Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

shukrani sana mkuu fanya kunipa samareee kidogo naona sijazisoma episodes kama nne hivi kwa hewa!!
Summary
1.Iryn kapata mshkaji mpya hatumjui vzr(fishy things going on) .....boss lady kavurugwa anamwendesha insider man balaa
2.Familia ya prisca ishafahamu anaujazito na inataka kumuona mleta ujauzito.....mzee kajam huko


Vipo viingi soma tu slowly ...ila bab kubwa ni kuwa Boss Iryn kabadilika kama rambo(Haeleweki ,hasomeki )
 
Mama J alishatolewa mahari hivyo ni wazi kuwa ni MKE halali wa INSIDER MAN
 
Life lilinila kibogaaa rafikii🤭 !!

I Thank God all is wellooo nimerudiiiii!!
Ebu nikumbushe episode niloishia wiki ile tuloambiw mpaka ijumaa kwanii sio kwa ukilaza wangu huuu🤠
Nadhan episode ya 50 uliishia .....anzia 51 kipande ambacho hiko ndipo cha ijumaa pale Iryn anatoka anaenda Kwenye gari na another man
 
Mi namuonea tu huruma dada wa watu Iryn na sijui kwanini kila mtu humu anamuona kama alikuwa anakosea sijui kisirani, mtu ambae hana ndugu wala rafiki zaidi ya mama Janeth akampata insider akamuamini na kumpenda kwa moyo wake wote akaamua kumfanya mtu wake wa karibu kabisa kama ndugu sijui pengine ndo hivyo labda alikuwa na hisia nae za mapenzi sina uhakika sana, maana kwa ninavyojua mwanamke amtake mwanaume kabisa na jinsi walivyokuwa close kulikuwa hamna cha kumzuia wala Insider sio kwamba alikuwa hamtaki bali alikuwa tu anashindwa jinsi ya kumuingia kwa kifupi alikuwa anamuogopa, kinyume chake akaona bora hata apate hela kupitia yeye bila kujiuliza kama Iryn atagundua itakuwaje
Hivi mlitegemea Iryn areact vipi kwa huyu mtu ambae alimthamini sana lakini yeye hakumrudishia hata nusu ya thamani ya utu wake, yaani kwamba anaweza kuchukua hela kwa Muajemi ili Iryn aliwe akititokea Muitaly nae akatoa hela atampeleka na huko pia, jarìbuni kuvaa viatu vyake muone kama haviumi
Dada wa watu alijaribu angalau alijua amepata familia hapa na ndio maana mara ya mwisho alienda kuishi nao lakini aliambulia usaliti mkubwa ingawa pia insider hakuwa na nia mbaya wala hakumfikiria kwamba ni malaya ila sasa Muajemi jinsi alivyojieleza na kumbuka Insider alikuwa msiri anaficha mambo mengi na hata mara ya mwisho alivyopewa hela aliona na akamuuliza akamdanganya. Wakati mwingine sio hela ni kila kitu unaweza kupata hela sawa na ukapoteza kitu chenye thamani kuliko hiyo hela uliyopata INSIDER MAN
Dah..hapa hata mimi nimejisikia aibu kwa niaba ya INSIDER MAN . Kwel mkuu huyu dereva uber kafanya kitu mbaya sana. Yan kawa kama Yuda kumuuza Messiah the Christ. Bila shaka hii laana ilimtafuna huko mbele ya safari
 
Kitakachofuata kwenye kikao ni termination tu na siyo inshu nyingine, Irene ashaona mwamba ameanza kupoteza umakini na kwamba hawezi tena kuipush forward Kampuni maana amekuwa na mambo mengi.

Kingine muajemi baada ya kuona kimya kwa ule mchongo hewa wa bwana Insider, atampigia Irene kuhusu yeye kutoa 12M za maandalizi kwenda mbuga ya wanyama huko, na hapo sasa ndio vita itakuwa kubwa zaidi maana Irene atamfuata tena this time mambo yatakuwa makubwa na mabaya mno, tena hata Mama J atajua jinsi Insider alivyokuwa anamfanyia Irene.
 
Summary
1.Iryn kapata mshkaji mpya hatumjui vzr(fishy things going on) .....boss lady kavurugwa anamwendesha insider man balaa
2.Familia ya prisca ishafahamu anaujazito na inataka kumuona mleta ujauzito.....mzee kajam huko


Vipo viingi soma tu slowly ...ila bab kubwa ni kuwa Boss Iryn kabadilika kama rambo(Haeleweki ,hasomeki )
Santoo sanaaaa walau nimepata mwanga!!🤩
Ngoja nikitulize nizipitie astee astee naona Iryn anataka kumletea masta zakuleta!!
Barikiwa sana mkuu!
 
Back
Top Bottom