Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Naacha jf😀😀, Nina I'd moko ty🤣Una acha jf au unaacha kutumia hii Id🐒🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naacha jf😀😀, Nina I'd moko ty🤣Una acha jf au unaacha kutumia hii Id🐒🐒
Dah nyuki wa mashineni 😂, mi wa 70 ujue😀😀😀. Hee kumbe wa 90🤣🏃Amkiaa wewe Oyaa ndo mdudu gani?🤨🐒
Acha uwongoNaacha jf😀😀, Nina I'd moko ty🤣
Sijasema mbele ya mama J..namaanisha kuna uwepo wa mama J sio lazima awe mbele yako...mfano hapo mlipokua sijui site...si ulisogea pembeni ukaongea nae na I love u juu?.. any way tuendelee..
Dogo na mwenzio umechangia kijiwe chetu kusambalatika 🐒😬😬Dah nyuki wa mashineni 😂, mi wa 70 ujue😀😀😀. Hee kumbe wa 90🤣🏃
Ila hii story jamani hapana, yaani mtu mmoja mirija ya hela inatiririka kwake tuu muda wote khaa
Yaani inatufanya mpaka wengine tujione hatuna bahati au sijui hatuna akili ya kutafuta hela
Ume Anza uchawi🤣😀😀Dogo na mwenzio umechangia kijiwe chetu kusambalatika 🐒😬😬
Ni sawa Kama hutaki kuamini, ila hio ndo Hali halisi😀Acha uwongo
Na mimi ule uzi wako nikaujambia dadekii week ulifika🐒😁😁😁Ume Anza uchawi🤣😀😀
Kama ili kupa unafuu, Basi fresh.Na mimi ule uzi wako nikaujambia dadekii week ulifika🐒😁😁😁
Kaka ukiachia stori nipo dar sina raman tunafanyaje mkuu nipate buku mbili tatu za maji i mean deal
[emoji38][emoji38][emoji38]Ila hii story jamani hapana, yaani mtu mmoja mirija ya hela inatiririka kwake tuu muda wote khaa
Yaani inatufanya mpaka wengine tujione hatuna bahati au sijui hatuna akili ya kutafuta hela