Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Nakumbusha picha ya gari ikiwa na rim na tyre mpya

5e6ec785-0629-435c-a841-bfa47db18ee8.jpg
 
Natamani kuwa uber kama wewe ila kingeleza sijui kabisaaa…Yani kwa hao wateja wako wanaokupa hela hasa yule mzungu walah mi nishamkosaa [emoji28][emoji28] mana nitaishia U know U know..
[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Usipelekwe pelekwe na mpuuzi yoyote,twende mdogo mdogo kwa jinsi unavyoweza

Tunahitaji upate muda zaidi na utueleze vizuri na usisahau kitu

Ningependa kwa irene uwe unaandika zaidi mfano alitoka ndani na kigauni cha kijani kimemkaa poa sana na hips zimepangika kinoma kimeishia magotini tu alivyoingia ndani ya gari kikapanda juu huo mpaja kidogo niangushe gari mtaroni

Au kama ametoka na suru tueleze ni namna gani inakuwa imemchora
 
Wewe nawe ni zumbukuku tu hii story anasimulia habari zilizopita hiyo komenti ni kitu kimemtokea juzi soma ùelewe story vizuri.
ohoooo! Nao nimewaamsha kunguni, dadeki! ntalala leo kweli....hata mi niliona lakini nimeona siwezi kua sireous kihiiiiivo nkiwa humu ndani,
 
Back
Top Bottom