Pre GE2025 Jinsi Freeman Mbowe anavyoenda kumfuta Lissu kwenye siasa za Tanzania

Pre GE2025 Jinsi Freeman Mbowe anavyoenda kumfuta Lissu kwenye siasa za Tanzania

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Freeman Mbowe ndio mwanasiasa wa upinzani mahiri kuwai kutokea tangu Tanzania iumbwe, anaebisha ilo ni mjinga.

Amewaacha mbali sana wanasiasa wote wa upinzani mtu pekee aliyekuwa anamkaribia Mbowe ni Maalim Seif.

Ni mwanasiasa wa mfano na role model kwa kuwa anaweza kukusanya pesa na raslimali kwa ajili ya kuendesha na kujenga chama.

Ana maono ya hali ya juu hapa wakati nyinyi mnabishana na kuiangalia 2025 yeye Mbowe anaitazama zaidi 2030.

Ana wafuasi watiifu na wenye kumpenda kwa dhati na wako tayari kumuunga mkono kwa lolote.

Ana ujasiri na maamuzi magumu ambayo wengi huja kuyaelewa mwishoni ( hata ili la Lissu mtamuelewa baadae).

Ni mbunifu sana ndio maana amekuwa kwenye siasa za upinzani kwa muda mrefu bila kuchuja wala kuboa na bado anahitajika sana.

Pia ni team player anaeweza kujenga timu na kuwaunganisha watu wa aina tofauti tofauti, pale chadema kuna vichaa wengi sana ila anawamudu vizuri sana na anasikilizwa na wote.

Mbowe ndio Chadema na Chadema ni Mbowe. Hakuna chadema bila Mbowe. Kama kuna mtu anaona tofauti na hili basi akapimwe akili.

Kuhusu Lissu, huyu mwanahakati hafai na hana uwezo wa kuongoza chama kikuu cha upinzani. Lissu ni wale wanasiasa wanapewa maiki jukwaani na kuanza kushambulia watu hajui ilo jukwaa limetoka wapi, hajui umati umejaa pale zimetumika efforts zipi, hajui mafuta ya magari yametoka wapi yeye ni mzuri wa kushambulia sio kujenga. Ndio maana hana history yoyote ya kufanya jambo la kujenga.

Ataenda kuangushwa vibaya sana na Mbowe kwa kura za halali kwa kuwa Chadema wanajua umuhimu wa Mbowe na awapo tayari kumsaliti wanajua alipowatoa wanajua namna alivyokijenga chama.

Lissu anatembelea huruma ya wanaharakati lakini kiuhalisia hajui lolote kuhusu leadership. Matatizo yote ndani ya chadema yeye alishiriki kikamilifu kuyatengeneza na ameumiza wengi sana pale. Kampeni zake zinafata mfumo wake ule ule kubomoa sio kujenga.

Najua wengi mna wasiwasi maisha ya chadema bila Lissu na kundi lake la wasaliti. Mbowe ni legend anajua anachofanya huyo Lissu nje ya chadema ni kama Mtikila tu atakuwa anafurahisha genge na kushambulia watu baaasi, hatakuwa na relevance yoyote mnamuona wa muhimu sababu ya brand ya Chadema.

Chadema imejiandaa kuwa chama cha siasa Mbowe kachoka maisha ya wanachama kuwa magerezani wengine kupoteza maisha hataki tena hiyo dhambi. Anataka chadema kiwe ni chama mbadala hata mtu aliye CCM anaweza kuingia na kufanya siasa zake bila nongwa za kina Lissu yani mfano leo umpate January au Warioba alafu anatokea mnoko kama Lissu anaanza kukwamisha wakati lengo ni kukamata dola.


Lissu apige kelele za mwisho mwisho, sasa hivi Mbowe ananoa bisu lake ifikapo January 21 watu wanakamata shingo anaelekezwa kibra kwa ajili ya kufanya sadaka ya kafara chama kipate uhai mpya.

NB: Nasikia ukikutana na Mbowe sasa hivi wimbo wake pendwa ni mtoto kautaka mtoto kautaka 🎵🎵
Ana wafuasi wanaoweza kumuunga mkono kwa lipi?.
 
Mbowe kakupa nini mpaka umejitoa fahamu kuasi hiki? Mbowe haiwezekani apewe misaada kama yeye binafsi, misaada huja kwa kuwatizama chadema wote siyo mbowe binafsi kwani mbowe anajukana kwa uchoyo ubinafsi, chama kikubwa kama chadema katibu mkuu hana mamlaka juu ya idara ya pesa , kitengo cha pesa yupo mbowe mwenyewe na hakuna mwanachadema anajua chama kina shilling ngapi bank ndiyo maana mbowe hataki uongozi mpya kwa hofu ya madudu ufisadi wake kujulikana
 
Mbowe ataiba kura atafanya uchakachuaji awe mwenyekiti haramu lakini safari hii atakuwa kapata funzo kubwa sana
 
Freeman Mbowe ndio mwanasiasa wa upinzani mahiri kuwai kutokea tangu Tanzania iumbwe, anaebisha ilo ni mjinga.

Amewaacha mbali sana wanasiasa wote wa upinzani mtu pekee aliyekuwa anamkaribia Mbowe ni Maalim Seif.

Ni mwanasiasa wa mfano na role model kwa kuwa anaweza kukusanya pesa na raslimali kwa ajili ya kuendesha na kujenga chama.

Ana maono ya hali ya juu hapa wakati nyinyi mnabishana na kuiangalia 2025 yeye Mbowe anaitazama zaidi 2030.

Ana wafuasi watiifu na wenye kumpenda kwa dhati na wako tayari kumuunga mkono kwa lolote.

Ana ujasiri na maamuzi magumu ambayo wengi huja kuyaelewa mwishoni ( hata ili la Lissu mtamuelewa baadae).

Ni mbunifu sana ndio maana amekuwa kwenye siasa za upinzani kwa muda mrefu bila kuchuja wala kuboa na bado anahitajika sana.

Pia ni team player anaeweza kujenga timu na kuwaunganisha watu wa aina tofauti tofauti, pale chadema kuna vichaa wengi sana ila anawamudu vizuri sana na anasikilizwa na wote.

Mbowe ndio Chadema na Chadema ni Mbowe. Hakuna chadema bila Mbowe. Kama kuna mtu anaona tofauti na hili basi akapimwe akili.

Kuhusu Lissu, huyu mwanahakati hafai na hana uwezo wa kuongoza chama kikuu cha upinzani. Lissu ni wale wanasiasa wanapewa maiki jukwaani na kuanza kushambulia watu hajui ilo jukwaa limetoka wapi, hajui umati umejaa pale zimetumika efforts zipi, hajui mafuta ya magari yametoka wapi yeye ni mzuri wa kushambulia sio kujenga. Ndio maana hana history yoyote ya kufanya jambo la kujenga.

Ataenda kuangushwa vibaya sana na Mbowe kwa kura za halali kwa kuwa Chadema wanajua umuhimu wa Mbowe na awapo tayari kumsaliti wanajua alipowatoa wanajua namna alivyokijenga chama.

Lissu anatembelea huruma ya wanaharakati lakini kiuhalisia hajui lolote kuhusu leadership. Matatizo yote ndani ya chadema yeye alishiriki kikamilifu kuyatengeneza na ameumiza wengi sana pale. Kampeni zake zinafata mfumo wake ule ule kubomoa sio kujenga.

Najua wengi mna wasiwasi maisha ya chadema bila Lissu na kundi lake la wasaliti. Mbowe ni legend anajua anachofanya huyo Lissu nje ya chadema ni kama Mtikila tu atakuwa anafurahisha genge na kushambulia watu baaasi, hatakuwa na relevance yoyote mnamuona wa muhimu sababu ya brand ya Chadema.

Chadema imejiandaa kuwa chama cha siasa Mbowe kachoka maisha ya wanachama kuwa magerezani wengine kupoteza maisha hataki tena hiyo dhambi. Anataka chadema kiwe ni chama mbadala hata mtu aliye CCM anaweza kuingia na kufanya siasa zake bila nongwa za kina Lissu yani mfano leo umpate January au Warioba alafu anatokea mnoko kama Lissu anaanza kukwamisha wakati lengo ni kukamata dola.


Lissu apige kelele za mwisho mwisho, sasa hivi Mbowe ananoa bisu lake ifikapo January 21 watu wanakamata shingo anaelekezwa kibra kwa ajili ya kufanya sadaka ya kafara chama kipate uhai mpya.

NB: Nasikia ukikutana na Mbowe sasa hivi wimbo wake pendwa ni mtoto kautaka mtoto kautaka 🎵🎵
Njaa mbaya sasa , isingekuwa na njaa usingekula pesa na mbowe na kujitoa fahamu kiasi hiki
 
Hivi mbowe akipita kutakuwa uthubutu wa kuwaambia ccm wanang'ang'ania madaraka? Kwa hali hiyo ngoja tuendelee na ccm tu mapoyoyo bado wako wengi
Mbowe atapora ushindi wa Lisu atakuwa mwenyekiti haramu lakini sasa atakuwa kama lipumba cheyo mbatia na wenzake
 
Lissu ni mbaya wa Chadema lengo lake ni kuibomoa chadema. Anajua hashindi uongozi ila kaamua avuruge chama.
Huo ndiyo ujinga wa chawa wa mbowe kawalisha ujinga ili muone mbowe ndiyo aendelee kuwa mfalume wa chadema milele
 
Chawa wa mbowe njaa zitawaua kwani wanafikiri kujitoa fahamu ndiyo kumsaidia mbowe kumbe hawajui mbowe kung'ang'ania ni kutaka kuficha uovu wake madudu yake ufisadi wake ana hofu kubwa akiingia mwenyekiti mpya ataumbuka kwa vingi
 
Freeman Mbowe ndio mwanasiasa wa upinzani mahiri kuwai kutokea tangu Tanzania iumbwe, anaebisha ilo ni mjinga.

Amewaacha mbali sana wanasiasa wote wa upinzani mtu pekee aliyekuwa anamkaribia Mbowe ni Maalim Seif.

Ni mwanasiasa wa mfano na role model kwa kuwa anaweza kukusanya pesa na raslimali kwa ajili ya kuendesha na kujenga chama.

Ana maono ya hali ya juu hapa wakati nyinyi mnabishana na kuiangalia 2025 yeye Mbowe anaitazama zaidi 2030.

Ana wafuasi watiifu na wenye kumpenda kwa dhati na wako tayari kumuunga mkono kwa lolote.

Ana ujasiri na maamuzi magumu ambayo wengi huja kuyaelewa mwishoni ( hata ili la Lissu mtamuelewa baadae).

Ni mbunifu sana ndio maana amekuwa kwenye siasa za upinzani kwa muda mrefu bila kuchuja wala kuboa na bado anahitajika sana.

Pia ni team player anaeweza kujenga timu na kuwaunganisha watu wa aina tofauti tofauti, pale chadema kuna vichaa wengi sana ila anawamudu vizuri sana na anasikilizwa na wote.

Mbowe ndio Chadema na Chadema ni Mbowe. Hakuna chadema bila Mbowe. Kama kuna mtu anaona tofauti na hili basi akapimwe akili.

Kuhusu Lissu, huyu mwanahakati hafai na hana uwezo wa kuongoza chama kikuu cha upinzani. Lissu ni wale wanasiasa wanapewa maiki jukwaani na kuanza kushambulia watu hajui ilo jukwaa limetoka wapi, hajui umati umejaa pale zimetumika efforts zipi, hajui mafuta ya magari yametoka wapi yeye ni mzuri wa kushambulia sio kujenga. Ndio maana hana history yoyote ya kufanya jambo la kujenga.

Ataenda kuangushwa vibaya sana na Mbowe kwa kura za halali kwa kuwa Chadema wanajua umuhimu wa Mbowe na awapo tayari kumsaliti wanajua alipowatoa wanajua namna alivyokijenga chama.

Lissu anatembelea huruma ya wanaharakati lakini kiuhalisia hajui lolote kuhusu leadership. Matatizo yote ndani ya chadema yeye alishiriki kikamilifu kuyatengeneza na ameumiza wengi sana pale. Kampeni zake zinafata mfumo wake ule ule kubomoa sio kujenga.

Najua wengi mna wasiwasi maisha ya chadema bila Lissu na kundi lake la wasaliti. Mbowe ni legend anajua anachofanya huyo Lissu nje ya chadema ni kama Mtikila tu atakuwa anafurahisha genge na kushambulia watu baaasi, hatakuwa na relevance yoyote mnamuona wa muhimu sababu ya brand ya Chadema.

Chadema imejiandaa kuwa chama cha siasa Mbowe kachoka maisha ya wanachama kuwa magerezani wengine kupoteza maisha hataki tena hiyo dhambi. Anataka chadema kiwe ni chama mbadala hata mtu aliye CCM anaweza kuingia na kufanya siasa zake bila nongwa za kina Lissu yani mfano leo umpate January au Warioba alafu anatokea mnoko kama Lissu anaanza kukwamisha wakati lengo ni kukamata dola.


Lissu apige kelele za mwisho mwisho, sasa hivi Mbowe ananoa bisu lake ifikapo January 21 watu wanakamata shingo anaelekezwa kibra kwa ajili ya kufanya sadaka ya kafara chama kipate uhai mpya.

NB: Nasikia ukikutana na Mbowe sasa hivi wimbo wake pendwa ni mtoto kautaka mtoto kautaka
Kama sio Lissu kutangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti, hizi ngonjera zisingewahi sikika. Uchaguzi ungeisha kimyakimya.

Nani amewahi sikia sera au kampeni yoyote Mbowe amewahi fanya toka awe Mwenyekiti wa Chadema, alikuwa hana ushindani wala hajawahi shindania hiyo nafasi.
 
MBOWE ni mwanasiasa mnafiki sana lakini unafiki wake imekaa kimkakati sana kiasi kwamba unahitaji akili ya ziada kuutambua unafiki wake.....

Kinachozidi kutia shaka kuwa ni pandikizi la CCM kwenye siasa za upinzani ni kitendo cha yeye kupiganiwa na CCM ili abakie madarakani.....ni mambo yaliyokuwa dhahiri kuwa kuna kitu nyuma ya pazia.......

Harakati za CCM na butwaa la CCM ukijumlisha na nguvu kubwa inayotumika na CCM kukazania Mbowe abakie kwenye kiti na propaganda zinazoenezwa na CCM kumzuia Lissu vinazidi kutufunua akili zetu na kuuona unafiki wa Mbowe......

Kwa kifupi watu wenye uelewa mpana wa mambo ya kisiasa wameshatoka kwenye giza la ujinga kwa kushuhudia haya yanayoendelea na majibu yapo kichwani........

Nadhani baada ya uchaguzi mambo ndani ya chama hayatakuwa kama zamani......
 
Freeman Mbowe ndio mwanasiasa wa upinzani mahiri kuwai kutokea tangu Tanzania iumbwe, anaebisha ilo ni mjinga.

Amewaacha mbali sana wanasiasa wote wa upinzani mtu pekee aliyekuwa anamkaribia Mbowe ni Maalim Seif.

Ni mwanasiasa wa mfano na role model kwa kuwa anaweza kukusanya pesa na raslimali kwa ajili ya kuendesha na kujenga chama.

Ana maono ya hali ya juu hapa wakati nyinyi mnabishana na kuiangalia 2025 yeye Mbowe anaitazama zaidi 2030.

Ana wafuasi watiifu na wenye kumpenda kwa dhati na wako tayari kumuunga mkono kwa lolote.

Ana ujasiri na maamuzi magumu ambayo wengi huja kuyaelewa mwishoni ( hata ili la Lissu mtamuelewa baadae).

Ni mbunifu sana ndio maana amekuwa kwenye siasa za upinzani kwa muda mrefu bila kuchuja wala kuboa na bado anahitajika sana.

Pia ni team player anaeweza kujenga timu na kuwaunganisha watu wa aina tofauti tofauti, pale chadema kuna vichaa wengi sana ila anawamudu vizuri sana na anasikilizwa na wote.

Mbowe ndio Chadema na Chadema ni Mbowe. Hakuna chadema bila Mbowe. Kama kuna mtu anaona tofauti na hili basi akapimwe akili.

Kuhusu Lissu, huyu mwanahakati hafai na hana uwezo wa kuongoza chama kikuu cha upinzani. Lissu ni wale wanasiasa wanapewa maiki jukwaani na kuanza kushambulia watu hajui ilo jukwaa limetoka wapi, hajui umati umejaa pale zimetumika efforts zipi, hajui mafuta ya magari yametoka wapi yeye ni mzuri wa kushambulia sio kujenga. Ndio maana hana history yoyote ya kufanya jambo la kujenga.

Ataenda kuangushwa vibaya sana na Mbowe kwa kura za halali kwa kuwa Chadema wanajua umuhimu wa Mbowe na awapo tayari kumsaliti wanajua alipowatoa wanajua namna alivyokijenga chama.

Lissu anatembelea huruma ya wanaharakati lakini kiuhalisia hajui lolote kuhusu leadership. Matatizo yote ndani ya chadema yeye alishiriki kikamilifu kuyatengeneza na ameumiza wengi sana pale. Kampeni zake zinafata mfumo wake ule ule kubomoa sio kujenga.

Najua wengi mna wasiwasi maisha ya chadema bila Lissu na kundi lake la wasaliti. Mbowe ni legend anajua anachofanya huyo Lissu nje ya chadema ni kama Mtikila tu atakuwa anafurahisha genge na kushambulia watu baaasi, hatakuwa na relevance yoyote mnamuona wa muhimu sababu ya brand ya Chadema.

Chadema imejiandaa kuwa chama cha siasa Mbowe kachoka maisha ya wanachama kuwa magerezani wengine kupoteza maisha hataki tena hiyo dhambi. Anataka chadema kiwe ni chama mbadala hata mtu aliye CCM anaweza kuingia na kufanya siasa zake bila nongwa za kina Lissu yani mfano leo umpate January au Warioba alafu anatokea mnoko kama Lissu anaanza kukwamisha wakati lengo ni kukamata dola.


Lissu apige kelele za mwisho mwisho, sasa hivi Mbowe ananoa bisu lake ifikapo January 21 watu wanakamata shingo anaelekezwa kibra kwa ajili ya kufanya sadaka ya kafara chama kipate uhai mpya.

NB: Nasikia ukikutana na Mbowe sasa hivi wimbo wake pendwa ni mtoto kautaka mtoto kautaka 🎵🎵
Hivi hizi nyuzi mnaandikiwa na nani? Maana mode of writing ni copyright
 
Kama sio Lissu kutangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti, hizi ngonjera zisingewahi sikika. Uchaguzi ungeisha kimyakimya.

Nani amewahi sikia sera au kampeni yoyote Mbowe amewahi fanya toka awe Mwenyekiti wa Chadema, alikuwa hana ushindani wala hajawahi shindania hiyo nafasi.
Chadema inamuhitaji Mbowe kuliko Mbowe anavyohiitaji Chadema.
 
MBOWE ni mwanasiasa mnafiki sana lakini unafiki wake imekaa kimkakati sana kiasi kwamba unahitaji akili ya ziada kuutambua unafiki wake.....

Kinachozidi kutia shaka kuwa ni pandikizi la CCM kwenye siasa za upinzani ni kitendo cha yeye kupiganiwa na CCM ili abakie madarakani.....ni mambo yaliyokuwa dhahiri kuwa kuna kitu nyuma ya pazia.......

Harakati za CCM na butwaa la CCM ukijumlisha na nguvu kubwa inayotumika na CCM kukazania Mbowe abakie kwenye kiti na propaganda zinazoenezwa na CCM kumzuia Lissu vinazidi kutufunua akili zetu na kuuona unafiki wa Mbowe......

Kwa kifupi watu wenye uelewa mpana wa mambo ya kisiasa wameshatoka kwenye giza la ujinga kwa kushuhudia haya yanayoendelea na majibu yapo kichwani........

Nadhani baada ya uchaguzi mambo ndani ya chama hayatakuwa kama zamani......
Nafikiri tuache uoga kwa kuwa mnaamini Lissu ndio hitaji la wanachadema kwa sasa basi twende kwenye kisanduku cha kula alafu tutajua mwanaume ni nani.
 
Mbowe atapora ushindi wa Lisu atakuwa mwenyekiti haramu lakini sasa atakuwa kama lipumba cheyo mbatia na wenzake
Mbowe hawezi kuwa kama Lipumba, never. Mbowe ataendelea kuwa hot kwenye siasa za Tanzania sababu amejaa mikakati mikubwa. Anajua pros and cons ya yeye kushindana na Lissu na ataenda mchapa makofi mabaya sana alafu atarudiaha chama kwenye ubora wake.
 
Zipi hizo wakati CCM anaenda tena kuzoa majimbo yote huku yeye akichekelea tu maridhiano. Tunahitaji radical opposition ndio tutaona mabadiliko
Hiyo radical opposition ifanywe na watanzania awa awa?

Lisa kikinuka anapanda ndege anatukimbia hana ujasiri wowote ni joga la kutupwa.

Mbowe anataka siasa zinazoendana na nature ya watanzania.
 
Back
Top Bottom