mjanja wa kijiji
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 1,582
- 4,378
Halafu hizo ni dalili za ushoga kila wakati kukumbatiana hata na madume wenzio.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanikata stimu kabisa na kujiona mjinga! INSIDER MAN umezingua!Sema kuna watu hii stori waliisanukiaga mapema sana kwamba mwamba kuna namna anatupanga ili kufanya stori iwe ndefu kiuhalisia story hii ni episode thelathini tu na hizo nyingine ni chumvi mixer kamba style za kunogesha genge.
Ila mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Jamaa anajua kusimulia katika mtiririko unaoeleweka.
Nilikuwaga na ma alosto na hii stori ila baada ya leo atoe asitoe alosto imekata.
Tumefikia huku jamani ......hakutegemeaWewe ni mse***** Insider
😆😆😆Halafu hizo ni dalili za ushoga kila wakati kukumbatiana hata na madume wenzio.
Waafrika sijui tunakwama wapi? Kama kitu ni kweli sema ukweli! Kwanini udanganye watu wazima uku ukitanguliza "TRUE STORY" Dah! Wakati mwingine nilikuwa naacha mambo yangu kufuatilia hii story kumbe napoteza muda na bundle! Shit!Stori ilianza ikiwa ya ukweli lakini baada ya kupata umaarufu basi jamaa kaamua kuiweka iwe na vitu vingi vya kutunga.
Leo ndio mara ya kwanza naweka komenti na ndio mara ya tatu ninaisoma juujuu na kuruka vitu vingi visivyo na muelekeo.
Ikishafikia hatua kama hiyo huwa naachana na muandishi.
Kila la kheri mnapoendelea.
😀😀We umeshindikana wallah😀Nikutumie Lita ngapi boss😋
Kukoment tu ni alosto.....maana unataka tukupe attention kama sterling wa movie tulia ukooSema kuna watu hii stori waliisanukiaga mapema sana kwamba mwamba kuna namna anatupanga ili kufanya stori iwe ndefu kiuhalisia story hii ni episode thelathini tu na hizo nyingine ni chumvi mixer kamba style za kunogesha genge.
Ila mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Jamaa anajua kusimulia katika mtiririko unaoeleweka.
Nilikuwaga na ma alosto na hii stori ila baada ya leo atoe asitoe alosto imekata.
Sasa mkuu hapo kwenye kubahatika kuja kwako ndo kipengeleTulitumia kama masaa 4 home na wakati wa kuondoka tulipiga picha ya pamoja na familia yangu na nikamrudisha Ramada akapumzke, maana alisema toka arudi na dada hakupata muda wa kulala.(Siku ukibahatika kuja kwangu hii picha iko seblen).
Kachori au sio kachorile kachora?Leo kazingua sana! Incidence za kupanga kabisa
[emoji28][emoji28][emoji28] sijui nacheka nini ila nimejikuta nimecheka tena jana nilikuwa niko Bwiiii mda kama huu natukanana na mabaunsa[emoji1787]Wasomi na wasomaji wameanza pandisha mori km msimu uliopita.
Iryn kutoliwa wamefadhaika mno watu wamenuna, wamediriki kusema hii ni chai na wengineo wameenda lewa usiku kwa hasira [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Shukrani nimefika popote utakapomuona Eva toa taarifa kuna zawadi nono itatolewa ukifaniksha hilo
kwa ujumla ni kwamba mtunzi ameshawaona nyie mnaosema hii ni true story ni kima, huoni ameshaweka mazingira ya kukosana na iryn kwa kisingizio cha eva. akili kumkichwa, sina mengiHapa kuna mawili either ni kweli insider kafungua code kimakosa kama anavyodai ila kwa jicho la kichambuzi na story anayosema huwa anaipitia yote kwanza ili ndo aipost ni ngumu sana kutoliona jina genevieve .
Au ni poteza maboya.
a true story by insider, hahahaaaaa"Tukapiga ramance ghafla simu ikaita. Alikuwa ni mama wawili."
"Fish market akatokea Eva"
Following closely these incidences!