blance86
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 2,138
- 5,632
Nipo hapa pembeni ya shopaz mikocheni mkuunaona weekend yako imeanza vema mkuu, npe location...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo hapa pembeni ya shopaz mikocheni mkuunaona weekend yako imeanza vema mkuu, npe location...
siko mbali,naeza karibia apo lakini sitokutafuta coz najua ntakutana na mtu fake kama id yako,, hahahahaha....Nipo hapa pembeni ya shopaz mikocheni mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimecheka kwa sautisiko mbali,naeza karibia lakini sitokutafuta coz najua ntakutana na mtu fake kama id yako,, hahahahaha....
Hizo zisiwezi kabisa toka miaka mingi sana za kijinga sana.... 🤣hahahahaha we jamaa hufai kuangalia movie za kibongo,kikorea,kituruki,kifiripino na kihindi, coz utaishia kutukana tu na kuvunja rimoti,,UPO MAKINI MNO....
EPISODE 9 na ya Mwisho.
A TRUE STORY BY OUTSIDE MAN’
Basi nikaanza kutafakari leo nimuambie hiyo lipstick ni ya mke furani wa kigogo mmoja wa usalama kama vipi tuende kwake pamoja na wewe mama Junior... basi Mama Junior alipoona ujasiri wangu akaanza kupoa na kisha akaelewa somo akasema Mume wangu kuwa makini wanawake wana makusudi sana na ndio tabia zao kuacha vitu vidogo vidogo ili ulienae ajue muachane.. basi nikala kisha nikalala Mwisho wa Story yangu utakapo soma story hii nipo Jela Iryn kumbe alikuwa muuza Madawa kuna siku tulishikwa pamoja na kikosi maalum cha madawa ya kulevya tukapelekwa Polisi na mahakamani. Kukamatwa kwetu Kulitangazwa na kituo cha habari cha Taifa. kumbe ile tabia ya kuacha kibegi seat ya nyuma ni njia ya usalama wake so alikana sio kibegi chake na mimi ikala kwangu so nipo jela nimefungwa Maisha.....
Atasimulia vipi mwenzio amekueleza keshafungwa yuko jela hivyo.Mkuu tupe mwendelezo maana umeanza vizuri sana.
😄😄😆😅😅EPISODE 9 na ya Mwisho.
A TRUE STORY BY OUTSIDE MAN’
Basi nikaanza kutafakari leo nimuambie hiyo lipstick ni ya mke furani wa kigogo mmoja wa usalama kama vipi tuende kwake pamoja na wewe mama Junior... basi Mama Junior alipoona ujasiri wangu akaanza kupoa na kisha akaelewa somo akasema Mume wangu kuwa makini wanawake wana makusudi sana na ndio tabia zao kuacha vitu vidogo vidogo ili ulienae ajue muachane.. basi nikala kisha nikalala Mwisho wa Story yangu utakapo soma story hii nipo Jela Iryn kumbe alikuwa muuza Madawa kuna siku tulishikwa pamoja na kikosi maalum cha madawa ya kulevya tukapelekwa Polisi na mahakamani. Kukamatwa kwetu Kulitangazwa na kituo cha habari cha Taifa. kumbe ile tabia ya kuacha kibegi seat ya nyuma ni njia ya usalama wake so alikana sio kibegi chake na mimi ikala kwangu so nipo jela nimefungwa Maisha.....
😅😅😅ilibaki 🤌niaminiEPISODE 9 na ya Mwisho.
A TRUE STORY BY OUTSIDE MAN’
Basi nikaanza kutafakari leo nimuambie hiyo lipstick ni ya mke furani wa kigogo mmoja wa usalama kama vipi tuende kwake pamoja na wewe mama Junior... basi Mama Junior alipoona ujasiri wangu akaanza kupoa na kisha akaelewa somo akasema Mume wangu kuwa makini wanawake wana makusudi sana na ndio tabia zao kuacha vitu vidogo vidogo ili ulienae ajue muachane.. basi nikala kisha nikalala Mwisho wa Story yangu utakapo soma story hii nipo Jela Iryn kumbe alikuwa muuza Madawa kuna siku tulishikwa pamoja na kikosi maalum cha madawa ya kulevya tukapelekwa Polisi na mahakamani. Kukamatwa kwetu Kulitangazwa na kituo cha habari cha Taifa. kumbe ile tabia ya kuacha kibegi seat ya nyuma ni njia ya usalama wake so alikana sio kibegi chake na mimi ikala kwangu so nipo jela nimefungwa Maisha.....
hahahhahahaaha naona hata insider hayupo makini kwenye simulizi za wenzie....Atasimulia vipi mwenzio amekueleza keshafungwa yuko jela hivyo.
EPISODE 9 na ya Mwisho.
A TRUE STORY BY OUTSIDE MAN’
Basi nikaanza kutafakari leo nimuambie hiyo lipstick ni ya mke furani wa kigogo mmoja wa usalama kama vipi tuende kwake pamoja na wewe mama Junior... basi Mama Junior alipoona ujasiri wangu akaanza kupoa na kisha akaelewa somo akasema Mume wangu kuwa makini wanawake wana makusudi sana na ndio tabia zao kuacha vitu vidogo vidogo ili ulienae ajue muachane.. basi nikala kisha nikalala Mwisho wa Story yangu utakapo soma story hii nipo Jela Iryn kumbe alikuwa muuza Madawa kuna siku tulishikwa pamoja na kikosi maalum cha madawa ya kulevya tukapelekwa Polisi na mahakamani. Kukamatwa kwetu Kulitangazwa na kituo cha habari cha Taifa. kumbe ile tabia ya kuacha kibegi seat ya nyuma ni njia ya usalama wake so alikana sio kibegi chake na mimi ikala kwangu so nipo jela nimefungwa Maisha.....
Kupanuliwa ,umeshapanuliwa! Hata kuchomeka unahitaji maelekezo!? Uelekezwe namna inavyochomekwa!!!? Grow up!Story nzuri. Tunasuburia kujua biashara anayofanya Iryn.
Anatumika huko unataka ukamsaidie?HV Nakadori siku hz Yu wapi au kapata bwana nn
Duuuh.Hii story isije ikawa kama ya jamaa mmoja anajiita bm X6 story ina miaka zaidi ya 2 kama isidingo
🤣🤣🤣🤣Atasimulia vipi mwenzio amekueleza keshafungwa yuko jela hivyo.