muuza ubuyu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 3,539
- 3,551
Mkuu, tutake radhi😊😊Na wanajua kuhonga aisee. Wasukuma ni noma anaweza uza ng'ombe za urithi kumbe nia na dhumuni ni kumnunulia demu iphone ili apewe coochie tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, tutake radhi😊😊Na wanajua kuhonga aisee. Wasukuma ni noma anaweza uza ng'ombe za urithi kumbe nia na dhumuni ni kumnunulia demu iphone ili apewe coochie tu.
Kwani cocochanel unataka vipi ? Au haujui msema kweli ni Mpenzi wa Mungu? Insider anaeleza aliyoyafanya sasa wewe unataka asiandike ili akiridhishe wewe? Tafadhari acha kumnyooshea mwenzako kidole wakati vidole vitatu vinakuangalia weweujue we inakuuuma snaa aiseee kwa mm navoona yan imekuuma sana sjui unataman ungekua ww
ila nais hauna standards za marry ndo mana loho inakuchonyota
😅😅😅ujue we inakuuuma snaa aiseee kwa mm navoona yan imekuuma sana sjui unataman ungekua ww
ila nais hauna standards za marry ndo mana loho inakuchonyota
How?
Jane yeye amezoea hayo maisha coz ameishi na mume wa mtu na ndie aliyempa maisha so huwezi ukategemea atakua na ushauri mzuri kwa kina Mary... angekua mwingine angemshauri atafute pahala kwa kuzipeleka hisia zake na si kwajamaa ambae tayari ako na familia ila yeye ndio kwanza anawaunganisha ili wakulane 😆😆😆😆
Si ndo hapo sjui kwann anaumiaKwani cocochanel unataka vipi ? Au haujui msema kweli ni Mpenzi wa Mungu? Insider anaeleza aliyoyafanya sasa wewe unataka asiandike ili akiridhishe wewe? Tafadhari acha kumnyooshea mwenzako kidole wakati vidole vitatu vinakuangalia wewe
hainaga ushemeji tunakulaga😅😅😅
U yeah wewe uko sawa upstairs?
Mary kumlala shem wake ndio niumiie!!!
Wewe umeumia ka vile muhusika.. Vipi ya ID hii ikupeleke mbali kushindwa vumilia?
🤣🤣🤣🤣🤣 Pole hujiheshimwu kabisa.. Udongo
Ukimsoma Jane BTW the line huwezi kumlaumu; Jane aligundua kama Mary anampenda Insider, Jane alijua kabisa kwamba INSIDER amepiga sana mdogo wake na Mary again Jane alienda mbali zaidi kwa Mary kwamba, "huyo shemeji yako kaoa; yaani ana mke" [Kama utakumbuka Mary alimfokea sana siku 1 bwana mwandishi] but Mary alivoji reset akaendelea kua na hisia kali kwa mwamba, hisia hizo hizo alizidi kuzionesha kwa Jane; mlitaka Jane afanyaje? Again, by nature wanawake almost wote uliwafanyia WEMA huaga ana hisi ana deni na wewe na atatafuta namna akulipe; wanawake wanajua the most gift to give to a man is her cocuchie, sio pesa wala nini; ni HICHO. Mary kaona INSIDER ana utu, ana huruma sana na anajali mno; that's a man of any woman's dream. Kampa kiroho Safi kabisa na vitu vya thamani kamnunulia yaaniJane yeye amezoea hayo maisha coz ameishi na mume wa mtu na ndie aliyempa maisha so huwezi ukategemea atakua na ushauri mzuri kwa kina Mary... angekua mwingine angemshauri atafute pahala kwa kuzipeleka hisia zake na si kwajamaa ambae tayari ako na familia ila yeye ndio kwanza anawaunganisha ili wakulane 😆😆😆😆
Muache kaka wa watu afaidi matunda ya uber bwana😅😅😅
Hata uandike nini nawe kama yeye..
Juu ya Mary na Prisca.. Hajajiheshimu kabisa.. Hata Mary shameful woman
Vitoto vya wenzie atakuwa amekoma.. Jambo la mama wawili limesaidia kumrudishia akili fulani la sivyo kama hadi leo hajapiga Vicky basi alipata fundisho
Jane mchafuzi wa Mama J
Hatari yaniUkimsoma Jane BTW the line huwezi kumlaumu; Jane aligundua kama Mary anampenda Insider, Jane alijua kabisa kwamba INSIDER amepiga sana mdogo wake na Mary again Jane alienda mbali zaidi kwa Mary kwamba, "huyo shemeji yako kaoa; yaani ana mke" [Kama utakumbuka Mary alimfokea sana siku 1 bwana mwandishi] but Mary alivoji reset akaendelea kua na hisia kali kwa mwamba, hisia hizo hizo alizidi kuzionesha kwa Jane; mlitaka Jane afanyaje? Again, by nature wanawake almost wote uliwafanyia WEMA huaga ana hisi ana deni na wewe na atatafuta namna akulipe; wanawake wanajua the most gift to give to a man is her cocuchie, sio pesa wala nini; ni HICHO. Mary kaona INSIDER ana utu, ana huruma sana na anajali mno; that's a man of any woman's dream. Kampa kiroho Safi kabisa na vitu vya thamani kamnunulia yaani
Well said Yani a woman will do so akiamni kwamba ndo the best thing kwake kuitoa as a woman...kimtindo kaka mkubwa hapo kaongea pointUkimsoma Jane BTW the line huwezi kumlaumu; Jane aligundua kama Mary anampenda Insider, Jane alijua kabisa kwamba INSIDER amepiga sana mdogo wake na Mary again Jane alienda mbali zaidi kwa Mary kwamba, "huyo shemeji yako kaoa; yaani ana mke" [Kama utakumbuka Mary alimfokea sana siku 1 bwana mwandishi] but Mary alivoji reset akaendelea kua na hisia kali kwa mwamba, hisia hizo hizo alizidi kuzionesha kwa Jane; mlitaka Jane afanyaje? Again, by nature wanawake almost wote uliwafanyia WEMA huaga ana hisi ana deni na wewe na atatafuta namna akulipe; wanawake wanajua the most gift to give to a man is her cocuchie, sio pesa wala nini; ni HICHO. Mary kaona INSIDER ana utu, ana huruma sana na anajali mno; that's a man of any woman's dream. Kampa kiroho Safi kabisa na vitu vya thamani kamnunulia yaa
Insider alishampotezea kitambo baada ya kuona anajipa umuhimu sana kwenye huu uzi 😅Kwani cocochanel unataka vipi ? Au haujui msema kweli ni Mpenzi wa Mungu? Insider anaeleza aliyoyafanya sasa wewe unataka asiandike ili akiridhishe wewe? Tafadhari acha kumnyooshea mwenzako kidole wakati vidole vitatu vinakuangalia wewe
😁😁😁INSIDER MAN saa 20:45, 30 People are here unawaumiza watu roho. Toka huko Samaki samaki uje uwapostie bhana