Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Mkuu, binadamu hatufanani ndo maana HUWEZI kumridhisha kila mtu. Mimi huo undani wa maisha yake na watu aliokutana nao kwangu raha Sana. Kuna vitu vingi navipata kupitia hizo details. Pole mkuu.
Mwambie huyo...mfano mimi hata Uber kuchukua 25% nilikuwa sijui, nilikuwa sijui pia namna ya Dereva kuwalipa uber...Ujenzi wake Dom, Ramani ya nyumba.
 
Hasira zako za ugumu wa maisha unataka uzimalizie humu...?

Yaani hapa story mmepewa bure mambo ni haya mngeuziwa je...? Punguzeni ujuaji
Mimi sina shida bwana unikomee nuksi wewe mie nimeongea ukweli
 
Toka ijumaa niko na mteja wangu from US na tulikutana kupitia Uber. Tumetembea sana toka ijumaa na sasa navyoandika tuko Barra Beach Kunduchi, tunamaliza siku huku.

Leo tunamalizia thread yetu saa1 kma kawaida. Nobody can stop Insider, na mkiendelea nikera nitatuma picha ya Iryn.
 
Toka ijumaa niko na mteja wangu from US na tulikutana kupitia Uber. Tumetembea sana toka ijumaa na sasa navyoandika tuko Barra Beach Kunduchi, tunamaliza siku huku.

Leo tunamalizia thread yetu saa1 kma kawaida. Nobody can stop Insider, na mkiendelea nikera nitatuma picha ya Iryn.
HAHAHAHAHA TUMA UWAPROVE WRONG HAWA JAMAA ILA USISAHAU KUWAIGNORE WENGINE WEMBE NI ULE ULE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toka ijumaa niko na mteja wangu from US na tulikutana kupitia Uber. Tumetembea sana toka ijumaa na sasa navyoandika tuko Barra Beach Kunduchi, tunamaliza siku huku.

Leo tunamalizia thread yetu saa1 kma kawaida. Nobody can stop Insider, na mkiendelea nikera nitatuma picha ya Iryn.

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]imebidi nicheke tu
 
Back
Top Bottom