Jinsi DC Sabaya alivyomnasa Afisa Ugani na mtandao wa kitapeli wa Q NET alivyochota mamilioni ya watu

Hawa jamaa Mungu anawaona walimdanganya jamaa yangu wakamuuzia kidude kama kioo anavaa kama mkufu cha kuzuia miale yenye sumu etii
Unaweza tizama hapa asee uone walimu walivyo niangusha

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] laki 8 jamaa kahesabu asee daah [emoji22]
 
Wazee wa Good morning!!!, kuna jamaa hadi leo ananichukia, eti sijui kutumia fursa. Kumbe alitaka mimi ndo niwe fursa kwake
Good morning....
Ukakataa kua fursa mkuu
 
Makaveli anasema duniani ukiamua kudanganya huwezi kosa wa kumdanganya. Danganya chochote, kuna watu wataamini.
 
Waalimu waongezewe mishahara angalau ifike 4 million kama basic salary
Kila jambo na wakati wake, kuna miradi mingi serikali inatekeleza hivi sasa. Hakika huko mbeleni walimu watapata zaidi ya hiyo milioni 4.
 
Khaaa tena ? Basi kuna watu wana machungu moyoni huwezi jua labda walishampiga na muheshimiwa asee alafu hasemi[emoji1][emoji1]
Hahah ye jamaa anaenda kufungua tu ofisi za watu bila hata kuchunguza hao ni wakina nani,sijui ni wanapewaga bahasha ili wajitoe akili.
 
Walimu wana pesa haitakiwi kuongezewa mishahala, mtu unatoa M4.3 unacheza upatu harafu unalia mshahala mdogo dah bora wakaongezee Askari wanao kimbia na mabox ya kura
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…