Jinsi Bikra Maria alivyompa mtihani kiongozi wa Kanisa, Nabii Zakaria..

Unaweza nitumia magombo uliyokuwa unayatumia kusoma na mm nifanye kupitia pitia tu,,,
 
Angalau wewe umekuja na maelezo yenye ushawishi
 
Sio kweli! Maria alikuwa mke halali wa Mzee Joseph. Kugundulika kwa mimba changa ya Yesu hakukuzuia mahusiano ya kindoa baina ya Maria na Joseph. ..Jiongeze!
Biblia inasema hakumuingilia wakati wa ujauzito ila baada ya kuzaa ndio sijui
 
Hivi nyie watu mnasoma Bible ipi hadi leo mnasema Bikra Maria! Basi Mama ngu ni Bikra bado kwani alinizaa na ka endelea kuzaa , upo wapi Ubikra wa Maria wakati aliendelea kuzaa na Joseph kwa kawaida tu hamjui kuwa YESU anao Ndugu wa Damu kwa Maria?
Aliwazaa akina nani?
 
Anamaanisha alikuwepo nabii na kuhani, huyo kuhani ndio alikuwa baba yake Yohana mbatizaji na sio nabii kama wewe ulivyoandika kwenye mada yako
 
Sahihi kabisa mkuu. Ukiisoma vizuri Injili ya Luka utakutana na simulizi. Ama ukitafuta agano la kale na baadhi ya vitabu vinavyofafanua zaidi mambo ya nyakati utakutana nayo. Nilichofanya ni ku-compile tu ili iwe kwenye mtiririko mzuri.
Weka marejeo kwa uhakika zaidi, yaani, mfano, sema Luka 20:20-40.
 
Kwa jinsi,ulivyoandika ni kwamba una ufinyu wa Neno la MUNGU
 
Bado una ufinyu wa Neno la MUNGU
 
...Solome anakuwaje binti, na hapo hapo anakuwa kaka!??
Au ni salome wawili tofauti, mmoja mwanaume na mwingine mwanamke!??
 
Hekaluni, Sinagogini, Msikitini yote ni yale yale. Point muhimu ni alilelewa kwenye nyumba ya ibada.

Mfumo wa malezi aliyopata, unafanana sana na mfumo wa malezi ya watoto katika Kanisa la Roman Catholic kwa zama hizi tulizonazo sasa!
NIMEKUSOMA MKUU
 
Teh! Labda alimaanisha Yesu alikuwa kaka yake Salome maana walishare baba yani Yusufu.
...Solome anakuwaje binti, na hapo hapo anakuwa kaka!??
Au ni salome wawili tofauti, mmoja mwanaume na mwingine mwanamke!??
 
Ni kweli mkuu.

Biblia haikuandika kila kitu lakini imeruhusu rejea ya habari zake mbalimbali kwenye maandiko mengine.

Seriously ulitarajia mambo yote yaandikwe kwenye Biblia? Yangetosha?

Yaliyomo kwenye Biblia ni summary.
Mungu wangu umetoa wapi huo ujinga??wapi imeandikwa kuwa yaliyomo kwenye biblia ni summary tu?
 
sinagogi mkuu.
Miskiti ya kiyahudi.
Kanisa Lilianza baada ya kuja Paulo.
hivi kanisa na maria nani wa kwanza kuzaliwa, maana kwa uelewa wangu huyu akilelewa ktk sinagogi ambayo ni sehemu takatifu kwa imani yao wakati huo. je kipi sahihi kanisa au sinangogi naomba ufafanuzi
 
Alichomaanisha zekaria nabii na zekaria babaye yohane ni watu wawili tofauti.zekaria babaye yohane hakuwa nabii bali kuhani yaani mwongoza ibada madhabahuni
 
We Jamaa acha kupotosha mambo ndivyo mnafundishwa katoroka huko?
 
...Solome anakuwaje binti, na hapo hapo anakuwa kaka!??
Au ni salome wawili tofauti, mmoja mwanaume na mwingine mwanamke!??
makosa ya uandishi tu. ulishaambiwa ni wajomba zake. hivyo Salome alikuwa dada yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…