Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Umewaza kama mimi

Anajaribu tu kuipima imani ya mumewe ila kiukweli inaonekana kachoshwa sana na mbilingembilinge za mume wake
Yeah sema anaonekana yuko matured sana huyo mama J... ni ameamua aupe muda nafasi.
 
Hongera, ila kuna codes kama zinakuja na zinakataa kama ntabahatisha hata kama utakana nahis kama nakujua au vitu ulivyosimlia vingi navijua.

We ni A
manz unayemuongelea anatokea T
Benz umepewa na mshikaj wako wa N
Unaish R.C

Ishu unazofanya sio za saloon ni R.E.

Nimeweka pia codes kama sio wewe, basi kuna pacha ako anapitia haya mnafanana kwa mbali.
Ungemalizia kabisa anasoma masters chuo kinaishia herufi "M"
 
Hongera, ila kuna codes kama zinakuja na zinakataa kama ntabahatisha hata kama utakana nahis kama nakujua au vitu ulivyosimlia vingi navijua.

We ni A
manz unayemuongelea anatokea T
Benz umepewa na mshikaj wako wa N
Unaish R.C

Ishu unazofanya sio za saloon ni R.E.

Nimeweka pia codes kama sio wewe, basi kuna pacha ako anapitia haya mnafanana kwa mbali.
Pamoja na kufungua code kwa codeila nimetoka kapa
 
Hongera, ila kuna codes kama zinakuja na zinakataa kama ntabahatisha hata kama utakana nahis kama nakujua au vitu ulivyosimlia vingi navijua.

We ni A
manz unayemuongelea anatokea T
Benz umepewa na mshikaj wako wa N
Unaish R.C

Ishu unazofanya sio za saloon ni R.E.

Nimeweka pia codes kama sio wewe, basi kuna pacha ako anapitia haya mnafanana kwa mbali.
Mbona unaweka mafumbo wakati ushasema code ziko wazi now, si uweke full names
 
Back
Top Bottom