Jinsi chama cha upinzani kinavyomsulubu Edgar lungu ambaye aliachia uongozi kwa amani

Jinsi chama cha upinzani kinavyomsulubu Edgar lungu ambaye aliachia uongozi kwa amani

Zambia's former President Edgar Lungu has insisted that he is "virtually under house arrest" although police said the monitoring of his movements was "strictly for his own safety".
"I cannot move out of my house without being accosted and challenged by police, who drive me back home," Mr Lungu told the BBC's Newsday programme.
"I'm facing the consequences of returning to politics and I'm ready for it," he added.
Police have denied claims of planning to ambush the former leader at night.
N. B, Tunajifunza nini hapa!
Ukisoma history vizuri suala la Chama tawala na chama cha upinzani ni fikra za kutokujua uhalisia wa mambo.


Ukipitia Wikipedia ya office holders utaona toka Kaunda mpaka sasa Zambia imepitia mabadiliko ya vyama vinee.

Hivyo kuna haja ya kufanya homework kabla ya kusema Edgar Lungu anateswa na upinzani,.maana hata muasisi wa chama cha Lungi hakuwa chama tawala wakati Zambia inapata uhuru.
 
ndio maana intellectuals tunaimba everyday, kwamba lazima ifike mahali kama Taifa, vyama vya siasa wawapike vizuri young professionals and visionary political leaders wa kutosha, ili kusaidia kuitransfom inchi into prosperous, kijamii kisiasa na kiuchumi 🐒

sasa hii habari ya kupika vijana wawe na mihemko na kutukana tu, anapotofautiana hoja au maoni na watu wengine haitasaidia chochote 🐒
Nimeiona post yako nikataka kuandika jambo flani ila nimejizuia kuliandika.
 
Nimeiona post yako nikataka kuandika jambo flani ila nimejizuia kuliandika.
bora umejizuia maana ingekua kujinyonga tungekua tumepoteza nguvu kazi ya Taifa kwa post moja tu JF....

hata hivyo,
huo sasa ni uchoyo au ubinafsi, hutaki wengine wajifunze au kupata ufahamu na uelewa zaidi kutoka kwa maoni au mtazamo wako....

sasa,
ukibaki nalo silitakupa kihoro zaidi moyoni whether liwe gumu au jepesi.

bora ulitoe upate relief na usonge mbele na mengine 🐒
 
Nani alikuambia Afrika kuna tofauti kati ya upinzani na chama tawala? Yaani mtu mwenye akili timamu uwape Chadema nchi ili Godbless Lema awe Waziri wa Mambo ya Ndani! Utakuwa na akili kweli?
 
Ukisoma history vizuri suala la Chama tawala na chama cha upinzani ni fikra za kutokujua uhalisia wa mambo.


Ukipitia Wikipedia ya office holders utaona toka Kaunda mpaka sasa Zambia imepitia mabadiliko ya vyama vinee.

Hivyo kuna haja ya kufanya homework kabla ya kusema Edgar Lungu anateswa na upinzani,.maana hata muasisi wa chama cha Lungi hakuwa chama tawala wakati Zambia inapata uhuru.
Chama kinachoendesha nchi ndicho chama tawala kwa wakati huo, kilichopo nje ndicho cha upinzani, sikumaanisha chama kile kilichodai uhuru na kuongoza.
-Ukiangalia kwa umakini na kwa jicho la Tatu, utagundua nje ya katiba mpya, lakini utagundua yapo ya kurekebisa, hata baada ya chama kingine kushika dola, na ndiyo maana tunapaswa kuwa na subira kidogo tusikimbie kama wengine!
 
Zambia's former President Edgar Lungu has insisted that he is "virtually under house arrest" although police said the monitoring of his movements was "strictly for his own safety".
"I cannot move out of my house without being accosted and challenged by police, who drive me back home," Mr Lungu told the BBC's Newsday programme.
"I'm facing the consequences of returning to politics and I'm ready for it," he added.
Police have denied claims of planning to ambush the former leader at night.
N. B, Tunajifunza nini hapa!
Yeye amesahau wakati yuko madarakani alivyokuwa akimtesa HH? Na badoooo!
 
Yeye amesahau wakati yuko madarakani alivyokuwa akimtesa HH? Na badoooo!
Yapo mambo yakiachwa kuendelea yatasababisha demokrasia kuwa ngumu barani Afrika, ni lazima uwepo utaratibu bora utakaohakikisha kutoka madarakani na kuingia tena haliwi jambo la hatari kwa pande zote mbili, haya nayo ni ya kuongeza katika katiba mpya ijayo, (Tusikurupuke)
 
Back
Top Bottom