Jinsi DC Sabaya alivyomnasa Afisa Ugani na mtandao wa kitapeli wa Q NET alivyochota mamilioni ya watu

Huyo waziri na katibu mkuu wa wizara waliokata utepe kufungua ofisi za matapeli Hawa wawekwe kundi gani ??
 
Watu washapigwa sana na hii Qnet mimi nilitegemea kwa serikali makini wangeshawafurusha nchini muda sana. Mpaka huwa najiuliza wanakula nao?
 
Za mwizi....
 
Kila siku tunapiga kelele jamani matapeli wamezidi mitandaoni lakini bado walimu wamelala usingizi wa Pono hivi inawezenaje receipt isubiriwe kutoka malasia huku tayari umetoa hela? Haocwalimu wanajidhalilisha tu.
 
Wanamtandao wote mapapa waliofungua kabisa ofisi zao ndio wakamatwe...wasishughulike na hao wadogo ambao wameshadhulumiwa nao walikua wanatafta wanyonge wenzao wa kuwadhulumu
 
You can say that again and again and again.
Every thing should be reason, questioned and explored including religion.
 
You can say that again and again and again.
Every thing should be reason, questioned and explored including religion.
I concur. We also have to question our own motives when we question..
 
Kundi la waalimu limejaa watu wajinga sn sijui ni kwanini?
Kumbuka ndio walikufanya unabwabwaja hapa nilikwambia wewe akili zako ndogo sana . Taasisi gani haitapeliwi tuanzie hapo
 
Kule ndio kitovu cha mambo hayo wanasema hatoki mtu akiingia kwenye kumi na nane zao.

Hela ya vikoba watu wamepeleka huko huku buza si watakufa na wewe Honey.
 
Polisi mkoani Kilimanjaro wanamshikilia mtumishi wa serikali, Dominic Mwapombe anayedaiwa ni afisa wa Kampuni ya Qnet inayodaiwa kuwaibia watumishi wa serikali mamilioni ya fedha. Mwapombe na wenzake wanashukiwa kukusanya TZS milioni 4.3 kwa watu mbalimbali kama ada ya kujisajili.


Nilipowaona tu hawa Jamaa (Qnet) kuwa Hamnazo Kichwani (Akili za Kipa Katoka) ni pale tu Salamu yao muda wote ikiwa ni 'Good Morning' tu.
 
Jamaa wana ushawishi, ukiishiwa misimamo shurti wakutendeee, kweli wajinga mjini hawaishi...na watu husahau haraka sana toka enzi za deci...

Pia pana hawa crowd1 nao hushawishi saana, wakaniunga kwa whatsapp group lao so nimebaki kutazama tu chat zao baada ya mkasa wa qnet naona maswali yakawa mengi kwa members wametoa pesa zao na rewards waliambiwa baada ya miezi mitatu, ila ishapita miezi sita hakuna kitu baada ya maswali kuzidii admin akaanza leftisha wauliza maswali baadae kapiga ban members kupost.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…