Wang Shu
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 2,562
- 3,715
- Thread starter
- #81
Ahaaa sawa usijari kumbe kuanzia mwezi huo basi hamna shida ni mwezi mzuri Naamini naweza kuwa nipo tayari.Sawa mkuu ukiwa tayari unaweza ukaniambia nimebakiza semister moja kumaliza Chuo nahisi hata mwezi wa 9 huko mambo yatakua mazuri