Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Jamaa katuchenga,ila kwa Iryn alipiga siku hyoKomaa na mama Junior mpaka mwisho.
POMBE NA NGONO zinamvutano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa katuchenga,ila kwa Iryn alipiga siku hyoKomaa na mama Junior mpaka mwisho.
Tunataka simuliz na sio tukio lengwa maana hajaja kuomba ushauri hapa au msaadaWatu mna moyo kusoma stori kama hii yenye maelezo meengi kuliko tukio lengwa
Akili kumkichwa hata kwa mtoto Prisca alishakula huyu tena ile siku wameenda beach manina zake, Iryn mwenyewe alikuwa ananyege ile siku sasa nani wa kumtoa hizo genye though he didn't declaired so in the story.Jamaa katuchenga,ila kwa Iryn alipiga siku hyo
POMBE NA NGONO zinamvutano
Milion 24 unaona pesa nyingi kwa miaka 2 kwa mtu anayefanya saving?. Kwa mtu ambaye yuko Kariakoo?. Mimi niko Kariakoo na business zangu, hapa kwa Afisa wa taasisi yoyote ambaye anatembelea Kariakoo mara kwa mara na anaishi vizuri na wafanyabiashara atapata sana pesa.
Akili kumkichwa hata kwa mtoto Prisca alishakula huyu tena ile siku wameenda beach manina zake, Iryn mwenyewe alikuwa ananyege ile siku sasa nani wa kumtoa hizo genye though he didn't declaired so in the story.
Insider hii umeruka sehemu muhimu Sanaa, kuhusu Shangazi yako kukutafuta. Maana alikusingizia na kukuona Fala. Ungetupa hii sehem aliwezaje kuongea na wewe?
mkuu lete story jioni tukitoka kwenye mihangaiko.Nitaelezea siku ilikuwaje mpaka Aunt akaanza kunitafuta.
We una nn? Mapafu au figoWatu mna moyo kusoma stori kama hii yenye maelezo meengi kuliko tukio lengwa
mkuu lete story jioni tukitoka kwenye mihangaiko.
Utamu ni ule uujuao na si huu😂We una nn? Mapafu au figo
Haina tukio lengwa ila ni nzuri sana haichoshi kusoma matukio yanavutia
Unakosa utam
ukiichoka gari yako mzee nitafute uniuzie, nipige kazi ntembelee upepo. am serious.Leo tutaendelea [emoji817]
Ipi?Ulimaliza ile story yako?
Kaka uyu sio mange kimambi huyu? (Jokes)Huyu ni customer wangu namwitaga dada, ni mtu maarufu sana hapa Tanzania ila anaishi US muda sana kama hapo kashanipa taarifa anakuja mwezi huu…View attachment 2681141
We nawe kichwa maji ID si yake anayesimulia na kwa maelezo ameacha biashara ya Uberhahahahaha we jamaa hufai kuangalia movie za kibongo,kikorea,kituruki,kifiripino na kihindi, coz utaishia kutukana tu na kuvunja rimoti,,UPO MAKINI MNO....
Uni tag MkuuLeo tutaendelea [emoji817]
Hivi gari na bajaj au pikipiki,ipi inalipa sana.Kuna mwamba ameomba gari...na Mimi naungana nae kama gari huitumii kaka nipe na Mimi tupige pesa TugaWane account ya Uber ninayoView attachment 2691839ubao wangu wa Uber huo Kwa pikipiki naona haifanyi vizuri...
Kuna mwamba ameomba gari...na Mimi naungana nae kama gari huitumii kaka nipe na Mimi tupige pesa TugaWane account ya Uber ninayoView attachment 2691839ubao wangu wa Uber huo Kwa pikipiki naona haifanyi vizuri...