Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Kufanya biashara na wewe sio sababu ya kunianika, mimi ni verified member na na watu wengi tu najuana nao physically including you, sasa kunijua jina na details zangu kadhaa usidhani unayajua maisha yangu yote.

Nilikuwa msamvu najenga hostel ya mzee pale MUM ndio nikawasiliana nawewe wakati nje ya hapo hatujuani kihivyo
 
Mdau kumbe anaitwa Hassan Kilo yupo msamvu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Story ni yake anaelezea kile anataka yeye, ameamua kusimulia wateja wake aliyechagua yeye, huwezi mpangia kile Cha kusema kwa kuwa so far hujui ana lengo Gani katika simulizi yake ndio maana Kuna baaadhi ya watu amewataja na akasema story zao atazisema baadae.... Pamoja yakuwa wataka kuwa critic kwenye hii story nadhani Sasa umezidi mipaka na imekuwa a personal heatrage towards his writing..hii si sawa..kama hupendezwi na uandishi wake acha kumfuatilia maaana hakuna humu aliyekutuma kuwa muwakilishi wetu against the story of INSIDER MAN
 
Insider man, hata siku moja usishindane na mjinga na wala usimpe mjinga uhalali wakukushinda embu fikiria lengo lako la kuanzisha uzi huu naamini kabisa kabla hujaamua kuandika hapa najua ulijua fika utakutana na changamoto maana siyo kila mtu atakubakiana na mawazo yako na mwisho wa siku ukaamua kuja hapa na kuelezea yale ukiyopitia na lengo lako siyo kutufurahisha au kututingia ila ukitamani kama vijana wenzio tupate somo la maisha! 1- nidhamu ya kazi
2- umakini na uadilifu wa kile unavhokifanya
3- kuyashinda matamanio ya miili yetu hasa ngono
4 - kuheshimu na kuwathamini wengine
Hakika nakupongeza kwa hilo ndg, kwani wapo tuliojifunza mengi kwa story hii yako na tulitamani sana kuendela kujifunza mengi kutoka kwako
Pia uliahidi hutakubali kuvunjwa moyo na hao wahafidhina na pia ungetoa connection kwa wengine au njia ya namna ambavyo wanaweza kufanikiwa kama wewe
Nakuomba ndg kubali kuonekana hujui lakini kumbuka unafanyika kuwa baraka kwa watu wengi hasa wasomaji tunaokuguatilia kila saa ndg, tunakuomba tejea na makizia simulizi yaki kaka na Mungu atazidi kukubariki maana nia na dhamira yako ni watu tujifunze kupitia safari yaki! Insider piga moyo konde na endelea kutoa darasa kaka
 
Bwana mdogo na ukali wote wa maneno kumbe fundi uashi, embu jaribu kuwa mstaarabu kwenye nyuzi za watu. Pia kumiliki pasi ya kusafiria sio ujanja, unaweza kuwa nayo na usiitumie ipasavyo kama inavyotakiwa.
 
Kwenye hili mimi ndiyo namshangaa huyu mdau Medicine yaani anaumia sababu jamaa anaelezea wateja wanawake wanavyomkubali. Jamaa atakuwa na shida mahali huyu
 
Umenikukbusha wakati flan mti mmja alikuwa akileta story flan ya kukamatwa kwa mtoto mmoja wa kigogo wa nchi hii kukamatwa na wale wenye macho madogo.

Ile habari ilikuwa moto. Na kwamba ilikuwa kweli SI kweli sisi hayakutuhusu. Watoto wengi siku hizi wametuharibia mambo mengi Sana.

Nakumbuka sababu ya zito kuondolewa CDM ilikuwa humu ilikiwa kweli aunsi kweli hayakutuhusu.

Story kama hizi tunazisoma tukiwa sehem sehem anakuja mtu anabishia kitu ambacho hakimuhusu.

Umeongea vema Ushimen ila nalaumu wasimamizi
 
Kwanini hutaki Mtoa mada aelezea alivyokuwa anakubalika na wanawake hii wewe inakuumiza kivipi ?
 
Mods wakati mwingine muwe mnapiga watu pin wanaenda kuharibu nyuzi za watu kama mtu anaona ni uongo kwanini apoteze muda kusoma, please mods wakati mwingne muwadhibiti hawa mapema kabisa maana wanajikuta wajuaji lakini ni wajinga tuu
 
Kwa busara ya kawaida achana na criticism ya huu Uzi na endelea na mambo mengine as jinsi unavyo komaa ndio unavyozidi kuwaaminisha watu changamoto za kijamii zimekukumba na Sasa unatafuta a place to dump your frustrations
 
Mnaokuja pm kuniomba nilegeze msimamo wangu sitaki, nimeamua kwa hiari yangu kuwatetea walaji kwa hiyo sishauriki katika hilo, lengo ni kuiona jf yenye maudhui ya kweli na maana sio kunyweshana chai ya moto na joto hili.
Kuna mdau ameuliza mkuu hivi hapo Msamvu kuna sehemu inaitwa Dubai au Marekani ?
 
Hivi unapata shida gani huko moyoni juu ya hii story? Mbona ccm inakudanganya Kila siku na bado unaitikia hewala🤲.

Kama mnaona hii story inauongo Basi mtuambie ukweli ni upi.
 
Msamvu sehemu gani nikamchape makofi[emoji28][emoji28]
 
Kwa busara ya kawaida achana na criticism ya huu Uzi na endelea na mambo mengine as jinsi unavyo komaa ndio unavyozidi kuwaaminisha watu changamoto za kijamii zimekukumba na Sasa unatafuta a place to dump your frustrations
Sasa unatakiwa uniombe kama wenzio walivyokuja pm kuniomba niache jamaa aendelee na story, bila ya kuniomba nitaendelea kuwatetea walaji wa humu jf wasiokuwa na uwezo wa kusema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…