Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Mi nimeendesha Uber mwanzon ilipofika Nina tabia ya kujaribu kila kitu ili kupata kujua hasara na faida then naanzisha biashara au naipotezea. Niliendesha miez 3. Ningekuwa ni mtu wa kuandika stor na Mimi ningeleta yangu. Ila kwa kifupi kijana wangu alioa kabisa bint wa kinorway baba yake tajiri mkubwa ana kiwanda cha samaki. Sasa hiv yupo huko
 
Chai chai.

Madereva wa uber wenyewe wanashangaa haya maisha anayoishi mwenzao.
ZINGATIA!!!
Maisha huwa hatufanani na hata bahati huwa tunatofautiana sana. Kingine pia Jamaa hapa anaweka hii story kwa sababu tu ni Anonymous ila kiuhalisia asingeweza kuwasimulia Uber wenzie kitaa kwa sababu Watu huwa hawasemi Mafanikio yao. Wataishia kukwambia Matatizo tu na Utaamini Maisha ya Uber ni magumu sana kumbe kiuhalisia kila moja ana Zali lake!!
 
Mi nimeendesha Uber mwanzon ilipofika Nina tabia ya kujaribu kila kitu ili kupata kujua hasara na faida then naanzisha biashara au naipotezea. Niliendesha miez 3. Ningekuwa ni mtu wa kuandika stor na Mimi ningeleta yangu. Ila kwa kifupi kijana wangu alioa kabisa bint wa kinorway baba yake tajiri mkubwa ana kiwanda cha samaki. Sasa hiv yupo huko
Inatokea pia kwa wale tour guide wanaoendesha magari mbugani kama mikumi au serengeti, wengi wameoa wazungu na waliondoka kwenda kuishi nje.
 
Your mental block beliefs inventory unazo za kutosha. Yaani kumbadilisha mtu anachoamini utamuua. Ni sawa kumbadilisha paroko aka bishop awe shekhe,unadhani Ni kazi rahisi.
Yaani unaposema nchi ya walalahoi hakuna anayelipwa iyo hela ,hivi una akili kweli.hujasikia kuwa Kuna manager sijui CEO wa bank fulani alikuwa akalipwa 52M,
Manager wa voda aliyekataliwa na jpm unajua alikuwa analipwaje,

Sema wewe ndiye mlalahoi usidhani wote wako ivyo. Kiufupi Kuna wenzako hapa hapa bongo iyo milioni yako wanaiona Kama buku unavyoiona kwa taarifa yako.


Yaani unadhani kuwa you're the universal standard unit to set the reference or benchmark kwa wengine
'Yaani unadhani kuwa you're the universal standard unit to set the reference or benchmark kwa wengine

Mkuu hii silaha ni nzito sana😀
 
Hao ndio wabongo. Kila kitu wanaona chai.

Kuna siku nimekaa sehemu naangalia mpira kuna jamaa alibet kwa 2M. Nikawa nashangaa kwa nini mtu urisk 2M kwenye kamali? Daktari mmoja mtu mzima arround 50 yrs of age alikuwa na familia yake pembeni anapata chakula aliniambia huna pesa ndio maana unasema hivyo. Akasema yeye huwa anaweka 10M na kuna wakati inapotea. Mwisho wa siku nilikubaliana na maneno.


Haya mambo yanaendana na levels . Na ukitaka kujipima uwezo wako wa kuhonga angalia aset unazomiliki. Kuna watu wana gari za milioni 100-800 hawaoni shida kuhonga 20m-50m. Mtu ana flat screen ya 25M ndani kuhonga 20M mtu haoni shida. Na kama unamiliki IST huwezi honga 2M mwisho wako utakuwa 100K. Mtu unamiliki flat screen TV singsung au Star X ya 350,000 automatically huwezi honga 500K utakuwa mwehu.

Hivi ile gari Diamond alimhonga Tanasha inaghalimu kiasi gani? Mbona mambo ya kawaida yapo tu.

Pia kuna mzee namfahamu ana magali ila yeye hapendi kuwa na gali ya kutembelea na hajui kuendesha mpaka leo amestaafu. Kuna dogo anaingiza pesa ndefu kwa kupitia professional yake huwezi amini kama hizo pesa anazipata hapa Tz.

Haya ni mambo ya kawaida kwenye maisha hatufanani songa mbele na story yako
Mkuu Kuna watu ukosoaji wao tu inakupa picha hadi level yake ya exposure. Inawezekana Kuna vionjo vya chai kwenye story lakini wanavyovisema ni chai Kuna watu wanafanya hapa hapa tz.
Your mental block beliefs inventory unazo za kutosha. Yaani kumbadilisha mtu anachoamini utamuua. Ni sawa kumbadilisha paroko aka bishop awe shekhe,unadhani Ni kazi rahisi.
Yaani unaposema nchi ya walalahoi hakuna anayelipwa iyo hela ,hivi una akili kweli.hujasikia kuwa Kuna manager sijui CEO wa bank fulani alikuwa akalipwa 52M,
Manager wa voda aliyekataliwa na jpm unajua alikuwa analipwaje,

Sema wewe ndiye mlalahoi usidhani wote wako ivyo. Kiufupi Kuna wenzako hapa hapa bongo iyo milioni yako wanaiona Kama buku unavyoiona kwa taarifa yako.


Yaani unadhani kuwa you're the universal standard unit to set the reference or benchmark kwa wengine
Mkuu hili jibu lako asipoelewa usimuelezee Tena. Wabongo wengi hutumia level zao za uchumi kupima Hali za wengine. Akiona hawezi onga laki ukija na story umeongea milioni ubongo wake unajilock. Kurahisisha mambo kwenye ubongo wake anahitimisha tu ni chai.

Kingine watu wa nashindwa kutifautisha ideal situation na real situation. Mtu anahoji mtu na Familia yake hawezi fanya abc wakati hayo makosa yako kwenye jamii daily.
 
INSIDER MAN mimi ninacho shangaa ni maisha yangu ya kimaskini sana naona mtu anatoa necklace na watch ya milioni 30 huku akitoa simu ya iphone 13 pro bila shida yoyote......basi wengine tunasindikiza tu maisha mkuu ila wewe ulikula vizuri sana hongera......ujue pia ulivokuwa pale kwa uncle uliteseka sana, vipi yule mke wa uncle anaendeleaje???...
 
Vingine acheni vipite ni story mwisho wa siku tunapata burudani huu ujuaji wenu ndo hua una wafanya wengine waache story hewani bila kumaliza kwa sababu ya wajuaji kama nyie vitoto vya (1998 - 2003) si ajab wakt tunasoma story za shigongo kweny magazeti yake mlikua bado mnanyonya 😏😏
Wewe umejuaje mimi ni 1998-2003 kiufupi pengine mimi nipo aged kwako....
 
Hao ndio wabongo. Kila kitu wanaona chai.

Kuna siku nimekaa sehemu naangalia mpira kuna jamaa alibet kwa 2M. Nikawa nashangaa kwa nini mtu urisk 2M kwenye kamali? Daktari mmoja mtu mzima arround 50 yrs of age alikuwa na familia yake pembeni anapata chakula aliniambia huna pesa ndio maana unasema hivyo. Akasema yeye huwa anaweka 10M na kuna wakati inapotea. Mwisho wa siku nilikubaliana na maneno.


Haya mambo yanaendana na levels . Na ukitaka kujipima uwezo wako wa kuhonga angalia aset unazomiliki. Kuna watu wana gari za milioni 100-800 hawaoni shida kuhonga 20m-50m. Mtu ana flat screen ya 25M ndani kuhonga 20M mtu haoni shida. Na kama unamiliki IST huwezi honga 2M mwisho wako utakuwa 100K. Mtu unamiliki flat screen TV singsung au Star X ya 350,000 automatically huwezi honga 500K utakuwa mwehu.

Hivi ile gari Diamond alimhonga Tanasha inaghalimu kiasi gani? Mbona mambo ya kawaida yapo tu.

Pia kuna mzee namfahamu ana magali ila yeye hapendi kuwa na gali ya kutembelea na hajui kuendesha mpaka leo amestaafu. Kuna dogo anaingiza pesa ndefu kwa kupitia professional yake huwezi amini kama hizo pesa anazipata hapa Tz.

Haya ni mambo ya kawaida kwenye maisha hatufanani songa mbele na story yako
Siku hizi natia pesa ila muhindi hajai manina.
 
Kwahiyo wewe ukiwa na pesa, gari yako ikigongwa utakuwa unaenda kunyoosha bila kudai chochote. Yani unamwambia aliyekusababishia ajali awe na amani tu yani fresh
Huyu jamaaa anakelele sana, ambazo hazina msingi shida kubwa ni ujuaji na wivu kwa msimuliaji kuona anapata attention kubwa. Lengo kuu la story ni kujifunza na kuburudika.
 
Mkuu unajua kuna watu wanalipwa zaidi ya $300,000/= kwa mwaka na hizi international Organization?? Kwa mtu ambaye ubongo wake uko vizuri bila shaka alishajua Mama yake na Iryn alikua anafanyia kazi Organization gani.

Unashangaa Muajemi kuhonga hizo necklace za almost 30m wakati kuna wabongo wanahonga hadi nyumba? na magari ya kifahari. Unajua wewe unaona ni kama haiwezekani sababu huna hela ila kwa wenye pesa ni vitu vya kawaida sana. Muajemi account zake zilikua zinasoma dollar $2Billions na mapoint kazaa huko, ashindwe kuhonga 30m?, wakati Harmonize anahonga hadi Range 2 [emoji23][emoji23]

Kwa mara ya kwanza nakutana na Muajemi alinipa 1million hio 3m umeitoa wapi mkuu?

Nilijifunza kitu kimoja kwenye hii Dunia, hakuna Mwanaume asiyehonga ila tumetofautina level za kuhonga tu. Kama unaweza kumuhonga demu savanna 5 kuna mtu anahonga gari au nyumba. Ukiwa huna hela unaweza ona haya mambo hayawezekani ila ukipata hela utaona ya kawaida sana.

Iryn alikua mwanamke mzuri sana aisee, tuseme Alibarikiwa tu. Endelea kufuatilia story kuna mambo mengi sana yaliendelea huko mbele.
Huyo Jamaa Ni mpinzani lakini it's good kama hujatembea, huna exposure utaona hivi vitu kama haviwezekani hapa hapa bongo kuna kampuni zinawalipa watu mpaka 20 M kwa mwezi sembuse international organization

hizo za kutoa hela bila kupata kitu wanaume watanzania tu wapo wanaofanya, once nilimshuhudia jamaa ana mwachia mwanamke business card yake halafu anampa 1 M anamwambia aweke vocha amcheki
 
Hela ya mafuta anapata wapi? Jamaa alishasema iryn anampa laki 3 wikiend,, bado ana abiria mmoja mmoja anaowapakiza,, bado wale watoto wa shule anao mama wawili na maggy. Mbona stori iko simple inaeleweka hakuna haja ya kukaza kichwa
Halafu pia sidhan kama anasimulia Kila tukio, nafikiri kachagua wahusika wachache.
 
Story inaanza ndani.ya miaka miwili kazini ametengeneza million 24 .

Halfu alikuwa intern wale wataesa wanaolipwa laki 4 .halfu muda huohuo akafungua biashara ya hardware kama sijakosea.

Hata kama ni upigaji Ila kwa million 24 alitupiga
Kwa wewe ulietafutiwa kazi na Taesa nihaki ulipwe hiyo laki nne, lakini pia Tanroad wanalipa mil 1.2 lakini pia Barick wanalipa zaidi 1.8M Kwa intern nahapo bado malipo mengine.
 
INSIDER MAN mimi ninacho shangaa ni maisha yangu ya kimaskini sana naona mtu anatoa necklace na watch ya milioni 30 huku akitoa simu ya iphone 13 pro bila shida yoyote......basi wengine tunasindikiza tu maisha mkuu ila wewe ulikula vizuri sana hongera......ujue pia ulivokuwa pale kwa uncle uliteseka sana, vipi yule mke wa uncle anaendeleaje???...
Kuhonga macho matatu hata mie nimewahi kudadeki zangu uchi una nguvu kuliko bulldozer
 
Back
Top Bottom