Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Balozi nyingi programme officer/manager tunakunja kuanzia 70m-100m kwa mwaka sembuse hao sent staff kama mama yake Irene.aanze tu na ubalozi wa Us wanapo tangaza nafasi za kazi hua wana onesha na annual salary ya kazi ambayo hata mkuu wa idara kibongo bongo hafikishi kwa mwaka ...
apo mtu ana lamba 49M / annual ukifika managerial position uko si ndo kijana utaanza temea watu mate barabarani 😂😂
Chai yake ya moto..Demu Ana mabiashara ya million kadhaa anashindwa kununua ist ya million 15.
Anaenda kupanga kwenye flat ya kusalimiana na majirani kama tandale au tandika.
Yaani chai imezidi sukari
Kubali kataaa
Mkuu kwa faida ya walaji, mimi sitaacha kupiga kelele pale maslahi ya walaji yanapotaka kuchezewa. Haiwezekani mtu anafanya udanganyifu halafu nikae kimya. Kama sehemu haina uhalisia basi nitasema ili mtoa mada apunguze uongo.Kipindi Cha nyuma nilikuwaga mkozoaji ktk story za watu nikapata upinzani mkubwa mno Basi nikaacha SAS HV mm nikusifiaaa tu mwanzo mwisho of which wadau hawataki ukosoe Wala kuhojihoji
So kakaa sifiaaa hta Kama unaona chai usiandike hapa utatukanwa na mtu Hadi wa namanyiree au namtumbo huko
Hakuna aliyepigwa ban we dada acha uongo, mtu apigwe ban kwa sababu ya kutoa maoni yake?Safi wameshakula ban INSIDER MAN weka vitu
Baada ya ban umekuja kwa I'd nyingine,tukana tena ule banHakuna aliyepigwa ban we dada acha uongo, mtu apigwe ban kwa sababu ya kutoa maoni yake?
Mtoa story alete story ila aache uongo la sivyo spana zipo palepale.
Sasa we una uhakika gani kama hii stori sio ya kweli?kama wewe hutaki kusoma si uwaachie wanaotaka?Hakuna aliyepigwa ban we dada acha uongo, mtu apigwe ban kwa sababu ya kutoa maoni yake?
Mtoa story alete story ila aache uongo la sivyo spana zipo palepale.
soma vzr ndugu utaelewaDemu Ana mabiashara ya million kadhaa anashindwa kununua ist ya million 15.
Anaenda kupanga kwenye flat ya kusalimiana na majirani kama tandale au tandika.
Yaani chai imezidi sukari
Kubali kataaa
aloooh.Kama ulikua humjui Marry Dadake PriscaView attachment 2702380
Sina ID zaidi ya hii, huwa situkani watu humu ila kwenye ukweli nasema maisha yanasonga.Baada ya ban umekuja kwa I'd nyingine,tukana tena ule ban
Acha upotoshaji hakuna aliyepigwa ban eti kwa sababu ya kuongea ukweli kuwa hii chai haina sukari.ban zimetembea asanteni uongozi wa Jf