora hata ukampa zawadi ya nyumba na gari kama kifuta machozi kisha move on..
Wewe funga ndoa na Iryn after all Iryn anampenda mwanao kwa hivyo kijana wako akifikisha 7 years unamchukua anakaa na Iryn. Huyo Iryn anakupenda kweli na utainjoi zaidi ukiwa naye kuliko huyo mchaga wako. Usisahau wachaga wengi wanabakigi wajane hasa wale wenye waume kama Insider.
Sumu haijaribiwi kwa kuonjwa shauri zako