Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Mama watoto this time wivu umeongezeka sana. Kanitamkia live kwamba, this time akiniotea nina chepuka, atapotea na watoto😤.

Nimepewa deadline kufikia December niwe nimempeleka kwetu, otherwise ataenda mwenyewe.🙆🏻‍♂️

Muwe na usiku mwema.
Kinachofuata ni Iryn kujitambulisha kwa mama J kama mke mwenza lengo tu mama J afanye maamuzi magumu ya kukuacha. Ni swala la muda tu Iryn anavumilia kushare naye. Ipo siku hatataka kumuona. Umemtengeneza adui namba moja wa mama J lazima uwe smart. Muwekee masharti na yeye mapema kuwa siku akimvuruga mama J anakukosa jumla. Kuna tofauti kubwa kati ya mwanamke wako wa kwanza na wanaofuata. Huyu akibaki peke yake atakuvuruga utaiona dunia hii chungu
 
Kinachofuata ni Iryn kujitambulisha kwa mama J kama mke mwenza lengo tu mama J afanye maamuzi magumu ya kukuacha. Ni swala la muda tu Iryn anavumilia kushare naye. Ipo siku hatataka kumuona. Umemtengeneza adui namba moja wa mama J lazima uwe smart. Muwekee masharti na yeye mapema kuwa siku akimvuruga mama J anakukosa jumla. Kuna tofauti kubwa kati ya mwanamke wako wa kwanza na wanaofuata. Huyu akibaki peke yake atakuvuruga utaiona dunia hii chungu
Na mm nakazia hapo hapo..kati ya kosa ambalo insider atalifanya ni kumruhusu iryn amvuruge mama j ili waachane na yeye ndo awe maza house, kama insider alivokubali moyoni mwake kuwa wote wana nafasi sawa bas asiruhusu kumpoteza mama j

mwisho nakazia kuhusu huyo jamaa alietoa kifungu hiki, mkuu insider kama unasema ww ni mkristo bas soma vzur haya maneno na uache kujitetea kwamba sisi hatujui mama j amekufanyia nn mana hujasema ili tukupe ushauri..

Mal 2:14-16 SUV​

Lakini ninyi mwasema, Ni kwa sababu gani? Ni kwa sababu BWANA amekuwa shahidi kati ya wewe na mke wa ujana wako, uliyemtenda mambo ya hiana, angawa yeye ni mwenzako, na mke wa agano lako. Hakuna mtu mmoja aliyetenda hivi, ambaye alikuwa na ufahamu kidogo. Au je! Kuna mtu mmoja atafutaye mzao mwenye kumcha Mungu? Kwa hiyo jihadharini roho zenu; mtu awaye yote asimtende mke wa ujana wake mambo ya hiana. Maana mimi nakuchukia kuachana, asema BWANA, Mungu wa Israeli; naye aifunikizaye nguo yake kwa udhalimu namchukia, asema BWANA wa majeshi; basi jihadharini roho zenu, msije mkatenda kwa hiana.
 
Mama watoto this time wivu umeongezeka sana. Kanitamkia live kwamba, this time akiniotea nina chepuka, atapotea na watoto😤.

Nimepewa deadline kufikia December niwe nimempeleka kwetu, otherwise ataenda mwenyewe.🙆🏻‍♂️

Muwe na usiku mwema.
Unadhani mshua wako hajamwambia mkewe hadi leo kweli? I doubt. Again, why hadi sasa Mungu kamficha bimkubwa about it? Wakati una date na Prisca, bimkubwa alinong'onezwa na Mungu about it, why la Iryn Mungu kamficha? Ipo sababu.
 
Kinachofuata ni Iryn kujitambulisha kwa mama J kama mke mwenza lengo tu mama J afanye maamuzi magumu ya kukuacha. Ni swala la muda tu Iryn anavumilia kushare naye. Ipo siku hatataka kumuona. Umemtengeneza adui namba moja wa mama J lazima uwe smart. Muwekee masharti na yeye mapema kuwa siku akimvuruga mama J anakukosa jumla. Kuna tofauti kubwa kati ya mwanamke wako wa kwanza na wanaofuata. Huyu akibaki peke yake atakuvuruga utaiona dunia hii chungu
Sahihi kabisa.
 
Why brother?

Vile ambavyo umekuwa ukiwachapa nao, maana hao uliowataja ni wale uliwaweka tu kwenye visa vyako ila naamini kuna wengine kadhaa ambao wapo kwenye hit list yako...

Lakini kitu kilichonivutia kwako ni kwamba upo intelligent na clever, Tanzania yetu ina upungufu wa watu wenye akili mzee baba kiasi kwamba tumekuwa watu duni...

Ungekuwa ni mmoja ya wahudhuriaji wa summit inayoendelea sasa JNICC pengine tungetafutana, lakini hiyo ya Nov ni kada tofauti...
 
Insider man mtu wa kimya kimya, usikute hata mzee juma hajui kinachoendelea kati yako na iryn. Mpaka umepata mtoto wa pili mama hajajua kama umezaa na iryn? Halafu mbona kama boss lady kazaa faster faster hao watoto wamepishana umri gani? Hongera kwa kupata ka handsome zaidi ya juniour.

Watoto wanaweza kupishana hata miezi 9 na siku kadhaa, kuna washikaji zangu nawajua wamepishana hivyo, mzee wao alikuwa na ugwadu akafanya mambo mkewe akiwa ndio kwanza katoka jifungua...
 
Vile ambavyo umekuwa ukiwachapa nao, maana hao uliowataja ni wale uliwaweka tu kwenye visa vyako ila naamini kuna wengine kadhaa ambao wapo kwenye hit list yako...

Lakini kitu kilichonivutia kwako ni kwamba upo intelligent na clever, Tanzania yetu ina upungufu wa watu wenye akili mzee baba kiasi kwamba tumekuwa watu duni...

Ungekuwa ni mmoja ya wahudhuriaji wa summit inayoendelea sasa JNICC pengine tungetafutana, lakini hiyo ya Nov ni kada tofauti...
the whole africa continent contributes to about 1.1% of the global scientific knowledge.
 
Duh si mchezo!! Umekuwa Superstar sa hivi katika level ambayo mtu kuonana na wewe ni bahati ameipata!!. Sawa Boss nakubali nakubali
Halafu kuna watu eti wanadai jamaa ni Mario! Stupid. Jamaa ni hustler sana na hustle zake zimemlipa. Kasema next year anakwenda zake kufanya kazi nje ya nchi, hope ni ile ahadi ya mzee Juma aliyemtaka akasome masters kwanza ndio amtafutie kazi; wosia wa mzee Pama.
 
Mkuu Nimejisajili ta-attend hii conference nikiwa na mzee Juma. Kama kuna mtu ata register anijulishe ili apate bahati ya kunifahamu.
 
We are lucky to welcome our second baby, a boy, and we have named him Adrian.
KONGOLE kwako INSIDER MAN kwa kupata kijana mwengine kutoka kwa irene. Pamoja na kukiuka kanuni za kawaida za maadili, sina budi kukupongeza kwa kumpata mwanamke anayekupenda maana L O V E utayashinda yote yatakayotokea. BARIKIWA pia kwa kutupata uzoefu wako maishani. mimi ambaye nakaribia kwenye 50 niaona ulivyokuwa na ubongo mkali darasani na katika maisha. sisi tume toil sana kufika hapa tulipo kutokana na kutokuwa na maono na bahati ya kuzaliwa katika familia ambayo tayari imesimama (namaanisha familia ambayo haiwazii mahitaji matatu makuu-malazi,mavazi na chakula). Kila unapopambana, wazo linakujia kule villa bado hapajarekebika, Baba na Mama hawana mavazi, dogo hajalipiwa ada, kaka mkubwa anaumwa anatakiwa kupelekwa matibabu yaani ni msururu wa majukumu na ukiacha kuya attend nafsi inakusta mno.

Kwa hiyo wenzetu mliozaliwa na working class kidogo mnao unafuu wa kufikia viwango vya juu kimaendeleo kutokana na kutokuwa na pulling back strings. Hata hivyo, vijana wa 2000 bado wanayo kazi ya kufanya kuuepuka ujinga wa teknolojia mpya ya simu na social media. Simu na social media ndiyo utumwa mpya ambao mzungu anatutumikisha nao muda huu. Tujitahidi kuushinda huu uraibu ambao ni mbaya kuliko utumwa wenyewe.

yote kwa yote Kongole tena kwako INSIDER MAN :Alarm::CarltonPls::ClapHD:
 
Kinachofuata ni Iryn kujitambulisha kwa mama J kama mke mwenza lengo tu mama J afanye maamuzi magumu ya kukuacha. Ni swala la muda tu Iryn anavumilia kushare naye. Ipo siku hatataka kumuona. Umemtengeneza adui namba moja wa mama J lazima uwe smart. Muwekee masharti na yeye mapema kuwa siku akimvuruga mama J anakukosa jumla. Kuna tofauti kubwa kati ya mwanamke wako wa kwanza na wanaofuata. Huyu akibaki peke yake atakuvuruga utaiona dunia hii chungu
Umesema ukweli kabisa Mkuu, hawa wanaokuja baadaye hawana uchungu nawe kabisa kwa kuwa wamekuja kwako kwa kusudi maalumu. Makusudi yao yakikamilika na ukawa umejaa kwenye mfumo ndo mateso yanapoanzia hapo. Yule wa awali anakujua roho yako vizuri kuliko wa pili, anaujua udhaifu wako na siri zako nyingi anazo chini ya zulia. ukimtibua na bado anakupenda, anazo strong reasons za kutokuachana nawe. mmetoka mbali aisee.
 
Watoto wanaweza kupishana hata miezi 9 na siku kadhaa, kuna washikaji zangu nawajua wamepishana hivyo, mzee wao alikuwa na ugwadu akafanya mambo mkewe akiwa ndio kwanza katoka jifungua...
na huyo mkewe alikuwa na mayai yanayopevuka haraka
 
Back
Top Bottom