Pre GE2025 Jinsi Freeman Mbowe anavyoenda kumfuta Lissu kwenye siasa za Tanzania

Pre GE2025 Jinsi Freeman Mbowe anavyoenda kumfuta Lissu kwenye siasa za Tanzania

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tatizo mihemko,kanywe maji mengiiiiiiiii.
Afu urudi kwenye content za siasa za Nchi hii.
Siasa za sasa,hazihitaji mwenye roho za kitume tume.

Maana tushatoka huko.
Ungezungumzia uharamia wa Ccm katika siasa za Nchi yetu ungeeleweka.Tofauti na hapo,wewe ni chawa wa CCM TU.
 
Nafikiri tuache uoga kwa kuwa mnaamini Lissu ndio hitaji la wanachadema kwa sasa basi twende kwenye kisanduku cha kula alafu tutajua mwanaume ni nani.
Viashiria vinaonesha kuwa upande wa pili wameshaandaa mazingira ya kujinyakulia ushindi.....maneno makali ya wapambe wa Mbowe inaonyesha wazi kuwa wengi hawako tayari kuyapokea mambo tofauti
 
Siasa ni ajenda na upepo. Mbowe atakuja na siasa mpya ndio maana hata sura za chama zimeanza kuwa mpya. So don't worry about it .

Au unafikiri Lissu anaweza kuindoa CCM madarakani kwa siasa zake za Daruso?
Lissu hawezi kabisa kuthubutu kuiondoa CCM.
Nakumbuka kipindi cha Hard Talk cha BBC "kitimoto"na mwandishi mahili Stephen, akiulizwa maswali mepesi anaanza ngonjela zisizo na kichwa wala mguu hadi Stephen akawa mara kwa mara anamkumbusha aje na facts sio porojo.
Mwisho wa mahojiano ilikuwa aibu tupu hata kingereza chenyewe kilikuwa cha kuunga unga sijui kama amewahi kushinda kesi ngapi kama wakili nje ya Tanzania?
 
Kama sio Lissu kutangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti, hizi ngonjera zisingewahi sikika. Uchaguzi ungeisha kimyakimya.

Nani amewahi sikia sera au kampeni yoyote Mbowe amewahi fanya toka awe Mwenyekiti wa Chadema, alikuwa hana ushindani wala hajawahi shindania hiyo nafasi.
... kama Mbowe asingechukua form ya kugombea uenyekiti drama za team Lissu mitandaoni na uswahilini zingetoka wapi!? ... angepita bila ushindani!
🤣
 
MBOWE ni mwanasiasa mnafiki sana lakini unafiki wake imekaa kimkakati sana kiasi kwamba unahitaji akili ya ziada kuutambua unafiki wake.....

Kinachozidi kutia shaka kuwa ni pandikizi la CCM kwenye siasa za upinzani ni kitendo cha yeye kupiganiwa na CCM ili abakie madarakani.....ni mambo yaliyokuwa dhahiri kuwa kuna kitu nyuma ya pazia.......

Harakati za CCM na butwaa la CCM ukijumlisha na nguvu kubwa inayotumika na CCM kukazania Mbowe abakie kwenye kiti na propaganda zinazoenezwa na CCM kumzuia Lissu vinazidi kutufunua akili zetu na kuuona unafiki wa Mbowe......

Kwa kifupi watu wenye uelewa mpana wa mambo ya kisiasa wameshatoka kwenye giza la ujinga kwa kushuhudia haya yanayoendelea na majibu yapo kichwani........

Nadhani baada ya uchaguzi mambo ndani ya chama hayatakuwa kama zamani......
... hivi ni mimi ndo sipati hizi Habari? ... ni lini uongozi wa CCM umetoa tamko lolote kuhusu uenyekiti wa CHADEMA? ... kuna majeshi yeyote yametumwa na CCM kushughulikia watia nia wa nafasi hiyo CHADEMA?
Ninachoona mimi ni 'trolls' wa mitandaoni kina Mwashambwa & co, tena wakiwa na misimamo iliyogawanyika, ndo wanaotoa maoni yao JF na kwingine mitandaoni!
MWENYE USHAHIDI WA SHINIKIZO LA CCM TAFADHALI TULETEE!
😱🙄🙄🙄
 
Lisa kikinuka anapanda ndege anatukimbia hana ujasiri wowote ni joga la kutupwa.
Kupambana na JPM mpaa kumepelekesha vile kwenye kampeni unadhani mtu muoga angeweza? Kama ni kukimbia hata Mbowe alikimbilia Dubai mpaka JPM alivyofariki.
 
Mbowe anataka siasa zinazoendana na nature ya watanzania.
Hizo siasa za kistaarabu ndio zimefeli sasa, Mbona Dr Slaa alitumia radical opposition na ikafanya kazi au umesahau yale maandamano ya Arusha? Unadhani Mbowe anaweza imitate hilo?
 
... hivi ni mimi ndo sipati hizi Habari? ... ni lini uongozi wa CCM umetoa tamko lolote kuhusu uenyekiti wa CHADEMA? ... kuna majeshi yeyote yametumwa na CCM kushughulikia watia nia wa nafasi hiyo CHADEMA?
Ninachoona mimi ni 'trolls' wa mitandaoni kina Mwashambwa & co, tena wakiwa na misimamo iliyogawanyika, ndo wanaotoa maoni yao JF na kwingine mitandaoni!
MWENYE USHAHIDI WA SHINIKIZO LA CCM TAFADHALI TULETEE!
😱🙄🙄🙄
Hata hapa tunaposema mambo yanayowahusu CHADEMA yanayowazungumzia CHADEMA hatuyasemi hayo kwa kuwa chadema wametoa tamko la moja kwa moja......Bali wanachama na wapenzi..... kwenye ulimwengu wa siasa maneno ya wanachama WA chama fulani yanayoleta au kusema jambo fulani pasi na tamko rasmi la chama linaweza kuhesabika kama linaungwa mkono na chama husika
 
Hivi mbowe akipita kutakuwa uthubutu wa kuwaambia ccm wanang'ang'ania madaraka? Kwa hali hiyo ngoja tuendelee na ccm tu mapoyoyo bado wako wengi

Hivi unategemea siku moja CCM ikwambie haya njoo uchukuwe madaraka!!!!
Njia pekee ni sanduku la kura, hivyo TAL asiogope sanduku la kura, ashindane na mtu size yake akishinda ni kiongozi wetu akishindwa ni mwanachama mwenzetu na maisha yanaendelea
Ondao dhana ya kupata ushindi mezani mkuu.
Na yeyote mwenye ubavu akachukuwe fomu muda bado upo tuache ngonjera za mitandaoni.
 
Chadema ndio chama kikuu cha upinzani chini ya Mbowe iweje uchaguzi huu ndio kisiwe chama cha upinzani?

Mbowe anaenda kumfuta kabisa Lissu kwenye siasa za Tanzania sababu Lissu ni baba aambiliki.
Naona unaota ndoto ya mchana!!

Mbowe hata atoe rushwa hatashinda!!!
Zaidi SHOST zake CCM dola waingilie kati na kupindua Matokeo!!!
 
Tundu Lissu yuko kwenye mioyo ya watanzania wengi hata wasio wanachama wa chadema wala chama Kingine chochote cha kisiasa nchini.

Hakuna wa kumuweza Tundu Lisu kwa namna yoyote ile.
Jamaa anaishi kwa makusudi Kamilki ya Muumbaji.
Mpeni nafasi atumikie watanzania atupekeke mahala hatujawahi kufikishwa na watangulizi.
 
Freeman Mbowe ndio mwanasiasa wa upinzani mahiri kuwai kutokea tangu Tanzania iumbwe, anaebisha ilo ni mjinga.

Amewaacha mbali sana wanasiasa wote wa upinzani mtu pekee aliyekuwa anamkaribia Mbowe ni Maalim Seif.

Ni mwanasiasa wa mfano na role model kwa kuwa anaweza kukusanya pesa na raslimali kwa ajili ya kuendesha na kujenga chama.

Ana maono ya hali ya juu hapa wakati nyinyi mnabishana na kuiangalia 2025 yeye Mbowe anaitazama zaidi 2030.

Ana wafuasi watiifu na wenye kumpenda kwa dhati na wako tayari kumuunga mkono kwa lolote.

Ana ujasiri na maamuzi magumu ambayo wengi huja kuyaelewa mwishoni ( hata ili la Lissu mtamuelewa baadae).

Ni mbunifu sana ndio maana amekuwa kwenye siasa za upinzani kwa muda mrefu bila kuchuja wala kuboa na bado anahitajika sana.

Pia ni team player anaeweza kujenga timu na kuwaunganisha watu wa aina tofauti tofauti, pale chadema kuna vichaa wengi sana ila anawamudu vizuri sana na anasikilizwa na wote.

Mbowe ndio Chadema na Chadema ni Mbowe. Hakuna chadema bila Mbowe. Kama kuna mtu anaona tofauti na hili basi akapimwe akili.

Kuhusu Lissu, huyu mwanahakati hafai na hana uwezo wa kuongoza chama kikuu cha upinzani. Lissu ni wale wanasiasa wanapewa maiki jukwaani na kuanza kushambulia watu hajui ilo jukwaa limetoka wapi, hajui umati umejaa pale zimetumika efforts zipi, hajui mafuta ya magari yametoka wapi yeye ni mzuri wa kushambulia sio kujenga. Ndio maana hana history yoyote ya kufanya jambo la kujenga.

Ataenda kuangushwa vibaya sana na Mbowe kwa kura za halali kwa kuwa Chadema wanajua umuhimu wa Mbowe na awapo tayari kumsaliti wanajua alipowatoa wanajua namna alivyokijenga chama.

Lissu anatembelea huruma ya wanaharakati lakini kiuhalisia hajui lolote kuhusu leadership. Matatizo yote ndani ya chadema yeye alishiriki kikamilifu kuyatengeneza na ameumiza wengi sana pale. Kampeni zake zinafata mfumo wake ule ule kubomoa sio kujenga.

Najua wengi mna wasiwasi maisha ya chadema bila Lissu na kundi lake la wasaliti. Mbowe ni legend anajua anachofanya huyo Lissu nje ya chadema ni kama Mtikila tu atakuwa anafurahisha genge na kushambulia watu baaasi, hatakuwa na relevance yoyote mnamuona wa muhimu sababu ya brand ya Chadema.

Chadema imejiandaa kuwa chama cha siasa Mbowe kachoka maisha ya wanachama kuwa magerezani wengine kupoteza maisha hataki tena hiyo dhambi. Anataka chadema kiwe ni chama mbadala hata mtu aliye CCM anaweza kuingia na kufanya siasa zake bila nongwa za kina Lissu yani mfano leo umpate January au Warioba alafu anatokea mnoko kama Lissu anaanza kukwamisha wakati lengo ni kukamata dola.


Lissu apige kelele za mwisho mwisho, sasa hivi Mbowe ananoa bisu lake ifikapo January 21 watu wanakamata shingo anaelekezwa kibra kwa ajili ya kufanya sadaka ya kafara chama kipate uhai mpya.

NB: Nasikia ukikutana na Mbowe sasa hivi wimbo wake pendwa ni mtoto kautaka mtoto kautaka 🎵🎵
We yerico nyerere unatapatapa sana
 
Sidhani kama ni rahisi, amini na kwambia ikiwa mwanasiasa yeyote yule hata Lisu let say akahamia chama chochote kile akalitumia vyema jina la JPM atasumbua sana.
 
Freeman Mbowe ndio mwanasiasa wa upinzani mahiri kuwai kutokea tangu Tanzania iumbwe, anaebisha ilo ni mjinga.

Amewaacha mbali sana wanasiasa wote wa upinzani mtu pekee aliyekuwa anamkaribia Mbowe ni Maalim Seif.

Ni mwanasiasa wa mfano na role model kwa kuwa anaweza kukusanya pesa na raslimali kwa ajili ya kuendesha na kujenga chama.

Ana maono ya hali ya juu hapa wakati nyinyi mnabishana na kuiangalia 2025 yeye Mbowe anaitazama zaidi 2030.

Ana wafuasi watiifu na wenye kumpenda kwa dhati na wako tayari kumuunga mkono kwa lolote.

Ana ujasiri na maamuzi magumu ambayo wengi huja kuyaelewa mwishoni ( hata ili la Lissu mtamuelewa baadae).

Ni mbunifu sana ndio maana amekuwa kwenye siasa za upinzani kwa muda mrefu bila kuchuja wala kuboa na bado anahitajika sana.

Pia ni team player anaeweza kujenga timu na kuwaunganisha watu wa aina tofauti tofauti, pale chadema kuna vichaa wengi sana ila anawamudu vizuri sana na anasikilizwa na wote.

Mbowe ndio Chadema na Chadema ni Mbowe. Hakuna chadema bila Mbowe. Kama kuna mtu anaona tofauti na hili basi akapimwe akili.

Kuhusu Lissu, huyu mwanahakati hafai na hana uwezo wa kuongoza chama kikuu cha upinzani. Lissu ni wale wanasiasa wanapewa maiki jukwaani na kuanza kushambulia watu hajui ilo jukwaa limetoka wapi, hajui umati umejaa pale zimetumika efforts zipi, hajui mafuta ya magari yametoka wapi yeye ni mzuri wa kushambulia sio kujenga. Ndio maana hana history yoyote ya kufanya jambo la kujenga.

Ataenda kuangushwa vibaya sana na Mbowe kwa kura za halali kwa kuwa Chadema wanajua umuhimu wa Mbowe na awapo tayari kumsaliti wanajua alipowatoa wanajua namna alivyokijenga chama.

Lissu anatembelea huruma ya wanaharakati lakini kiuhalisia hajui lolote kuhusu leadership. Matatizo yote ndani ya chadema yeye alishiriki kikamilifu kuyatengeneza na ameumiza wengi sana pale. Kampeni zake zinafata mfumo wake ule ule kubomoa sio kujenga.

Najua wengi mna wasiwasi maisha ya chadema bila Lissu na kundi lake la wasaliti. Mbowe ni legend anajua anachofanya huyo Lissu nje ya chadema ni kama Mtikila tu atakuwa anafurahisha genge na kushambulia watu baaasi, hatakuwa na relevance yoyote mnamuona wa muhimu sababu ya brand ya Chadema.

Chadema imejiandaa kuwa chama cha siasa Mbowe kachoka maisha ya wanachama kuwa magerezani wengine kupoteza maisha hataki tena hiyo dhambi. Anataka chadema kiwe ni chama mbadala hata mtu aliye CCM anaweza kuingia na kufanya siasa zake bila nongwa za kina Lissu yani mfano leo umpate January au Warioba alafu anatokea mnoko kama Lissu anaanza kukwamisha wakati lengo ni kukamata dola.


Lissu apige kelele za mwisho mwisho, sasa hivi Mbowe ananoa bisu lake ifikapo January 21 watu wanakamata shingo anaelekezwa kibra kwa ajili ya kufanya sadaka ya kafara chama kipate uhai mpya.

NB: Nasikia ukikutana na Mbowe sasa hivi wimbo wake pendwa ni mtoto kautaka mtoto kautaka 🎵🎵
Haahaa mbowe ni sawa na chatu aliyekaa watoto wengi akaanza kuwameza mwenyewe, atabaki peke yake mwishoni
 
Freeman Mbowe ndio mwanasiasa wa upinzani mahiri kuwai kutokea tangu Tanzania iumbwe, anaebisha ilo ni mjinga.

Amewaacha mbali sana wanasiasa wote wa upinzani mtu pekee aliyekuwa anamkaribia Mbowe ni Maalim Seif.

Ni mwanasiasa wa mfano na role model kwa kuwa anaweza kukusanya pesa na raslimali kwa ajili ya kuendesha na kujenga chama.

Ana maono ya hali ya juu hapa wakati nyinyi mnabishana na kuiangalia 2025 yeye Mbowe anaitazama zaidi 2030.

Ana wafuasi watiifu na wenye kumpenda kwa dhati na wako tayari kumuunga mkono kwa lolote.

Ana ujasiri na maamuzi magumu ambayo wengi huja kuyaelewa mwishoni ( hata ili la Lissu mtamuelewa baadae).

Ni mbunifu sana ndio maana amekuwa kwenye siasa za upinzani kwa muda mrefu bila kuchuja wala kuboa na bado anahitajika sana.

Pia ni team player anaeweza kujenga timu na kuwaunganisha watu wa aina tofauti tofauti, pale chadema kuna vichaa wengi sana ila anawamudu vizuri sana na anasikilizwa na wote.

Mbowe ndio Chadema na Chadema ni Mbowe. Hakuna chadema bila Mbowe. Kama kuna mtu anaona tofauti na hili basi akapimwe akili.

Kuhusu Lissu, huyu mwanahakati hafai na hana uwezo wa kuongoza chama kikuu cha upinzani. Lissu ni wale wanasiasa wanapewa maiki jukwaani na kuanza kushambulia watu hajui ilo jukwaa limetoka wapi, hajui umati umejaa pale zimetumika efforts zipi, hajui mafuta ya magari yametoka wapi yeye ni mzuri wa kushambulia sio kujenga. Ndio maana hana history yoyote ya kufanya jambo la kujenga.

Ataenda kuangushwa vibaya sana na Mbowe kwa kura za halali kwa kuwa Chadema wanajua umuhimu wa Mbowe na awapo tayari kumsaliti wanajua alipowatoa wanajua namna alivyokijenga chama.

Lissu anatembelea huruma ya wanaharakati lakini kiuhalisia hajui lolote kuhusu leadership. Matatizo yote ndani ya chadema yeye alishiriki kikamilifu kuyatengeneza na ameumiza wengi sana pale. Kampeni zake zinafata mfumo wake ule ule kubomoa sio kujenga.

Najua wengi mna wasiwasi maisha ya chadema bila Lissu na kundi lake la wasaliti. Mbowe ni legend anajua anachofanya huyo Lissu nje ya chadema ni kama Mtikila tu atakuwa anafurahisha genge na kushambulia watu baaasi, hatakuwa na relevance yoyote mnamuona wa muhimu sababu ya brand ya Chadema.

Chadema imejiandaa kuwa chama cha siasa Mbowe kachoka maisha ya wanachama kuwa magerezani wengine kupoteza maisha hataki tena hiyo dhambi. Anataka chadema kiwe ni chama mbadala hata mtu aliye CCM anaweza kuingia na kufanya siasa zake bila nongwa za kina Lissu yani mfano leo umpate January au Warioba alafu anatokea mnoko kama Lissu anaanza kukwamisha wakati lengo ni kukamata dola.


Lissu apige kelele za mwisho mwisho, sasa hivi Mbowe ananoa bisu lake ifikapo January 21 watu wanakamata shingo anaelekezwa kibra kwa ajili ya kufanya sadaka ya kafara chama kipate uhai mpya.

NB: Nasikia ukikutana na Mbowe sasa hivi wimbo wake pendwa ni mtoto kautaka mtoto kautaka 🎵🎵
Hatimaye Mbowe amejifuta mwenyewe
 
Back
Top Bottom