INSIDER MAN
1. unaweza ukasema Dada aliingiziwa sh ngapi na Iryin?
2. Je Jane alikupa zawadi gani...
3. Mama 2 ni nani hadi akutie aibu na umsamehe?? Still bado una chil around na mwanae...Hapo ulinishinda nimekuona kama miles and miles na mimi hapo hatufanani 100,000%
Nimesema hili kwa sabab I never trust anyone. That's why I am miles away na kusamehe kwa kitu kama kile. Kama ulimsamehe sawa nakuelewa hata mimi ningefanya lkn sio kuwa close tena. Ile pesa uliopewa labda mimi ndio ninginunua hiyo zawadi