Jinsi Bikra Maria alivyompa mtihani kiongozi wa Kanisa, Nabii Zakaria..

Jinsi Bikra Maria alivyompa mtihani kiongozi wa Kanisa, Nabii Zakaria..

Hivi nyie watu mnasoma Bible ipi hadi leo mnasema Bikra Maria! Basi Mama ngu ni Bikra bado kwani alinizaa na ka endelea kuzaa , upo wapi Ubikra wa Maria wakati aliendelea kuzaa na Joseph kwa kawaida tu hamjui kuwa YESU anao Ndugu wa Damu kwa Maria?
 
Hivi nyie watu mnasoma Bible ipi hadi leo mnasema Bikra Maria! Basi Mama ngu ni Bikra bado kwani alinizaa na ka endelea kuzaa , upo wapi Ubikra wa Maria wakati aliendelea kuzaa na Joseph kwa kawaida tu hamjui kuwa YESU anao Ndugu wa Damu kwa Maria?
Maria kaendelea kuzaa na Joseph? Hapana.

Yesu anao ndugu kwa upande wa baba, mzee Joseph.

Ubikira wa Maria unabaki ule wa kutoingiliwa kabisa na mwanaume mpaka kufa kwake. Ule wa kimaumbile ulitoka alipojifungua.

Jiongeze!
 
Huyu uliyemsema hapa ni Maria? I thought Mariam but again tukubaliane mapema, aliyemzaa Yesu anaitwa Mariam na sio Maria na huyu ni kweli alikua BIKIRA ambaye alikua na uhusiano wa kindugu na mke wa Kuhani Zakaria. Mengi ulioyaandika ukweli hayapo kabisa katika Biblia so nazidi kushawishika kuamini kwamba Mariam na Maria ni watu 2 tofauti maana hata wazazi wao pia (kulingana na maandishi yako) wapo tofauti. Ni sawa na Waislamu ambavyo hua wanam describe nabii Issa na kusema ndio Yesu, utagundua pia ni "manabii" 2 tofauti kabisa, maanake Issa alizalwa chini ya mtende, Yesu kazaliwa kwenye zizi la ng'ombe ile sehemu ya kulishia hao ng'ombe. Binafsi nimependa sana mjadara wako but nilikua nakushauri kitu kidogo, please jenga urafiki na Biblia, utayajua mengi.
 
Nabii Zekaria aliishi miaka 500 kabla ya Yesu kuja dunia. Tofautisha kati ya kuhani na nabii.
 
Nabii Zekaria aliishi miaka 500 kabla ya Yesu kuja dunia. Tofautisha kati ya kuhani na nabii.
Unataka kusema nini?

Kwamba Nabii Zakaria siye baba wa Yohanna, nduguye na Yesu? Au hufahamu kwamba Yesu na Yohanna hawakupishana sana umri?

Hivi uajua kuwa Manabii wengi walirithi Unabii kutoka kwa Baba zao?

Nahisi sijaelewa unataka kusema nini.
 
hivi kanisa na maria nani wa kwanza kuzaliwa, maana kwa uelewa wangu huyu akilelewa ktk sinagogi ambayo ni sehemu takatifu kwa imani yao wakati huo. je kipi sahihi kanisa au sinangogi naomba ufafanuzi
 
800px-Guido_Reni_-_St_Joseph_with_the_Infant_Jesus_-_WGA19304.jpg

Guido Reni - St Joseph with the Infant Jesus - WGA19304
 
hivi kanisa na maria nani wa kwanza kuzaliwa, maana kwa uelewa wangu huyu akilelewa ktk sinagogi ambayo ni sehemu takatifu kwa imani yao wakati huo. je kipi sahihi kanisa au sinangogi naomba ufafanuzi
Swali zuri.

Mfumo wa Kanisa umerithi ule wa Masinagogi. Hata misikiti pia. Yaani ni lile kusanyiko la watu mahala pamoja (jengo, hekalu) kwa ajili ya ibada.

Enzi za Maria, viongozi wa mahekalu walikuwa wanaitwa Makuhani ambao siku hizi wanaitwa Wachungaji.

Inawezekana kuna maelezo mazuri zaidi ya haya!
 
Mzee Zakaria alikuwa kuhani na nabii au kuhani tu?
Alikuwa Kuhani. Inadaiwa alikuwa Nabii pia kwa kigezo cha ushirika wake na Mungu hata akamtumia Malaika kumbashiria atapata mtoto wa uzeeni.

Ukihusisha na nyakati za sasa, utaona hata baadhi ya wachungaji wanatambulika kama manabii. That may help to contextualize.
 
Swali zuri.

Mfumo wa Kanisa umerithi ule wa Masinagogi. Hata misikiti pia. Yaani ni lile kusanyiko la watu mahala pamoja (jengo, hekalu) kwa ajili ya ibada.

Enzi za Maria, viongozi wa mahekalu walikuwa wanaitwa Makuhani ambao siku hizi wanaitwa Wachungaji.

Inawezekana kuna maelezo mazuri zaidi ya haya!
je unakubaliana na mimi kuwa Maria akilelewa katika sinagogi
 
je unakubaliana na mimi kuwa Maria akilelewa katika sinagogi
Hekaluni, Sinagogini, Msikitini yote ni yale yale. Point muhimu ni alilelewa kwenye nyumba ya ibada.

Mfumo wa malezi aliyopata, unafanana sana na mfumo wa malezi ya watoto katika Kanisa la Roman Catholic kwa zama hizi tulizonazo sasa!
 
Wadau wa fikra,

Nafahamu kuwa muongozo wa Jukwaa hili unatutaka tuweke serious reports & discussions on Corruption, Politics na etc kwa ajili ya mijadala yakinifu. Tofauti na Jukwaa la Dini ambalo lengo lake kuu ni kuhamasishana kuhusu masuala ya kiimani na kufundishana yale yaliyo mema.

So, uzi huu hauna lengo la kuhamasishana kuhusu imani bali kujadiliana kwa kina kuhusu mambo ya kale (historical facts) yanayoingiliana kidogo na dini/imani. Naamini nimejaribu kuweka utofauti ili isionekane naleta mjadala wa kidini k


Na historia maarufu ya Bikra Maria sasa inaanzia hapo na kuendelea. Kuna haja ya kuisimulia zaidi?!
UMEIOKOTA WAPI HII HABARI?? Maana kwenye biblia haipo labda vitabu vingine vya dini zingine ila sio ukristo maana haipo katika hivyo vitabu,labda ni story yako ka kubuni tu umejiskia kutunga utakavyo wewe?!
 
UMEIOKOTA WAPI HII HABARI?? Maana kwenye biblia haipo labda vitabu vingine vya dini zingine ila sio ukristo maana haipo katika hivyo vitabu,labda ni story yako ka kubuni tu umejiskia kutunga utakavyo wewe?!
Ni kweli mkuu.

Biblia haikuandika kila kitu lakini imeruhusu rejea ya habari zake mbalimbali kwenye maandiko mengine.

Seriously ulitarajia mambo yote yaandikwe kwenye Biblia? Yangetosha?

Yaliyomo kwenye Biblia ni summary.
 
Napenda maoni mbadala lakini yasiwe conclusive kama hivi. Umeniita Muongo lakini ukashindwa kuweka ukweli sijui unamaanisha nini?

1. Unasema hakuna ushahidi kuwa Joseph alikuwa ameoa, mimi nimekupa clues za ushahidi mpaka jina la mkewe na idadi ya watoto waliozaa (ninayafahamu mpaka majina yao wote). Nadhani hapo palitosha kukupa sehemu ya kuanzia kwenda kufuatilia zaidi mkuu wangu.

2. Sikukataa kuendelea na story kwa sababu ulizozitaja wewe mkuu. Nimeeleza vizuri tu kwamba story inavyoendelea kila mtu anafahamu kwa kuwa masimulizi ya Bikra Maria kupokea ujumbe wa Mungu yapo popular na ndicho kilichokuwa kinafuata. Mimi nilitoa background tu ambayo wengi hawaifahamu kwa sababu haipewi kipaumbele ila IPO.

3. Unasema nimeshindwa kutoa maandiko halafu hapo hapo unakiri nimeeleza kuwa source ni Injili ya Luka, kipi ni kipi boss?

4. Asante kwa kunisahihisha ndugu yangu. Hivi ndivyo yapaswa kuwa. Nilisahau kutumia Mgane badala ya Mjane. Ni makosa ya kawaida hayo boss kikubwa ujumbe umeeleweka.

Cha msingi, naomba nieleweke kuwa sijaweka historia hii kwa lengo lolote baya, ni katika kupeana elimu tu. Nilitoa ruhusa pia ya kuulizana maswali na kueleweshana juu ya niliyoyaandika. Ni vyema sehemu unayohisi nimepotosha, ukaweka usahihi wake ili twende pamoja kiongozi.

Au unaonaje?
This is humility. Great!!!
 
Back
Top Bottom