Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
👏 Winner. DM your No.Jimmy Vivian Amara
Kwani uliweka picha zao au? Mbona sielewi?👏 Winner. DM your No.
👏 Winner. DM your No.
Hivi hii story umeisoma kweli ukajua mama J na Insider wametoka wapi?? Jinsi mama J alivyomthamini Insider wakati hana hata 100?? Unafikiri hakukuwa na wanaume wenye hela waliokuwa wanamtaka ila akachoose to love him pamoja na hali yake??Piga chini tu, oa Iryn ,kikubwa weka terms nzuri namna ya kumlea Junior katika mazingira mazuri, wanawake wanatuacha sana kwa sababu ya umasikini wetu, na wao kuwaacha kwa sababu ya umasikini wao sio Dhambi......hawa viumbe sio wa kuwaonea huruma.......Angepata yeye mwanaume mwenye pesa asingejiuliza mara mbili angekuacha vibaya sana.
Ulifikiria nini? Maana sikutegemea kuna mtu angepatiaJimmy Vivian Amara
Dress code ya msiba hiyo memory ya mamaake irynUlifikiria nini? Maana sikutegemea kuna mtu angepatia
Mungu huyo huyo anasema zaman zile za ujinga alijifanya kama hazioni lakin sasa anamuamuru kila mtu atubu maana ameiweka siku ya hukumu.Ni Mungu yuleyule wa Suleimani mfalme wa Ke 600+
😂😂😂😂🙌🏻Both teams to score
Uongo hakunaga kitu kama hichoI’m at a stage where I love both equally, 50/50, and I don’t want to lose anyone.🤔
Jaman mbona mnalazimisha tuwe kama nyie wanaume tukipata pesa tunashare nje, inaitwa economic sharing hahhahhahaHivi hii story umeisoma kweli ukajua mama J na Insider wametoka wapi?? Jinsi mama J alivyomthamini Insider wakati hana hata 100?? Unafikiri hakukuwa na wanaume wenye hela waliokuwa wanamtaka ila akachoose to love him pamoja na hali yake??
Ila sishangai coment yako wanaume wengi ndio walivyo wakipata vihela kidogo wanawasahau walioanza nao chini na kuwavumilia wakati hawana kitu.
Tena kwa situation kama ya Insider kupata mwanamke mwenye hela pamoja na yote nampongeza mno bado anamkumbuka mama J yangekuwa haya makurumbembe ya bongo na yanavyopenda kulelewa yangekuwa yalishamwacha mama J kwenda kuwa Mario full time.
Na kingine hamna kibaya mama J kakifanya, ni tamaa za mwamba kuchovya chovya..Hivi hii story umeisoma kweli ukajua mama J na Insider wametoka wapi?? Jinsi mama J alivyomthamini Insider wakati hana hata 100?? Unafikiri hakukuwa na wanaume wenye hela waliokuwa wanamtaka ila akachoose to love him pamoja na hali yake??
Ila sishangai coment yako wanaume wengi ndio walivyo wakipata vihela kidogo wanawasahau walioanza nao chini na kuwavumilia wakati hawana kitu.
Tena kwa situation kama ya Insider kupata mwanamke mwenye hela pamoja na yote nampongeza mno bado anamkumbuka mama J yangekuwa haya makurumbembe ya bongo na yanavyopenda kulelewa yangekuwa yalishamwacha mama J kwenda kuwa Mario full time.
No sucha thin bru love is only once usijidanganyeI’m at a stage where I love both equally, 50/50, and I don’t want to lose anyone.🤔
Nakazia hapaBaada ya pepa za November, nitawaletea.
Nakazia hapaMama J kwasasa hayuko chini ya wazazi ni above 18. Ana maamuzi yake kama mtu mzima, kuhusu ukristo naweza kuswitch nakuwa muslim. Akina Seleman walioa wake 700 sembuse mimi wake wawili tu?
Kwa historia ya wanawake, mimi binafsi siwezi kumyonea huruma Mama J, na huwa nafurahi nikiona mwanamke anaumia na mapenzi, hivi viumbe vinatuumiza sana mioyo yetu, tunateseka sana kutafuta fedha kwa ajili yao, lakini wakipata mwenye pesa unaachwa bila hiruma...nina hakika humu 💯 hakuna mwanaume ambaye hajawahi kuachwa na hawa viumbe kwa sababu ya umasikini wakeHivi hii story umeisoma kweli ukajua mama J na Insider wametoka wapi?? Jinsi mama J alivyomthamini Insider wakati hana hata 100?? Unafikiri hakukuwa na wanaume wenye hela waliokuwa wanamtaka ila akachoose to love him pamoja na hali yake??
Ila sishangai coment yako wanaume wengi ndio walivyo wakipata vihela kidogo wanawasahau walioanza nao chini na kuwavumilia wakati hawana kitu.
Tena kwa situation kama ya Insider kupata mwanamke mwenye hela pamoja na yote nampongeza mno bado anamkumbuka mama J yangekuwa haya makurumbembe ya bongo na yanavyopenda kulelewa yangekuwa yalishamwacha mama J kwenda kuwa Mario full time.