Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Iry baba take ni mzungu kama umeifuatilia hii story, na mama yake ni mtu wa Ethiopia na hakutaka kuja bongo ila mama yake kabla hajafa alimtaka atejee hapa kwa ajili ya usimamizi wa compny yake, na nyumba za mama yake na siyo vingnevyo
 
Iry baba take ni mzungu kama umeifuatilia hii story, na mama yake ni mtu wa Ethiopia na hakutaka kuja bongo ila mama yake kabla hajafa alimtaka atejee hapa kwa ajili ya usimamizi wa compny yake, na nyumba za mama yake na siyo vingnevyo
Usimamizi wa kampuni ndo kujiuza
 
6500 ni sawa na million 14 kama sikosei ...

Hivi unaichukulia poa Hela nyie .

Acheni masihara na fiction.

Jamaa mwenyewe amaechukua hoteli kawe beach.
 
6500 ni sawa na million 14 kama sikosei ...

Hivi unaichukulia poa Hela nyie .

Acheni masihara na fiction.

Jamaa mwenyewe amaechukua hoteli kawe beach.
Kwako wewe ni ngumu kutokana na cycle yako lakini wapo wanaoweza tumia hata zaidi ya hiyo hivyo jifunze kuyokujilinganisha na wengine kimaisha ndg
 
Tusome tu mkuu hahahah
 
Sasa hii inapunguza nini kujifunza na kuburudika? Mbona huwa tunakaa sebuleni na netfrix kuangalia / kulipia filamu mbalimbali wakati tunajua wanaigiza? .
Kwani kuna kupungukiwa na nini? Au wivu tu?
We ndio lofa kabisa, mleta story amesema ni story ya kweli ila katika kusimulia anasimulia matukio ambayo hayana uhalisia, hapa lazima aambiwe ukweli. Kama ni kuburudika tu angesema mwanzo kule kuwa ni story ya uongo ila sio kutudanganya.
 
Wewe fala kasome.vizuri jamaa amelipa dollar 6500 sawa na million 17.

Aliyetaka kumbaka iryn.

Hivi million 17 mnaijua nyie.

Halfu insider akampa mlinzi elfu 50 chai chai
Kazi yake ya udereva kumuendesha iryn kwa siku 3 analipwa laki 3 means kwa siku analipwa laki 1 ila ajabu akatoa chap elfu 50 kumpa mlinzi means mafuta ya sh ngapi kwa siku anatumia, savings ni kiasi mpaka atoe tu kirahisi elfu 50. Huyu jamaa ni muongo matukio mengi kayaongeza hasa ya kujisifusifu kupendwa na wadada mara kujiita gentleman mara kujifanya anajenga n.k mbapo nadhani ana malengo yake binafsi jukwaani. Kuna watu hasa mademu wa humu wanaenda kupigwa na kitu kizito pm.
 
Kama huyo mtaalaam wa kuwaondoa watu wanaopinga humu yupo basi aanze na mimi, sisi humu tupo kwa ajili ya check and balance na tuko wengi kama kampuni kwa hiyo hata ukiniban mimi atakuja mwingine kumnyoosha mtoa story asiendelee kuwadanganya matomaso nyinyi.
 
Leta story acha kusikiliza watu
 
Dah mkuu naheshimu mawazo yako japo nimejisikia vibaya
 
Wapi umemkuta akijiuza zaidi ya kufanya biashara zake za saloon na massage, maana yeye kama yeye anajiyosheleza na mishe zake hizo za mama ni ziada tuu
Huko episode za nyuma msimuliaji mwenyewe alisimulia kuwa iryn alimwambia mara moja moja imetokea katombwa na wateja ila mpaka awe kampenda, sasa huko sio kujiuza. Sisi watetezi wa walaji tuna details na tunasoma between lines kuhakikisha walaji hamdanganywi na mtoa simulizi.
 
We ndio lofa kabisa, mleta story amesema ni story ya kweli ila katika kusimulia anasimulia matukio ambayo hayana uhalisia, hapa lazima aambiwe ukweli. Kama ni kuburudika tu angesema mwanzo kule kuwa ni story ya uongo ila sio kutudanganya.
Kwahiyo ikiwa ya uongo ndio utaridhika kuwa msimuliaji ana maisha magumu kama wewe?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…