Le grandeur
Member
- Feb 6, 2017
- 18
- 11
fanya hivi kakaNi simple sana,
Kwenye nyuzi kama hii kwa wale wote unaoona mnapishana mawazo, fungua profile yake afu pale juu ya vidoti vitatu bonyeza ignore, hautawahi kuona chochote anachopost sehemu yoyote ile. Tulifanya hili kwenye uzi wa kula tunda kimasihara kwa watu kadhaa na mwishoni kabisa wao wenyewe wali surrender. Tupitie humo naamini itakua msaada zaidi
Wanawake wote Kuna type fulani ya wanaume mnaipenda mpaka how to behave. The same kwa wanaume Kuna type fulani ya wanawake Ni common kuwashobokea. Ila bana ukweli wivu kwenye bongo zetu Ni real kabisa. Watu wanaweza wakakuua ukiwa na maisha mazuri ukiishi Kama mzungu na huku upo afrika. Ndio Mana watu wakipata hela wanakimbia mitaa ya umasikini wanaenda kuishi mitaa ya matajiri. Yaani ufukara Ni laana ,Sasa kupendwa na kushobokewa Ni ishu. Hapo ulipo umeshatongozwa na wanaume wangapiNi story nzuri liyojaa uongo nashangaa mtunzi anaiita true story. Kuna gap nyingi haswa yeye kukutana sana na abiria wa kike na wote wakamshobokea...zile trip za kupeleka abiria private posta...pesa zinavyotiririka upande wake nk
Otherwise ni mtunzi mzuri
Wanawake wote Kuna type fulani ya wanaume mnaipenda mpaka how to behave. The same kwa wanaume Kuna type fulani ya wanawake Ni common kuwashobokea. Ila bana ukweli wivu kwenye bongo zetu Ni real kabisa. Watu wanaweza wakakuua ukiwa na maisha mazuri ukiishi Kama mzungu na huku upo afrika. Ndio Mana watu wakipata hela wanakimbia mitaa ya umasikini wanaenda kuishi mitaa ya matajiri. Yaani ufukara Ni laana ,Sasa kupendwa na kushobokewa Ni ishu. Hapo ulipo umeshatongozwa na wanaume wangapi
Ua la zawadiLeo nimepita eneo ambalo linahistoria kubwa sana kwenye maisha yangu.[emoji23]
View attachment 2702066
Kama uongo pita KULE[emoji117]Ni story nzuri liyojaa uongo nashangaa mtunzi anaiita true story. Kuna gap nyingi haswa yeye kukutana sana na abiria wa kike na wote wakamshobokea...zile trip za kupeleka abiria private posta...pesa zinavyotiririka upande wake nk
Otherwise ni mtunzi mzuri
Huu ushauri uzingatiweNi simple sana,
Kwenye nyuzi kama hii kwa wale wote unaoona mnapishana mawazo, fungua profile yake afu pale juu ya vidoti vitatu bonyeza ignore, hautawahi kuona chochote anachopost sehemu yoyote ile. Tulifanya hili kwenye uzi wa kula tunda kimasihara kwa watu kadhaa na mwishoni kabisa wao wenyewe wali surrender. Tupitie humo naamini itakua msaada zaidi
Wewe ongeza sukariKama story haina uhalisia lazima tuseme, kule mwanzo ndiko kwenyewe ila huku mbele kaongeza sana chumvi mpaka tumeshtuka.
Huyu mwamba ni mjanja wa kijijini so analeta ujanja pori wake mjiniAcha mambo yakiwaki Wew me namjua jamaa Ni accountant TPA Kabsa na analipwa Si chini ya 1.8m lakini kapanga gheto na choo cha kushare so usijudge kila mtu na fikra zakoo
Toa upumbavu wakoMtunzi anahariri hadithi yaje ili asije akaleta story za uongo, nilishampa onyo nadhani anatekeleza matakwa yangu ya kuedit story yake, akimaliza atawaletea.
Si kweli yeye sio Yesu apendwe na kila mtu na mfululizo wa matukio yanavyoungana easily plus kila mtu kumuamini yamekosa uhalisia kwenye fiction yakeWanawake wote Kuna type fulani ya wanaume mnaipenda mpaka how to behave. The same kwa wanaume Kuna type fulani ya wanawake Ni common kuwashobokea. Ila bana ukweli wivu kwenye bongo zetu Ni real kabisa. Watu wanaweza wakakuua ukiwa na maisha mazuri ukiishi Kama mzungu na huku upo afrika. Ndio Mana watu wakipata hela wanakimbia mitaa ya umasikini wanaenda kuishi mitaa ya matajiri. Yaani ufukara Ni laana ,Sasa kupendwa na kushobokewa Ni ishu. Hapo ulipo umeshatongozwa na wanaume wangapi
Kwani mimi nimekataza mtu kuisoma ni vile tu nimetoa maoni yangu hamjayapenda. Fiction story haijifichiKama uongo pita KULE[emoji117]
TUACHE NA STORI YETU[emoji28]