Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

🫣😊All tena!!!!!!! Nilifikiri both..

The latter, soma ukitaka uburudike pia.

Mmmmmh so aongeze wengine iweje.. Hujasoma tabia za Baba J na wanawake wengine? Magonjwa etc hayo no. Acha awe na wivu kakubali wapo wawili sio kijiji kama alivyo anawatenda wawili anao bado kiguru njia na wengine. Acha kusema vibaya Iryn wamekuwa muwazi. Wanaume mkifunga zipu zenu haya hayatokei..

Wapi umeona atamvuruga, mmesoma stories hii au hamjasoma tena yote eeee na anayoandika nje ya episodes? Kama nyie wengine mmekutana na wanawake naamini lazima ni hawapo kama Iryn kutoka angle zote mpite kimya.

===========

Kuna wanaume sijui wanawake humu naona ishara za W I V U zinashamiriiiiiiiiiiiiiii
Wanatamani Insider abadilike amchukie Iryn kwa kumtungia maneno na wamekuwa muwazi. Mtofautishe watu na watu.. Bongoland labda ndio coz both wangekuwa wanatokea nchi moja.. Na Iryn kawa muwazi na yake. BABA JAA maneno mengine usiyachukue kabisaaaa kuanza kumbadilikia Iryn. Hawatakuwepo kukupa Hongera bali watakuwa kichekooo humu.
Uko sahihi Kuna watu wanadhan jamaa kakosea sana ..wengi hawajakumbwa na masaibu haya au ni wivu tu
 
Uko sahihi Kuna watu wanadhan jamaa kakosea sana ..wengi hawajakumbwa na masaibu haya au ni wivu tu
Mkuu, hakuna anayemuonea wivu Insider bali tunajaribu kukumbusha awe achukue tahadhari kutokana kile alichotusimulia.

Wanawake ni wajanja sana. Na hata Maandiko yaliposema tuishi nao kwa akili, hayakukosea. Naomba nikupe Mfano. Mwanamke anaweza kukuambia anataka kuzaa nawe na matunzo ya Mtoto ni juu yake. Wewe ukajiona ndiye Kidume mwenye mbegu nzuri!!! Kumbe mwenzako, hesabu zake ziko mbali sana, kuwa Mkeo au mrithi wa Mali kupitia Watoto atakaozaa. Baada ya kuzaa, ndiyo utajua jinsi atakavyofanya jitihada za kutambulika na kuwa karibu yako zaidi.

Haya pia, tunayaona kwa Iryn. Kutoka mchepuko na sasa ni Mke mtarajiwa kama ilivyo kwa Mama J, kwa jitihada anazofanya za kuwa karibu na kutambulika na Insider keshaingia kibla, kwamba wote ni wake zake na anawapenda kwa usawa!!! Na kwa masharti anayompa Insider, unaona wazi kabisa Iryn hayupo tayari kushare penzi la Insider. Ni suala la muda tuu, anamtoa Mama J kwenye nafasi.

Zaidi, Insider hakuwa tayari kuzaa na Iryn. Na pengine, ni kwa sababu aliona tayari ni mume wa Mtu na anafamilia na Mama J na Iryn ni mchepuko. Ni Iryn ndiye alibeba mimba kwa makusudi bila kumshirikisha Insider na wakati huo Insider hakujua sababu hasa za utayari wa Iryn kuzaa naye zaidi ya kuambiwa na kuona ni upendo. Badaye, ndiyo inakuja kufahamika kwamba sababu halisi ni wanatafutwa Warithi na Wasimamizi wa Biashara!!

Mpaka hapo, nadhani ushaona jinsi Iryn alivyo hatua moja mbele ya Insider. Na ndiyo maana, tunamkumbusha tuu kuchukua tahadhari mapema - kuishi na Iryn kwa akili.
 
Mkuu, hakuna anayemuonea wivu Insider bali tunajaribu kukumbusha awe achukue tahadhari kutokana kile alichotusimulia.

Wanawake ni wajanja sana. Na hata Maandiko yaliposema tuishi nao kwa akili, hayakukosea. Naomba nikupe Mfano. Mwanamke anaweza kukuambia anataka kuzaa nawe na matunzo ya Mtoto ni juu yake. Wewe ukajiona ndiye Kidume mwenye mbegu nzuri!!! Kumbe mwenzako, hesabu zake ziko mbali sana, kuwa Mkeo au mrithi wa Mali kupitia Watoto atakaozaa. Baada ya kuzaa, ndiyo utajua jinsi atakavyofanya jitihada za kutambulika na kuwa karibu yako zaidi.

Haya pia, tunayaona kwa Iryn. Kutoka mchepuko na sasa ni Mke mtarajiwa kama ilivyo kwa Mama J, kwa jitihada anazofanya za kuwa karibu na kutambulika na Insider keshaingia kibla, kwamba wote ni wake zake na anawapenda kwa usawa!!! Na kwa masharti anayompa Insider, unaona wazi kabisa Iryn hayupo tayari kushare penzi la Insider. Ni suala la muda tuu, anamtoa Mama J kwenye nafasi.

Zaidi, Insider hakuwa tayari kuzaa na Iryn. Na pengine, ni kwa sababu aliona tayari ni mume wa Mtu na anafamilia na Mama J na Iryn ni mchepuko. Ni Iryn ndiye alibeba mimba kwa makusudi bila kumshirikisha Insider na wakati huo Insider hakujua sababu hasa za utayari wa Iryn kuzaa naye zaidi ya kuambiwa na kuona ni upendo. Badaye, ndiyo inakuja kufahamika kwamba sababu halisi ni wanatafutwa Warithi na Wasimamizi wa Biashara!!

Mpaka hapo, nadhani ushaona jinsi Iryn alivyo hatua moja mbele ya Insider. Na ndiyo maana, tunamkumbusha tuu kuchukua tahadhari mapema - kuishi na Iryn kwa akili.
unaona mbali kama Nyerere
 
Wengi wanaomsuport Iryn sjui Insider ni mawazo tumafinyu au urefu wa kamba ya iryn basi kijana anaona Insider kajipata, ila....
Havinaga muda, uyo dada anakuja kasi eti atajitambulisha mwenyewe, ili tu wafarakane na mama j kusudi apate kuolewa yeye kwa umri nlionao na mengi nliyo ona ya hivi hayakudumu unashangaa mume anarudi kwa bi mkubwa yooote aliyofuata kule sjui yanaishiaga wapi
 
Mkuu, hakuna anayemuonea wivu Insider bali tunajaribu kukumbusha awe achukue tahadhari kutokana kile alichotusimulia.

Wanawake ni wajanja sana. Na hata Maandiko yaliposema tuishi nao kwa akili, hayakukosea. Naomba nikupe Mfano. Mwanamke anaweza kukuambia anataka kuzaa nawe na matunzo ya Mtoto ni juu yake. Wewe ukajiona ndiye Kidume mwenye mbegu nzuri!!! Kumbe mwenzako, hesabu zake ziko mbali sana, kuwa Mkeo au mrithi wa Mali kupitia Watoto atakaozaa. Baada ya kuzaa, ndiyo utajua jinsi atakavyofanya jitihada za kutambulika na kuwa karibu yako zaidi.

Haya pia, tunayaona kwa Iryn. Kutoka mchepuko na sasa ni Mke mtarajiwa kama ilivyo kwa Mama J, kwa jitihada anazofanya za kuwa karibu na kutambulika na Insider keshaingia kibla, kwamba wote ni wake zake na anawapenda kwa usawa!!! Na kwa masharti anayompa Insider, unaona wazi kabisa Iryn hayupo tayari kushare penzi la Insider. Ni suala la muda tuu, anamtoa Mama J kwenye nafasi.

Zaidi, Insider hakuwa tayari kuzaa na Iryn. Na pengine, ni kwa sababu aliona tayari ni mume wa Mtu na anafamilia na Mama J na Iryn ni mchepuko. Ni Iryn ndiye alibeba mimba kwa makusudi bila kumshirikisha Insider na wakati huo Insider hakujua sababu hasa za utayari wa Iryn kuzaa naye zaidi ya kuambiwa na kuona ni upendo. Badaye, ndiyo inakuja kufahamika kwamba sababu halisi ni wanatafutwa Warithi na Wasimamizi wa Biashara!!

Mpaka hapo, nadhani ushaona jinsi Iryn alivyo hatua moja mbele ya Insider. Na ndiyo maana, tunamkumbusha tuu kuchukua tahadhari mapema - kuishi na Iryn kwa akili.
Your the man of the years
 
Kuna kitu kinanitatiza namna tunavyomtambua Mama J na kulinganisha Maandiko matakatifu.

Kimsingi, Mama J hatambulikinkama Mke kwa Mujibu wa Biblia tinayoifanyia rejea kwa sababu Ndoa ya Kanisani bado haijafumgwa. Insider Man, kwa Mujibu wa maelezo yake, amelipa mahali tuu kwa Mama J. Hivyo, Mama J anatambulika kama Mke wa Insider, kimila.

Kwa maelezo haya, sidhani kama ni sahihi kutumia Maandiko kumshauri Insider kuhusu kumuacha Mama J kama Mkewe wa Ujana ilhali Maandiko hayamtambui Mama J kama Mke wa Ujana wa Insider.

Nadhani, tujikite kwenye asili inayomtambua Mama J kama Mke wa Insider ili kuepuka Karma.

Kipekee, pamoja na sifai nzuri za Ireen zilizoelezwa hapa, lakini, Ireen kwa mtazamo wangu, ni Mbinafsi sana. Yeye kushare na Mama J, anaona sawa. Ila, Mwanamke mwingine kushare naye, ni Big No! Kingine, Ireen anaonekana hayupo tayari kuwa chini ya Insider. Utiifu wake una mashaka sana. Ukishaona Mwanamke anakupa masharti kila siku kuhusu kutowaona Watoto kisha uchepukaji, ni changamoto. Beijing imemkaa kichwani na anaona naye ana Haki ya kumuamrisha Mwanaume. Na katika hili, Insider anapaswa kujiandaa nalo mapema ipasavyo. Siku Ireen atakapofikisha Idadi ya Watoto awatakao na wakawa Wakubwa kiasi cha kuendesha Biashara zake, kuna hati hati Insider kunyanyasika. Kwa kweli, Insider asithubutu kumruhusu Ireen kumvuruga na kumwachanisha na Mama J. Maana yake, siku Ireen akiwa ndiyo Mke pekee, sidhani kama Insider atafurahia mahusiano/ndoa husika na Karma itamtesa.
Maandiko gani hayamtambui mama J? Mapokeo ya taasisi za dini ndio hayamtambui na mamlaka za serikali kwa kuwa wanatambua ndoa ikiwa na cheti kinachotolewa na Jamhuri. Ndoa ni makubaliano ya watu wawili kuishi kama mke na mume kukiwa na ushahidi wa wazazi wa pande mbili, ndugu na marafiki wakati wa utoaji mahali. Pande mbili zikiridhia hiyo ni ndoa tayari.

Hii ndoa ya Insider ni halali mbele za Mungu. Kilichobaki Ä·imaandiko ni kipengele kimoja ambacho ni agizo la Mungu kutii wenye mamlaka. Hivyo atatakiwa awe na cheti cha ndoa.
 
🫣😊All tena!!!!!!! Nilifikiri both..

The latter, soma ukitaka uburudike pia.

Mmmmmh so aongeze wengine iweje.. Hujasoma tabia za Baba J na wanawake wengine? Magonjwa etc hayo no. Acha awe na wivu kakubali wapo wawili sio kijiji kama alivyo anawatenda wawili anao bado kiguru njia na wengine. Acha kusema vibaya Iryn wamekuwa muwazi. Wanaume mkifunga zipu zenu haya hayatokei..

Wapi umeona atamvuruga, mmesoma stories hii au hamjasoma tena yote eeee na anayoandika nje ya episodes? Kama nyie wengine mmekutana na wanawake naamini lazima ni hawapo kama Iryn kutoka angle zote mpite kimya.

===========

Kuna wanaume sijui wanawake humu naona ishara za W I V U zinashamiriiiiiiiiiiiiiii
Wanatamani Insider abadilike amchukie Iryn kwa kumtungia maneno na wamekuwa muwazi. Mtofautishe watu na watu.. Bongoland labda ndio coz both wangekuwa wanatokea nchi moja.. Na Iryn kawa muwazi na yake. BABA JAA maneno mengine usiyachukue kabisaaaa kuanza kumbadilikia Iryn. Hawatakuwepo kukupa Hongera bali watakuwa kichekooo humu.
Hatimaye umekuwa mshauri wa baba J.
 
Hatimaye umekuwa mshauri wa baba J.

šŸ˜…šŸ˜…šŸ˜…
Yule nisivyomfagilia Mary labda yangu anasoma anapita maana hata likes alicha kunipa. 🤣🤣🤣

Tusubirie anaenda kwa Mama yake na Mzee na Dada baada ya kutoka SA kumkaribisha mtoto wao.

Sioni notifications sana siku hizi, ila uzi wake bado unasomwa kizaidi.
 
šŸ˜…šŸ˜…šŸ˜…
Yule nisivyomfagilia Mary labda yangu anasoma anapita maana hata likes alicha kunipa. 🤣🤣🤣

Tusubirie anaenda kwa Mama yake na Mzee na Dada baada ya kutoka SA kumkaribisha mtoto wao.

Sioni notifications sana siku hizi, ila uzi wake bado unasomwa kizaidi.
Uzi wake kilikuwa kijiwe pendwa cha kusogezea muda kama mtu yuko bored na mambo mengine
 
EXTRA EPISODE 07

BY INSIDER MAN

Biashara ya Uber ni moja ya biashara nzuri sana maana inakukutanisha na watu wengi sana wenye hadhi ā€œstatusā€ tofauti, foreigners, matajiri na maskini nknk.

Hii biashara niliiacha baada ya kifo cha Mzee Pama kwasababu ya kumuenzi kifo chake, Pama nilikutana naye kupitia hiihii Uber. Kwasasa hii biashara naifanya kwa kuajiri vijana na ninazo Uber mbili na dereva zangu wanafanya vizuri sana hakuna ujinga wanaofanya na wale wateja zangu wote nimewaunganisha nao.

Hii biashara imenikutanisha na watu wengi sana niwe mkweli, wengi sijawaandika kabisa kwenye hii story na wengi wao bado tuna wasiliana sana maana walikuwa wateja zangu na wana niamini. Nimekutana na watu wengi sana kupitia Uber kama watu maarufu, celebrities, wanasiasa nk, kipindi nafanya hii biashara na ndo iliyonipa connections na kutoboa maisha.

Just imagine bila Uber nisingekutana na Iryn, Mzee pama, Jane, Mzee Juma, Mama wa2, Mama Janeth, Sumaiya, Lucy, Prisca na Mary nknk. Kupitia Iryn ndo niliwajua hao wengine wote, kupitia Pama nilimjua mzee Juma na Jane. Hapo unaona connection moja inafungua au inaongeza connection zingine.

Dunia hii jinsi inavyokwenda tajiri rafiki zake ni matajiri, maskini rafiki zake ni maskini, dereva rafiki zake ni madereva, mfanyabiashara rafiki zake ni wafanyabiashara, vivyohivyo kwa mkulima, mwalimu, mwanafunzi, mlevi nknk.
Sasa kama wewe maskini ufanye nini ili uweze kukutana na matajiri? kwa mtizamo wa haraka utaona ni ngumu but ni very simple, the question is how?.

Ukifuatilia kwa makini utagundua matajiri wanaingia sehemu expensive na zenye thamani kama hadhi yao, ni ngumu sana kumkuta tajiri anakula kwa mama ntilie ni kitu ambacho hakiwezekani. Matajiri wengi utawakuta wakienda kupata lunch/dinner kwenye mahotel makubwa kama Serena, Hyatt, au kwenye migahawa mikubwa na ya kisasa.

Siku mojamoja jenga utaratibu wa kutembelea haya maeneo hata sio ghali kuingia kupata dinner au lunch ni vile uoga wetu. Nenda viwanja vikubwa kama Samakisamaki nknk huko utakutana na watu wenye hadhi tofauti, mtu anayeingia Samakisamaki actually hata kipato chake si kidogo. Na ukienda maeneo kama haya kuwa mtu wa kujichanganya usipende kukaa kivyako vyako hii itakusaidia kupata watu wapya. Kwa upande wangu toka nianze kwenda haya maeneo nakutana na watu wengi sana tofauti na wana status nzuri sana.

Maeneo ya hadhi kama haya ukiingia, ukakutana na mtu yoyote kwanza atakuheshimu ataona wewe si mtu wa kawaida. Ukijenga tabia ya kutembelea haya maeneo naamini utapata connections nyingi sana na utakutana na watu wenye hadhi.

Biashara ya Uber pia ni sehemu ambayo ni rahisi sana kukutana na matajiri sababu asilimia kubwa ndo usafiri wao, mtu kama anatoka point A to B ni ngumu kutumia usafiri wake ataishia kurequest. Kama Dereva uwe unapiga nao story hawa watu acha kujikuta kauzu msome kwanza mteja ukiona ni talkative anza kupiga naye story, hii itasaidia kufungua milango mingine.

Kwa upande wa Posta/Masaki kuna ofisi nyingi sana na utawabeba Ma-Hr, Managers, C.E.O’s nknk, jitahidi uwe unafanya engagement nao usiwaogope, tengeneza connection. Mimi Insider ningekuwa nataka kuajiriwa kipindi kile bhasi ningekuwa nilipata kazi muda sana.

Cheki conversations yangu na moja ya mteja niliyekutana naye Posta,

INSIDER: ā€œBossy wangu naona umependeza sana na pigo za Ki-HR.ā€

CUSTOMER: ā€œMhh kaka naonekana kama HR?ā€

INSIDER: ā€œExactly nambie kama nimekosea.ā€

CUSTOMER: ā€œHahaha hamna bhana, mimi ni mtu wa kawaida tu mbona.ā€

INSIDER: ā€œOoh sawa kama kweli wewe ni HR naomba connection ya mchongo, napambana na Uber angalau mkono uende kinywani, lakini huku ni kugumu sana.ā€

CUSTOMER: ā€œJamani lakini sio mbaya Mungu atakusaidia, una elimu gani kaka?ā€

INSIDER: ā€œNina degree ya Uchumi naweza kuisaidia kampuni kwenye mambo mengi sana, kama itatokea chance naomba nikumbuke bossy wangu.ā€

CUSTOMER: ā€œKaka usijali utanipa namba yako afu utanitumia na CV kabisa incase imetokea nafasi nikupambanie.ā€


Sasa ukituma CV kwa watu 20 hapo unakuwa na Probability kubwa ya kupata mchongo na ukiwa na qualifications nzuri, kutoboa ni haraka sana. Hawa watu wamenitafuta sana honestly, na last week kuna dada kanipigia simu nilimtumiaga CV mwakajana nilikuwa nimemsahau, sasa kanipigia simu ili anipe connection lakini nilimwambia nimerudi shule kusoma. Unaona ni muda mrefu lakini still alikuwa na CV yangu akanikumbuka, mimi nilikuwa nimesahau kabisa.

Suala la kupata wateja Private ni juhudi zako za kupambana na kuwa mbunifu, kumbuka Uber ni biashara na mpo wengi na wengi gari zao ni nzuri, inabidi uwe mjanja sana kuwapata hawa wateja wa Private.

Ukiwa smart unajiweka vizuri, gari yako ni safi nje na ndani, gari full AC na inanukia vizuri. Naamini huwezi kosa wateja wa private na asilimia kubwa ya wateja utakao wapata ni wanawake, kingine cha muhimu mtangulize Mungu pale unavyotaka kwenda mzigoni, just pray.

Mteja mpaka anaamua kukutumia private anaangalia vitu vingi sana kutoka kwako ukiachana nakuwa na gari kali, pia customer care nayo ni muhimu sana ili kuwavutia. Wanaume hawana shida ila kwa dada zetu wanapenda sana ukiwapa customer care nzuri sana, pamoja na kuwasifia sifia yaani wanapenda sana.

Kitu kingine ambacho Uber wanafeli sana, unakuta umemchukua mteja kutoka Posta kwenda Masaki. Baada ya kumdrop unamwacha aende badala ya kumuuliza kama anarudi tena Posta ili umrudishe wewe unamuacha aende kwa hapa mnafeli sana, wengi wenu mnapishana na hela.

INSIDER: ā€œDada samahani unarudi tena Posta? ili nikusubiri?ā€

CUSTOMER: ā€œYes narudi ila nitachelewa kidogo, kuna customer namuattend.ā€

INSIDER: ā€œUnaweza tumia muda gani maximum.ā€

CUSTOMER: ā€œ30 minutes maybe.ā€

INSIDER: ā€œMimi nitakuwa around kama utakaribia kumaliza just text me nianze kusogea.ā€

CUSTOMER: ā€œSawa usijali.ā€


30 minutes sio nyingi kwa kumsubiri customer maana kuna muda request zinakuwa shida afu biashara ni ushindani sana, lazima uwe mjanja na mbunifu. Kumbuka pia sio kila mteja atakwambia umsubiri ni wewe ujiongeze tu, sasa mteja kama huyu ukimrudisha Posta lazima atasave namba yako na ataanza kukutumia.

Kingine ukimshusha mteja kwa destination ongea naye kama atakuwa na kazi Private awe anakutumia, tengeneza na Business card zako unakuwa unawapa wateja. Ukiwapa wateja 30 business card yako kuna ambao watakutafuta tu mfanye kazi, na kumbuka ukifanya kazi na mmoja anafungua baraka ya kukuunganisha na wengine, circle yako inazidi kutanuka inafika stage unawateja wengi.

Mimi binafsi kuna stage ilifika hata Uber nikawa siwashi, yaani ile asubuhi nikiwa drop akina mama wa2 na Maggy, unakuta nina booking ya kufanya kazi na loan officers na hapo inakuwa kazi ya siku nzima.

Nilifanya kazi na hawa loan officers wa CRDB, NMB, EXIM, KCB nknk ni wengi mno nimefanya nao sana kazi, na wao kwa wao ndo walikuwa wanapeana connection wananitafuta. Malipo yanakuwaga kwa card ila sasa ikitokea wamepiga mshindo walikuwa wananipa sana hela.

Ukija kwa mtaani wengi walikuwa wananitafuta si unajua wanawake hawapendagi shida? Kama anasherehe bhasi atanitafuta tunakubaliana bei ya siku nzima afu tunafanya kazi, Dullah nilimpa connection ya mtoto wa bank na baadae kaja kuwa mke wake halali.

Nimefanya kazi nyingi sana yaani kuna muda nilikuwa napiga pesa mpaka ukiniletea story za kuajiriwa nakuona mchawi. Narudia tena kama upo smart ukifanya uber unapata kazi kwa haraka sana na maana utakutana na watu wengi wenye status tofauti.

Kitu kingine cha muhimu kwenye Uber ni uaminifu hata ukiona kitu cha thamani mteja amekisahau wewe mrudishie itakupa sifa nzuri sana. Nimekutana na simu nyingi sana kwenye gari wateja wamesahau, wallets, pochi nknk lakini nilikuwa nawarudishia kwa uaminifu na sikuwahi kuwa na tamaa.

Kitu kingine usikatae request hata kama mteja anakwenda sehemu ya mbali kama upo kazini wewe nenda cha muhimu ongea na mteja muone mnasaidianaje maana yeye anataka usafiri wewe unataka Pesa. Kama ni usiku na mteja anaingia ndani ndani sana, mchukulie bodaboda kwaajili ya usalama wako na uwe makini sana hasa kwa nyakati za usiku.

Huwa nawashangaa sana madereva wa Uber wanaolalamika kuwa biashara ni ngumu kwakweli huwa siwaelewi kabisa, kwa mwaka jana wakati Vita ya Russia/Ukraine imeanza kupamba moto kweli biashara ilikuwa ngumu sababu nauli zilipaa sana, ila kwa dereva wa Uber kutegemea request ni umaskini wa akili. Tumia Uber kukupa connections za kupata wateja wa private na sio kutegemea requests hapa utafeli tu na kuishia kulalamika biashara ni ngumu.

Jambo lingine madereva wa Uber 80% hawajatulia ni malaya, sasa ukiendekeza pussy hesabu maumivu, utaishia kuwapakia mademu bure kila wanakokwenda. Mademu wa Dar wajanja sana they know hot to manipulate a Man, hapo akikupata ana uhakika wa free Uber ya kumpeleka kwenye mishe zake. Hii tabia mpaka madem waliojariwa wanayo maana akikupata ana uhakika wa usafiri wa asubuhi, hakuna dem anayependa kupanda daladala asubuhi na kubanana hakuna.

Utakutana na mademu wengi sana kwenye hii biashara ila ukikosa self control utaishia kutembea nao na kuwagongea kwenye gari. Asilimia kubwa ya madereva wa Uber gari zao ni guest, nyie mnaotumia huu usafiri kuweni makini sana. Hawa jamaa wanagongea mademu au mashoga humo humo ya gari, usipendelee kukaa seat za nyuma ni hatari sana.

Umaskini ni mbaya sana ndugu zangu maana utakuwa unakubali kushawishika kwa vitu vidogo, sahivi mashoga asilimia kubwa wanaliwa na madereva wa Uber sababu ya njaa. Hawa watu sijui wanatoa wapi pesa kwakweli, lakini ndo kwanza wanakaa sehemu nzuri kama mbezi Beach, Mikocheni nknk.

Ukiwapakia hawa watu ni wasumbufu sana wata kutongoza sana, nimekutana nao sana hawa watu na wengi wamenisumbua sana mpaka kero, kukuwekea offa ya laki 5, million kwao ni kawaida. Sasa kwa dereva ambaye ana njaa hapa hatoboi ataishia kuwala tu, bad news mpaka mastar nao hamna kitu, kuna msanii huwa siamini kama na yeye ni chakula yaani daah! hali ni mbaya sana. Kuna presenter maarufu kanisumbua sana na niliishia kumblock lakini bado akaendelea kunitafuta kwa namba nyingine, mpaka nikamwambia nitaavujisha chats zako ndo akatulia ila hali ni mbaya sana Mungu atusaidie.

Ukiwa HB na unajipenda hawa wanawake watakutongoza sana na hasahasa wamama wanasumbua sana ā€œmashangaziā€. Mademu watakusumbua sana, nyakati za usiku utapakia mademu ambao hawajielewi wamelewa na kama unatamaa utaishia kuwala.

Dar ni mkoa mchafu sana hasa kwa nyakati za usiku, ukitaka kuamini hili wewe jaribu kutembelea maeneo ya Sinza, Masaki ndo utaona ushenzi unaofanyika. Nyakati za usiku kwa Sinza mashoga kibao wanazagaa, Masaki kuna Malaya wengi sana. Kwa Mbweni ukisikia illegal issues ndo ziko huko kama sembe, utapeli bhasi huko ndo HQ yake kwa hapa mjini. Hii Dar ione hivihivi lakini ni chafu sana, mimi Dar naijua yote hakuna kitu utakacho nidanganya na ninazifahamu chocho zote.

Mimi nilikuwa natafuta hela na sikuzote pesa utazipata kwenye mambo ya hovyo, mfano mimi nilikuwa na connection za kuwapata madem wa kizungu, kichina, kihindi nknk, kupitia Masai-Ellias na pia kuna chocho ziko Posta unawapata wazungu ni hela yako tu. Mfano madem wa kizungu minimum Price wanacharge kuanzia $300 mpaka $1,000 inadepend na quality ya mwanamke, hapo ukimuanganisha kwa tajiri hukosi hata $100-200 ya kuweka mfukoni. Mimi nashida gani? kwenda kumchukulia foreigner demu na kumplelekea hotelini na kujipatia $100 kuna kazi hapo?.

Ukiwa kwenye hio biashara utakutana na vishawishi vingi sana ukiachana na mademu, pia kuna vishawishi vya kuingia kwenye dili za kikubwa kama sembe, kusafirisha wazamiaji nknk, point hapa kuacha tamaa maana unaweza ambiwa kila kichwa cha mzamiaji ni 2M afu uwapeleke Bagamoyo hapo ukipiga hesabu una 10M, ni wachache ambao wanaweza kuikataa hii offa.

Ishu ya mwisho na muhimu kwa Dereva wa Uber ni kuzingatia usafi wako binafsi, vaa pendeza chomekea kama vile unakwenda ofisini, pulizia na unyunyu wako freshy. Kwa weekend mimi nilikuwa nakula pamba safi nimetupia jeans na t-shirt afu chini nina raba yangu kali freshy.

Usishangae haya mambo kazi ya Uber ni ngumu sana na inataka moyo, wapo watakao kudharau, kupewa kejeli ni jambo la kawaida sana, muhimu hapa wewe mind your business usipende kubishana au kugombana na wateja itakucost, kubali kuonekana mjinga ila kwa faida yako.

Katika vitu ambavyo nilijitahidi sana kuvizuia ni pamoja na wife kupanda ile Ist, maana niliona natengeneza mikosi kwa mke na mtoto. Ndomana nilikuwa nikirudi break ya kwanza ni bafuni kuoga kutoa nuksi ndo mambo mengine yaendelee, lingine nilikuwa najitahidi sana kufanya usafi wa gari.

Biashara ya Uber ni rahisi sana kukutana na watu wapya na kupata Connection nyingi sana kama utakuwa smart. Maana huku ni easy kukutana na foreigners, Celebrities , pisi kali nknk. Just assume wastani kwa siku unabeba abiria 10 mara 30= 300, zidisha mara miezi 12= 3,600. Huu ni wastani tu nimetumia, sasa kwenye hawa watu 3,600 utakosa connection hapa???.

Dereva wa Uber ukilalamika Biashara ngumu bhasi jua wewe upo kundi hili,

1. Unategemea request tu
2. Umeendekeza Mademu/Starehe
3. Hujiongezi.

Wewe utaishia kulalamika Biashara ngumu.

insiderman1@yahoo.com
For me,this is the best episode ever.

To all hard workers and hustlers out there,this financial consultation has worth more than 100M tsh. And also,this episode has unlocked the codes for those who are struggling in online taxing.

Bro,

You have my respect,big time!!
 
Back
Top Bottom