Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

EPISODE 9 na ya Mwisho.
A TRUE STORY BY OUTSIDE MAN’


Basi nikaanza kutafakari leo nimuambie hiyo lipstick ni ya mke furani wa kigogo mmoja wa usalama kama vipi tuende kwake pamoja na wewe mama Junior... basi Mama Junior alipoona ujasiri wangu akaanza kupoa na kisha akaelewa somo akasema Mume wangu kuwa makini wanawake wana makusudi sana na ndio tabia zao kuacha vitu vidogo vidogo ili ulienae ajue muachane.. basi nikala kisha nikalala Mwisho wa Story yangu utakapo soma story hii nipo Jela Iryn kumbe alikuwa muuza Madawa kuna siku tulishikwa pamoja na kikosi maalum cha madawa ya kulevya tukapelekwa Polisi na mahakamani. Kukamatwa kwetu Kulitangazwa na kituo cha habari cha Taifa. kumbe ile tabia ya kuacha kibegi seat ya nyuma ni njia ya usalama wake so alikana sio kibegi chake na mimi ikala kwangu so nipo jela nimefungwa Maisha.....
 
EPISODE 9 na ya Mwisho.
A TRUE STORY BY OUTSIDE MAN’


Basi nikaanza kutafakari leo nimuambie hiyo lipstick ni ya mke furani wa kigogo mmoja wa usalama kama vipi tuende kwake pamoja na wewe mama Junior... basi Mama Junior alipoona ujasiri wangu akaanza kupoa na kisha akaelewa somo akasema Mume wangu kuwa makini wanawake wana makusudi sana na ndio tabia zao kuacha vitu vidogo vidogo ili ulienae ajue muachane.. basi nikala kisha nikalala Mwisho wa Story yangu utakapo soma story hii nipo Jela Iryn kumbe alikuwa muuza Madawa kuna siku tulishikwa pamoja na kikosi maalum cha madawa ya kulevya tukapelekwa Polisi na mahakamani. Kukamatwa kwetu Kulitangazwa na kituo cha habari cha Taifa. kumbe ile tabia ya kuacha kibegi seat ya nyuma ni njia ya usalama wake so alikana sio kibegi chake na mimi ikala kwangu so nipo jela nimefungwa Maisha.....

Mkuu tupe mwendelezo maana umeanza vizuri sana.
 
EPISODE 9 na ya Mwisho.
A TRUE STORY BY OUTSIDE MAN’


Basi nikaanza kutafakari leo nimuambie hiyo lipstick ni ya mke furani wa kigogo mmoja wa usalama kama vipi tuende kwake pamoja na wewe mama Junior... basi Mama Junior alipoona ujasiri wangu akaanza kupoa na kisha akaelewa somo akasema Mume wangu kuwa makini wanawake wana makusudi sana na ndio tabia zao kuacha vitu vidogo vidogo ili ulienae ajue muachane.. basi nikala kisha nikalala Mwisho wa Story yangu utakapo soma story hii nipo Jela Iryn kumbe alikuwa muuza Madawa kuna siku tulishikwa pamoja na kikosi maalum cha madawa ya kulevya tukapelekwa Polisi na mahakamani. Kukamatwa kwetu Kulitangazwa na kituo cha habari cha Taifa. kumbe ile tabia ya kuacha kibegi seat ya nyuma ni njia ya usalama wake so alikana sio kibegi chake na mimi ikala kwangu so nipo jela nimefungwa Maisha.....
😄😄😆😅😅
 
EPISODE 9 na ya Mwisho.
A TRUE STORY BY OUTSIDE MAN’


Basi nikaanza kutafakari leo nimuambie hiyo lipstick ni ya mke furani wa kigogo mmoja wa usalama kama vipi tuende kwake pamoja na wewe mama Junior... basi Mama Junior alipoona ujasiri wangu akaanza kupoa na kisha akaelewa somo akasema Mume wangu kuwa makini wanawake wana makusudi sana na ndio tabia zao kuacha vitu vidogo vidogo ili ulienae ajue muachane.. basi nikala kisha nikalala Mwisho wa Story yangu utakapo soma story hii nipo Jela Iryn kumbe alikuwa muuza Madawa kuna siku tulishikwa pamoja na kikosi maalum cha madawa ya kulevya tukapelekwa Polisi na mahakamani. Kukamatwa kwetu Kulitangazwa na kituo cha habari cha Taifa. kumbe ile tabia ya kuacha kibegi seat ya nyuma ni njia ya usalama wake so alikana sio kibegi chake na mimi ikala kwangu so nipo jela nimefungwa Maisha.....
😅😅😅ilibaki 🤌niamini
 
EPISODE 9 na ya Mwisho.
A TRUE STORY BY OUTSIDE MAN’


Basi nikaanza kutafakari leo nimuambie hiyo lipstick ni ya mke furani wa kigogo mmoja wa usalama kama vipi tuende kwake pamoja na wewe mama Junior... basi Mama Junior alipoona ujasiri wangu akaanza kupoa na kisha akaelewa somo akasema Mume wangu kuwa makini wanawake wana makusudi sana na ndio tabia zao kuacha vitu vidogo vidogo ili ulienae ajue muachane.. basi nikala kisha nikalala Mwisho wa Story yangu utakapo soma story hii nipo Jela Iryn kumbe alikuwa muuza Madawa kuna siku tulishikwa pamoja na kikosi maalum cha madawa ya kulevya tukapelekwa Polisi na mahakamani. Kukamatwa kwetu Kulitangazwa na kituo cha habari cha Taifa. kumbe ile tabia ya kuacha kibegi seat ya nyuma ni njia ya usalama wake so alikana sio kibegi chake na mimi ikala kwangu so nipo jela nimefungwa Maisha.....

Hahah acha fujo...
 
Back
Top Bottom