Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Hapana mkuu!...Sababu ya swali lako Ni ipi haswa?
Sababu ya swali langu mkuu nilikuwa nasoma ikafika sehemu nikapotea kabisa yaani umeandika kiswahili lakini kile kigumu chenyewe. Sijauliza kwa negative perspective ilikuwa ni compliment
 
Piga chini tu, oa Iryn ,kikubwa weka terms nzuri namna ya kumlea Junior katika mazingira mazuri, wanawake wanatuacha sana kwa sababu ya umasikini wetu, na wao kuwaacha kwa sababu ya umasikini wao sio Dhambi......hawa viumbe sio wa kuwaonea huruma.......Angepata yeye mwanaume mwenye pesa asingejiuliza mara mbili angekuacha vibaya sana.
 
Ushasema kabla ya Yesu. Hakuna aliyekunyima kuoa wengi ila kama Yesu kwako ni Bwana na MWOKOZI wa maisha yako sheria yake haibadiliki kufuata tamaa za wanadamu mkuu. Hakunaga Mungu wa kisasa mzee. Mungu ni yule yule na utaratibu ni uleule.
Ni Mungu yuleyule wa Suleimani mfalme wa Ke 600+
 
I am in this situation right now. I have kid 5 years old a girl came in our home as a family friend visited my family but we fallen I 💔 she was pregnant five years and got a handsome boy who is 5 years now.

My wife know nothing about it, and everyone around knows if she knows what will happen.

I am in communication with mother of my boy and offers all needed things. I am in though how will I bring him (boy) to his siblings
 
Ni muda sasa wa mama j kuleta mtoto wa pili ili isijetokea mmoja kusema mimi nimekuzalia wengi
 
INSIDER MAN Mbona husemi kilicho endelea baada ya kujua mama j anakwenda VIWANJA na ukamsikia ikiongea kwa simu baadhi mazungumzo yaliyokupa mashaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…