Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie huyo...mfano mimi hata Uber kuchukua 25% nilikuwa sijui, nilikuwa sijui pia namna ya Dereva kuwalipa uber...Ujenzi wake Dom, Ramani ya nyumba.Mkuu, binadamu hatufanani ndo maana HUWEZI kumridhisha kila mtu. Mimi huo undani wa maisha yake na watu aliokutana nao kwangu raha Sana. Kuna vitu vingi navipata kupitia hizo details. Pole mkuu.
Kweli mkuu. Mi nikiona uzi sijaupenda huwa napita kule ili wenye Uzi wao waendelee.Mwambie huyo...mfano mimi hata Uber kuchukua 25% nilikuwa sijui, nilikuwa sijui pia namna ya Dereva kuwalipa uber...Ujenzi wake Dom, Ramani ya nyumba.
Mimi sina shida bwana unikomee nuksi wewe mie nimeongea ukweliHasira zako za ugumu wa maisha unataka uzimalizie humu...?
Yaani hapa story mmepewa bure mambo ni haya mngeuziwa je...? Punguzeni ujuaji
Sema tu unawivu mshikaji kupendwa eti [emoji23][emoji23][emoji23]Mimi sina shida bwana unikomee nuksi wewe mie nimeongea ukweli
HapanA humu sio safe kutoa details za live za maisha yakoSema tu unawivu mshikaji kupendwa eti [emoji23][emoji23][emoji23]
Wivu wako ni wa mapato yake [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Pita vile kama unaona unachokisoma ukielewiMimi sina shida bwana unikomee nuksi wewe mie nimeongea ukweli
Mshkaji walisham bore stim zote zikakata so hapq anaandika kwa kujilazimisha sana kwakua watu waengi walimlilia sana.Si unajua ujuaji mwingi wa watoto humu.Vibe lote la kusimulia limekata trust me hata hiyo iliopita ukiicheki haina viwango kama zile series za beforeKipande ya Leo kumbe bado????
HAHAHAHAHA TUMA UWAPROVE WRONG HAWA JAMAA ILA USISAHAU KUWAIGNORE WENGINE WEMBE NI ULE ULEToka ijumaa niko na mteja wangu from US na tulikutana kupitia Uber. Tumetembea sana toka ijumaa na sasa navyoandika tuko Barra Beach Kunduchi, tunamaliza siku huku.
Leo tunamalizia thread yetu saa1 kma kawaida. Nobody can stop Insider, na mkiendelea nikera nitatuma picha ya Iryn.
Toka ijumaa niko na mteja wangu from US na tulikutana kupitia Uber. Tumetembea sana toka ijumaa na sasa navyoandika tuko Barra Beach Kunduchi, tunamaliza siku huku.
Leo tunamalizia thread yetu saa1 kma kawaida. Nobody can stop Insider, na mkiendelea nikera nitatuma picha ya Iryn.
Utaliwa weweHAHAHAHAHA TUMA UWAPROVE WRONG HAWA JAMAA ILA USISAHAU KUWAIGNORE WENGINE WEMBE NI ULE ULE
Sent using Jamii Forums mobile app
HAWA WANAOANDIKA UPUPU INSIDER HASOMI COMMENT ZENU TUSHAMFUNDISHA KUIGNORE MNAJISUMBUA BUREE HAWEZI KUSOMA HATA MUANDIKEJE TEH TEH TEHUtaliwa wewe
Kaka unajaza server jiongeze basi.HAWA WANAOANDIKA UPUPU INSIDER HASOMI COMMENT ZENU TUSHAMFUNDISHA KUIGNORE MNAJISUMBUA BUREE HAWEZI KUSOMA HATA MUANDIKEJE TEH TEH TEH
Sent using Jamii Forums mobile app
UNAJAZA SERVER MBONA KAMA KIAZIKATIKA WATU NAMBA MOJA WAKUFATILIA HII HADITHI NI HAWA JAMAA WANAODISS WAMEWEKA KITUFE KABISA KUISOMA ILA JAMAA INSIDER KATIA KITUFE CHA KUIGNORE ILA KUTWA WANASCROW KAMA KAANDIKA TAYARI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
HAWA WANAOANDIKA UPUPU INSIDER HASOMI COMMENT ZENU TUSHAMFUNDISHA KUIGNORE MNAJISUMBUA BUREE HAWEZI KUSOMA HATA MUANDIKEJE TEH TEH TEHKaka unajaza server jiongeze basi.
HAWA WANAOANDIKA UPUPU INSIDER HASOMI COMMENT ZENU TUSHAMFUNDISHA KUIGNORE MNAJISUMBUA BUREE HAWEZI KUSOMA HATA MUANDIKEJE TEH TEH TEHRevola Fanyeni uchunguzi wa huyu jamaa hana nia nzuri na vijana humu ndani
Nipo tayari Kutoa ushahidi juu ya jamaa kuwa ni shoga anatongoza wanaume jf kanitongoza na mimiHAWA WANAOANDIKA UPUPU INSIDER HASOMI COMMENT ZENU TUSHAMFUNDISHA KUIGNORE MNAJISUMBUA BUREE HAWEZI KUSOMA HATA MUANDIKEJE TEH TEH TEH
Sent using Jamii Forums mobile app