Na mimi huwa simuanini mwanaume yyt kwa mke wangu,never ever....
Kuna matukio mawili kwa bro angu (mtt wa uncle) yalinipa somo kubwa kwamba nisije nikaamini eti mke anaeza kuwa na ukaribu na mwanaume either kibiashara,ujirani,cjui kazini,mambo ya dini vikoba nk,...
Hao wanaliana timing tu,watakulana tu na hutaamini,na vile wanawake mna huruma ndo balaa zaidi,mtu akikusumbua sana eti unaona umpee mara moja tu kwa kumhurumia anavyoteseka na ukijiapisha kuwa hutarudia tena,matokeo yake mnakulana every week in years..kudadeki zenu mtombanao na wake/waume za watu.