Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Mkuu, ionekanavyo...yuajua Sana kuhusu drama!...

Kuna nyimbo inaitwa Zali La mentali ya Prof. J.

Prof J alikuwa anasukuma mkokoteni, akajikuta mkononi mwa demu mmoja wa kitajiri. Pisi matata

Ila mwandisi insider alikuwa anaendesha USER, akajikuta mikononi wa pisi matata yatajiri. Imebadilisha maisha yake, maono yake....story nzuri sana

Story ina udambwi udambwi mwingi
1. Romance
2. Billionaire
3. Betrayal
4. Crime
5. Fantasy
6. Mystery
7. Humor
8. Erotica

Hii story ukiitia kwenye television drama inakuwa bonge la story.

Ushauri wangu soma utaifurahia
 
Ndugu zangu naongeza 50k nyingine.

1. Kizoka nitampa gari Episode ya ngapi? (25k)

2. Nitakwenda Zanzibar kufuatilia mzigo uliotumwa na Iryn. Nitaongozana na nani? (25k).

Kazi kwenu, niko honestly kwa atakae patia atapata cash yake.

NB: Wa kwanza kupatia ndo atakuwa mshindi.
Zanzibar utaongozana na ghati

Alafu insider mashabiki zako tunataman kukufaham, at least weka challenge atakae shinda atapata bahati ya kukuona.
 
Ndugu zangu naongeza 50k nyingine.

1. Kizoka nitampa gari Episode ya ngapi? (25k)

2. Nitakwenda Zanzibar kufuatilia mzigo uliotumwa na Iryn. Nitaongozana na nani? (25k).

Kazi kwenu, niko honestly kwa atakae patia atapata cash yake.

NB: Wa kwanza kupatia ndo atakuwa mshindi.
Utaongozana na Asmah kwenda Zanzibar
 
This is a piece of advice,

always try to keep your promises,

it seems stupid when someone doesn't keep their promises,

you promised to post the sequel but so far you haven't posted anything.
jamaa ana kaushamba kakutaka kubembelezwa,
ni aina ya watu wenye inferiority complex, hii attention anayopata humu ndio inafunika ule udhaifu wake!

btw hii kwa 80% ni story ya kutungwa, vichache ni vya kweli hasa kama ulisoma ile series ya 1......

asamehewe tu, wala usimchukulie negative...... ni sehemu ya udhaifu tulionao binadamu, muhimu ni kusoma hii fiction yake na kuendelea na mambo yako!
 
jamaa ana kaushamba kakutaka kubembelezwa,
ni aina ya watu wenye inferiority complex, hii attention anayopata humu ndio inafunika ule udhaifu wake!

btw hii kwa 80% ni story ya kutungwa, vichache ni vya kweli hasa kama ulisoma ile series ya 1......

asamehewe tu, wala usimchukulie negative...... ni sehemu ya udhaifu tulionao binadamu, muhimu ni kusoma hii fiction yake na kuendelea na mambo yako!
Mjinga mjinga
 
jamaa ana kaushamba kakutaka kubembelezwa,
ni aina ya watu wenye inferiority complex, hii attention anayopata humu ndio inafunika ule udhaifu wake!

btw hii kwa 80% ni story ya kutungwa, vichache ni vya kweli hasa kama ulisoma ile series ya 1......

asamehewe tu, wala usimchukulie negative...... ni sehemu ya udhaifu tulionao binadamu, muhimu ni kusoma hii fiction yake na kuendelea na mambo yako!
Usimuhukumu mtu pasipo kujua amekumbwa na nini, huwezi jua yupo katika hali gani muda huu, unaweza ukawa unalaumu kumbe mwenzako yupo ICU.
Kumbuka binadamu tunapanga ila Mungu ndio mpangaji mkuu, omba mipango yako iandane na mipango ya Mungu
 
Usimuhukumu mtu pasipo kujua amekumbwa na nini, huwezi jua yupo katika hali gani muda huu, unaweza ukawa unalaumu kumbe mwenzako yupo ICU.
Kumbuka binadamu tunapanga ila Mungu ndio mpangaji mkuu, omba mipango yako iandane na mipango ya Mungu
Watu wanatawaliwa na hisia zao. Wao wanataka kuburudishwa kwa muda wao wanaotaka. Huna kazi za kufanya?? Unamlipa Bei gani, wewe ni born town,yeye ana ushamba Mana wengi tumetokea mashambani hata USA ilikuwa ni mashambani Ila Leo hii ni mjini.

Hisia zako za kutaka kuburudika kwa wakati wako ndizi zinakufanya umfanye awe na hasira ili alete ,Sasa anaweza asilete, Ila ma jobless ni wengi mno ,yaani mtu huna kazi za kufanya ama ku keep busy. Hii hadithi Haina faida yoyote kwako achana nayo afanye Mambo mengine.
 
Watu wanatawaliwa na hisia zao. Wao wanataka kuburudishwa kwa muda wao wanaotaka. Huna kazi za kufanya?? Unamlipa Bei gani, wewe ni born town,yeye ana ushamba Mana wengi tumetokea mashambani hata USA ilikuwa ni mashambani Ila Leo hii ni mjini.

Hisia zako za kutaka kuburudika kwa wakati wako ndizi zinakufanya umfanye awe na hasira ili alete ,Sasa anaweza asilete, Ila ma jobless ni wengi mno ,yaani mtu huna kazi za kufanya ama ku keep busy. Hii hadithi Haina faida yoyote kwako achana nayo afanye Mambo mengine.
Ishu sio kazi ya kufanya..! Jamaa alishaweka utaratibu wa kila jumapili, tena akaja akatoa ahadi ataanza kupeleka episode haraka mpaka akaanza kuweka na jumatano…

Ukiweka ahadi kwenye hadhira kama hii ambao kuna watu wengi wanafatilia inatakiwa utimize otherwise kama interaction ya ratiba basi unatoa taarifa ili wafuatiliaji waache kufikiria tu hapa..!

Ona sasa ameacha kuweka episode Jumatano ambako alianza utaratibu wa kuweka kama alivyoahidi ghafla ame Mute badala yake anaanza kucheza na watu mara awaambie wafanye prediction eti atawapa ela.. sasa ndo nini ivyo😆..?

Mtu unapotoa ahadi itimize au kama umeshindwa toa excuse mapema ili wafatiliaji wapunguze maneno
 
Back
Top Bottom