Makwizi Band
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 1,535
- 2,565
Kabisa; yaani sisi wazee mnatufanya tuwaone vijana wote ni wa hovyo kumbe vijana wazuri na waaminifu mpo wengi tu. Mfano ni Insider, kaonesha uaminifu mkubwa sana kwa mzee Pama, mzee Juma, mama wawili nk. Imagine hadi mzee Pama aliacha hadi wosia kabisa to him; what a story...!Watu kama nyie ndio mnatufanya vijana tusiaminike