Thank you my dear
Nitakuepo hapo kwenu sooner, hapa natokea UndomoKoho koho kohokoho!
Iry baba take ni mzungu kama umeifuatilia hii story, na mama yake ni mtu wa Ethiopia na hakutaka kuja bongo ila mama yake kabla hajafa alimtaka atejee hapa kwa ajili ya usimamizi wa compny yake, na nyumba za mama yake na siyo vingnevyoMalezi nitakubaliana na wewe. Ila wazazi wake bado ni africans. Mtu asomeshwe mpaka nje alafu aje afanye kazi ya massage tena Bongo. Alikuwa na access ya kwenda other places kama Dubai, paris au hata london sio Bongo. Pia kuhusu bei ya 1500$ sikatai people pay mpaka 10,000$ massage ila very rare and even impossible for a British guy. From descriptions ya body structure ya IRYN ni zile bantu bodies waingereza hawapendi hizo. Wao ni zuchu type. And tumia logic, ili ulipe 1500$ for a massage lazima utakuwa unalala hotel ya nyota 5 kuendelea sasa description ya insider ya hapo alipoenda inaelekea ni sehemu ya kawaida. Mfano alipoengelea yule muarabu sijui kutoa zawadi ya 30m mara kumpa insider 5m hio inauhalisia, ARABs are ballers and have money balaaa na hawanashida kutumia hela kutimiza fantasy zao, ila muingereza hapana kwa kweli. I have lived there for 5 years, hapa insider kaongeza chumvi.
Usimamizi wa kampuni ndo kujiuzaIry baba take ni mzungu kama umeifuatilia hii story, na mama yake ni mtu wa Ethiopia na hakutaka kuja bongo ila mama yake kabla hajafa alimtaka atejee hapa kwa ajili ya usimamizi wa compny yake, na nyumba za mama yake na siyo vingnevyo
6500 ni sawa na million 14 kama sikosei ...Mbona tunakoseana heshima ndg, sijakutukana lakini ushaanza nitukana, kwanza uliposema $10,000 ni uongo alafu hapo alipo toa hiyo $ 6500 malipo ya massage yalikuwa ni $1500
Baada ya kuvunja simu ya Iryn na arassment aliyomfanyia ya kutaka kumbaka ndipo alitakiwa kulipa $ 7500 kama sijakosea na jamaa akaomba akasema yeye anaweza kulipA $ 6500 jifunze kusoma na kuelewa na usiwe mropokaji ndg,
master mbona unadata hivo?,kumbuka jamaa apo kaongelea hela ya huduma ya kukandwa tu na siyo kesi ya ubakaji....Wewe nawe haujui kusoma amelipa Dollor 6500
Wapi umemkuta akijiuza zaidi ya kufanya biashara zake za saloon na massage, maana yeye kama yeye anajiyosheleza na mishe zake hizo za mama ni ziada tuuUsimamizi wa kampuni ndo kujiuza
Kwako wewe ni ngumu kutokana na cycle yako lakini wapo wanaoweza tumia hata zaidi ya hiyo hivyo jifunze kuyokujilinganisha na wengine kimaisha ndg6500 ni sawa na million 14 kama sikosei ...
Hivi unaichukulia poa Hela nyie .
Acheni masihara na fiction.
Jamaa mwenyewe amaechukua hoteli kawe beach.
[emoji28][emoji28][emoji28]Humu ndani watu wanamakasiriko sana kutokana na ugumu wa maisha tunayoishi ila siyo kila mtu maisha yake ni magumu kama tunayopitia wengine?
Tujifunze kuelewa hilo
Tusome tu mkuu hahahahHila na mimi nimeshtuka! Hii story ni ya kutunga haina uhalisia wowote! Kwa watafutaji tunajua hela ni mgumu kuipata! Sasa huyu jamaa kwanza wateja wake ni 'ke' na wote wanahela na wanampenda! Dah! Na wanashobokea kigari aina ya ist eti kwasababu ni kisafi!! Mh? Utajiri wa iryn hauendani na maisha halisi yakupanga apartment za kushare wapangaji kibao! Angalia matanuzi sehemu za starehe! Bili ya watu wawili eti laki tano! [emoji1] [emoji1787] [emoji23] [emoji38] n.k.
We ndio lofa kabisa, mleta story amesema ni story ya kweli ila katika kusimulia anasimulia matukio ambayo hayana uhalisia, hapa lazima aambiwe ukweli. Kama ni kuburudika tu angesema mwanzo kule kuwa ni story ya uongo ila sio kutudanganya.Sasa hii inapunguza nini kujifunza na kuburudika? Mbona huwa tunakaa sebuleni na netfrix kuangalia / kulipia filamu mbalimbali wakati tunajua wanaigiza? .
Kwani kuna kupungukiwa na nini? Au wivu tu?
Kazi yake ya udereva kumuendesha iryn kwa siku 3 analipwa laki 3 means kwa siku analipwa laki 1 ila ajabu akatoa chap elfu 50 kumpa mlinzi means mafuta ya sh ngapi kwa siku anatumia, savings ni kiasi mpaka atoe tu kirahisi elfu 50. Huyu jamaa ni muongo matukio mengi kayaongeza hasa ya kujisifusifu kupendwa na wadada mara kujiita gentleman mara kujifanya anajenga n.k mbapo nadhani ana malengo yake binafsi jukwaani. Kuna watu hasa mademu wa humu wanaenda kupigwa na kitu kizito pm.Wewe fala kasome.vizuri jamaa amelipa dollar 6500 sawa na million 17.
Aliyetaka kumbaka iryn.
Hivi million 17 mnaijua nyie.
Halfu insider akampa mlinzi elfu 50 chai chai
Kama huyo mtaalaam wa kuwaondoa watu wanaopinga humu yupo basi aanze na mimi, sisi humu tupo kwa ajili ya check and balance na tuko wengi kama kampuni kwa hiyo hata ukiniban mimi atakuja mwingine kumnyoosha mtoa story asiendelee kuwadanganya matomaso nyinyi.Ila nyie watu mnaojidai kupinga kila kitu kwenye hii stori mbona kama mnatafuta tu attention. Ni kama vile mnamuonea jamaa wivu kwa kuwa uzi wake unapendwa na kufatiliwa na wengi.
Ni simple tu kama huyaamini anayosema usiingie kwenye huu uzi tuachieni sisi wajinga tunaoamini. Simpe as that.
Jamani kama kuna wataalamu wa kuwaondoa hawa watu wanaoharibu huu uzi hebu saidieni wasiweze kuchangia humu wanachafua tu hali ya hewa. Better kuwablock waende kwenye nyuzi zingine. Ajitokeze mtu kuwaondoa please
Leta story acha kusikiliza watuNdugu zangu wana JF kwa heshima ya watu wote humu ndani naomba kuisotisha hii story iishie hapa sitoimaliza maana inaonekana ni chai. Na mimi siwezi kupoteza muda kuandika kitu ambacho watu wanasema ni uongo.
Nina mambo na majukumu mengi ya kufanya na hakuna anayenilipa kwenye hii story, napoteza muda wangu kuwapa watu story kilichonitokea na mpaka nikaamua kuandika lakini inaonekana ni 0,
Nafikiri kila mtu aendelee na mambo yake kwa stage iliyofikia kumaliza story itakua ngumu, nafikiri tuishie hapa. Kama mtu ameshasema story ni chai kuna haja gani ya kuendelea kuandika?.
Kwa wale tuliokuwa pamoja ahsanteni kwa muda tulionza pamoja ila mimi binafsi nimeshindwa kuendelea kuandika, maana watu wanakatisha sana tamaa.
Story haijaisha hapo niko na matukio ya March, lakini mtu kashaaanza kutukana, haters wamekua wengi, lakini hii ni JF kila mtu anahaki ya kuongea. Ustaarabu mngesubiri story iishe hapo ndo muanze kujudge, maana hivi vyote nilivyoandika na ushahidi navyo kwa picha, Contracts nilizoingia nawateja zangu zote ninazo mpaka Iryn.
Story haijaisha mtu watu wameanza kukosoa anyway ndo wabongo walivyo, sinaga muda na JF ila haya matukio yalinitokea ni kweli na nilikua ndo nimeanza kuingia kwenye kiini cha story na nilikua nimepanga kuandika Epsodes 30 tu.
Wabongo tunakosa kitu kinaitwa patient hapa ndo tunafeli sana, story haijaisha hata mjue lengo la kichwa cha story lakini watu wameanza kushout. Siwezi endelea kuandika kwa style hii inakatisha tamaa, ndomana story nyingi za JF zinaishia njiani.
Wale ambao tunawasiliana PM na tumebadlishana namba tutaendelea kuwasiliana tuko pamoja, ila niseme biashara ya Uber ilinipa mafanikio sana na mpaka sasa naendelea kunufaika.
ALL THE BEST
Dah mkuu naheshimu mawazo yako japo nimejisikia vibayaNdugu zangu wana JF kwa heshima ya watu wote humu ndani naomba kuisotisha hii story iishie hapa sitoimaliza maana inaonekana ni chai. Na mimi siwezi kupoteza muda kuandika kitu ambacho watu wanasema ni uongo.
Nina mambo na majukumu mengi ya kufanya na hakuna anayenilipa kwenye hii story, napoteza muda wangu kuwapa watu story kilichonitokea na mpaka nikaamua kuandika lakini inaonekana ni 0,
Nafikiri kila mtu aendelee na mambo yake kwa stage iliyofikia kumaliza story itakua ngumu, nafikiri tuishie hapa. Kama mtu ameshasema story ni chai kuna haja gani ya kuendelea kuandika?.
Kwa wale tuliokuwa pamoja ahsanteni kwa muda tulionza pamoja ila mimi binafsi nimeshindwa kuendelea kuandika, maana watu wanakatisha sana tamaa.
Story haijaisha hapo niko na matukio ya March, lakini mtu kashaaanza kutukana, haters wamekua wengi, lakini hii ni JF kila mtu anahaki ya kuongea. Ustaarabu mngesubiri story iishe hapo ndo muanze kujudge, maana hivi vyote nilivyoandika na ushahidi navyo kwa picha, Contracts nilizoingia nawateja zangu zote ninazo mpaka Iryn.
Story haijaisha mtu watu wameanza kukosoa anyway ndo wabongo walivyo, sinaga muda na JF ila haya matukio yalinitokea ni kweli na nilikua ndo nimeanza kuingia kwenye kiini cha story na nilikua nimepanga kuandika Epsodes 30 tu.
Wabongo tunakosa kitu kinaitwa patient hapa ndo tunafeli sana, story haijaisha hata mjue lengo la kichwa cha story lakini watu wameanza kushout. Siwezi endelea kuandika kwa style hii inakatisha tamaa, ndomana story nyingi za JF zinaishia njiani.
Wale ambao tunawasiliana PM na tumebadlishana namba tutaendelea kuwasiliana tuko pamoja, ila niseme biashara ya Uber ilinipa mafanikio sana na mpaka sasa naendelea kunufaika.
ALL THE BEST
Huko episode za nyuma msimuliaji mwenyewe alisimulia kuwa iryn alimwambia mara moja moja imetokea katombwa na wateja ila mpaka awe kampenda, sasa huko sio kujiuza. Sisi watetezi wa walaji tuna details na tunasoma between lines kuhakikisha walaji hamdanganywi na mtoa simulizi.Wapi umemkuta akijiuza zaidi ya kufanya biashara zake za saloon na massage, maana yeye kama yeye anajiyosheleza na mishe zake hizo za mama ni ziada tuu
Kwahiyo ikiwa ya uongo ndio utaridhika kuwa msimuliaji ana maisha magumu kama wewe?!We ndio lofa kabisa, mleta story amesema ni story ya kweli ila katika kusimulia anasimulia matukio ambayo hayana uhalisia, hapa lazima aambiwe ukweli. Kama ni kuburudika tu angesema mwanzo kule kuwa ni story ya uongo ila sio kutudanganya.