Pre GE2025 Jinsi Freeman Mbowe anavyoenda kumfuta Lissu kwenye siasa za Tanzania

Pre GE2025 Jinsi Freeman Mbowe anavyoenda kumfuta Lissu kwenye siasa za Tanzania

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbona mbona anambunnge mmoja 😆😆
Wakati unamsifia Mbowe kuleta mridhiano, watu wenu mbona wazidi kupotea na wengine kuteswa kama mdude, au kufa kama yule Mzee kibali, Mimi nilitarajia kiongozi wenu Mbowe angekuja na hoja za maridhiano zenye msingi, Mfano angeeleza namna mheshimiwa rais alivyochukua hatua za kuwalinda watu wenu. Kuwaacha mfanye Siasa bila vikwazo.
 
Lissu wafuasi wake kina Sativa na Mdude nafikiri unajua whats next
Hawa si mnawashughulikia; ama?

IMG-20241229-WA0032.jpg
 
Freeman Mbowe ndio mwanasiasa wa upinzani mahiri kuwai kutokea tangu Tanzania iumbwe, anaebisha ilo ni mjinga.

Amewaacha mbali sana wanasiasa wote wa upinzani mtu pekee aliyekuwa anamkaribia Mbowe ni Maalim Seif.

Ni mwanasiasa wa mfano na role model kwa kuwa anaweza kukusanya pesa na raslimali kwa ajili ya kuendesha na kujenga chama.

Ana maono ya hali ya juu hapa wakati nyinyi mnabishana na kuiangalia 2025 yeye Mbowe anaitazama zaidi 2030.

Ana wafuasi watiifu na wenye kumpenda kwa dhati na wako tayari kumuunga mkono kwa lolote.

Ana ujasiri na maamuzi magumu ambayo wengi huja kuyaelewa mwishoni ( hata ili la Lissu mtamuelewa baadae).

Ni mbunifu sana ndio maana amekuwa kwenye siasa za upinzani kwa muda mrefu bila kuchuja wala kuboa na bado anahitajika sana.

Pia ni team player anaeweza kujenga timu na kuwaunganisha watu wa aina tofauti tofauti, pale chadema kuna vichaa wengi sana ila anawamudu vizuri sana na anasikilizwa na wote.

Mbowe ndio Chadema na Chadema ni Mbowe. Hakuna chadema bila Mbowe. Kama kuna mtu anaona tofauti na hili basi akapimwe akili.

Kuhusu Lissu, huyu mwanahakati hafai na hana uwezo wa kuongoza chama kikuu cha upinzani. Lissu ni wale wanasiasa wanapewa maiki jukwaani na kuanza kushambulia watu hajui ilo jukwaa limetoka wapi, hajui umati umejaa pale zimetumika efforts zipi, hajui mafuta ya magari yametoka wapi yeye ni mzuri wa kushambulia sio kujenga. Ndio maana hana history yoyote ya kufanya jambo la kujenga.

Ataenda kuangushwa vibaya sana na Mbowe kwa kura za halali kwa kuwa Chadema wanajua umuhimu wa Mbowe na awapo tayari kumsaliti wanajua alipowatoa wanajua namna alivyokijenga chama.

Lissu anatembelea huruma ya wanaharakati lakini kiuhalisia hajui lolote kuhusu leadership. Matatizo yote ndani ya chadema yeye alishiriki kikamilifu kuyatengeneza na ameumiza wengi sana pale. Kampeni zake zinafata mfumo wake ule ule kubomoa sio kujenga.

Najua wengi mna wasiwasi maisha ya chadema bila Lissu na kundi lake la wasaliti. Mbowe ni legend anajua anachofanya huyo Lissu nje ya chadema ni kama Mtikila tu atakuwa anafurahisha genge na kushambulia watu baaasi, hatakuwa na relevance yoyote mnamuona wa muhimu sababu ya brand ya Chadema.

Chadema imejiandaa kuwa chama cha siasa Mbowe kachoka maisha ya wanachama kuwa magerezani wengine kupoteza maisha hataki tena hiyo dhambi. Anataka chadema kiwe ni chama mbadala hata mtu aliye CCM anaweza kuingia na kufanya siasa zake bila nongwa za kina Lissu yani mfano leo umpate January au Warioba alafu anatokea mnoko kama Lissu anaanza kukwamisha wakati lengo ni kukamata dola.


Lissu apige kelele za mwisho mwisho, sasa hivi Mbowe ananoa bisu lake ifikapo January 21 watu wanakamata shingo anaelekezwa kibra kwa ajili ya kufanya sadaka ya kafara chama kipate uhai mpya.

NB: Nasikia ukikutana na Mbowe sasa hivi wimbo wake pendwa ni mtoto kautaka mtoto kautaka 🎵🎵
Hapana. Mbowe? Hapana! Yupo pale chadema just for business. Hatuwezi kuwa na rundo la vyama vya siasa kwa ajili ya biashara binafsi. Tunataka vyama vyenye uthubutu wa kushika Dola na ku challenge chama tawala kwa nguvu ile ile na siyo kuishia kuwekwa kwenye mifuko kama ilivyosasa. Ni ujinga kubeza dhamira ya Lissu. Ni ujinga kudhani mbowe ni mahiri kwa muda wa miaka 30+ ya siasa bila kufikia target. Kama chadema ni chama rafiki wa chama tawala sawa. Mnaobeza Nia ya Lissu ni kwasababu mpo CCM na mnadhani huyu akiwa mwenyekiti 2025 ushindani utakuwa mkali.
 
Ni kweli TL anafutwa kwenye siasa za nchi yetu. Ataenda kujiunga na Dr Slaa kwenye siasa za Club House. Dr Slaa alifutwa kwa tabia kama hizo za Lissu
 
Taka
Freeman Mbowe ndio mwanasiasa wa upinzani mahiri kuwai kutokea tangu Tanzania iumbwe, anaebisha ilo ni mjinga.

Amewaacha mbali sana wanasiasa wote wa upinzani mtu pekee aliyekuwa anamkaribia Mbowe ni Maalim Seif.

Ni mwanasiasa wa mfano na role model kwa kuwa anaweza kukusanya pesa na raslimali kwa ajili ya kuendesha na kujenga chama.

Ana maono ya hali ya juu hapa wakati nyinyi mnabishana na kuiangalia 2025 yeye Mbowe anaitazama zaidi 2030.

Ana wafuasi watiifu na wenye kumpenda kwa dhati na wako tayari kumuunga mkono kwa lolote.

Ana ujasiri na maamuzi magumu ambayo wengi huja kuyaelewa mwishoni ( hata ili la Lissu mtamuelewa baadae).

Ni mbunifu sana ndio maana amekuwa kwenye siasa za upinzani kwa muda mrefu bila kuchuja wala kuboa na bado anahitajika sana.

Pia ni team player anaeweza kujenga timu na kuwaunganisha watu wa aina tofauti tofauti, pale chadema kuna vichaa wengi sana ila anawamudu vizuri sana na anasikilizwa na wote.

Mbowe ndio Chadema na Chadema ni Mbowe. Hakuna chadema bila Mbowe. Kama kuna mtu anaona tofauti na hili basi akapimwe akili.

Kuhusu Lissu, huyu mwanahakati hafai na hana uwezo wa kuongoza chama kikuu cha upinzani. Lissu ni wale wanasiasa wanapewa maiki jukwaani na kuanza kushambulia watu hajui ilo jukwaa limetoka wapi, hajui umati umejaa pale zimetumika efforts zipi, hajui mafuta ya magari yametoka wapi yeye ni mzuri wa kushambulia sio kujenga. Ndio maana hana history yoyote ya kufanya jambo la kujenga.

Ataenda kuangushwa vibaya sana na Mbowe kwa kura za halali kwa kuwa Chadema wanajua umuhimu wa Mbowe na awapo tayari kumsaliti wanajua alipowatoa wanajua namna alivyokijenga chama.

Lissu anatembelea huruma ya wanaharakati lakini kiuhalisia hajui lolote kuhusu leadership. Matatizo yote ndani ya chadema yeye alishiriki kikamilifu kuyatengeneza na ameumiza wengi sana pale. Kampeni zake zinafata mfumo wake ule ule kubomoa sio kujenga.

Najua wengi mna wasiwasi maisha ya chadema bila Lissu na kundi lake la wasaliti. Mbowe ni legend anajua anachofanya huyo Lissu nje ya chadema ni kama Mtikila tu atakuwa anafurahisha genge na kushambulia watu baaasi, hatakuwa na relevance yoyote mnamuona wa muhimu sababu ya brand ya Chadema.

Chadema imejiandaa kuwa chama cha siasa Mbowe kachoka maisha ya wanachama kuwa magerezani wengine kupoteza maisha hataki tena hiyo dhambi. Anataka chadema kiwe ni chama mbadala hata mtu aliye CCM anaweza kuingia na kufanya siasa zake bila nongwa za kina Lissu yani mfano leo umpate January au Warioba alafu anatokea mnoko kama Lissu anaanza kukwamisha wakati lengo ni kukamata dola.


Lissu apige kelele za mwisho mwisho, sasa hivi Mbowe ananoa bisu lake ifikapo January 21 watu wanakamata shingo anaelekezwa kibra kwa ajili ya kufanya sadaka ya kafara chama kipate uhai mpya.

NB: Nasikia ukikutana na Mbowe sasa hivi wimbo wake pendwa ni mtoto kautaka mtoto kautaka 🎵🎵
Taka taka
 
Freeman Mbowe ndio mwanasiasa wa upinzani mahiri kuwai kutokea tangu Tanzania iumbwe, anaebisha ilo ni mjinga.

Amewaacha mbali sana wanasiasa wote wa upinzani mtu pekee aliyekuwa anamkaribia Mbowe ni Maalim Seif.

Ni mwanasiasa wa mfano na role model kwa kuwa anaweza kukusanya pesa na raslimali kwa ajili ya kuendesha na kujenga chama.

Ana maono ya hali ya juu hapa wakati nyinyi mnabishana na kuiangalia 2025 yeye Mbowe anaitazama zaidi 2030.

Ana wafuasi watiifu na wenye kumpenda kwa dhati na wako tayari kumuunga mkono kwa lolote.

Ana ujasiri na maamuzi magumu ambayo wengi huja kuyaelewa mwishoni ( hata ili la Lissu mtamuelewa baadae).

Ni mbunifu sana ndio maana amekuwa kwenye siasa za upinzani kwa muda mrefu bila kuchuja wala kuboa na bado anahitajika sana.

Pia ni team player anaeweza kujenga timu na kuwaunganisha watu wa aina tofauti tofauti, pale chadema kuna vichaa wengi sana ila anawamudu vizuri sana na anasikilizwa na wote.

Mbowe ndio Chadema na Chadema ni Mbowe. Hakuna chadema bila Mbowe. Kama kuna mtu anaona tofauti na hili basi akapimwe akili.

Kuhusu Lissu, huyu mwanahakati hafai na hana uwezo wa kuongoza chama kikuu cha upinzani. Lissu ni wale wanasiasa wanapewa maiki jukwaani na kuanza kushambulia watu hajui ilo jukwaa limetoka wapi, hajui umati umejaa pale zimetumika efforts zipi, hajui mafuta ya magari yametoka wapi yeye ni mzuri wa kushambulia sio kujenga. Ndio maana hana history yoyote ya kufanya jambo la kujenga.

Ataenda kuangushwa vibaya sana na Mbowe kwa kura za halali kwa kuwa Chadema wanajua umuhimu wa Mbowe na awapo tayari kumsaliti wanajua alipowatoa wanajua namna alivyokijenga chama.

Lissu anatembelea huruma ya wanaharakati lakini kiuhalisia hajui lolote kuhusu leadership. Matatizo yote ndani ya chadema yeye alishiriki kikamilifu kuyatengeneza na ameumiza wengi sana pale. Kampeni zake zinafata mfumo wake ule ule kubomoa sio kujenga.

Najua wengi mna wasiwasi maisha ya chadema bila Lissu na kundi lake la wasaliti. Mbowe ni legend anajua anachofanya huyo Lissu nje ya chadema ni kama Mtikila tu atakuwa anafurahisha genge na kushambulia watu baaasi, hatakuwa na relevance yoyote mnamuona wa muhimu sababu ya brand ya Chadema.

Chadema imejiandaa kuwa chama cha siasa Mbowe kachoka maisha ya wanachama kuwa magerezani wengine kupoteza maisha hataki tena hiyo dhambi. Anataka chadema kiwe ni chama mbadala hata mtu aliye CCM anaweza kuingia na kufanya siasa zake bila nongwa za kina Lissu yani mfano leo umpate January au Warioba alafu anatokea mnoko kama Lissu anaanza kukwamisha wakati lengo ni kukamata dola.


Lissu apige kelele za mwisho mwisho, sasa hivi Mbowe ananoa bisu lake ifikapo January 21 watu wanakamata shingo anaelekezwa kibra kwa ajili ya kufanya sadaka ya kafara chama kipate uhai mpya.

NB: Nasikia ukikutana na Mbowe sasa hivi wimbo wake pendwa ni mtoto kautaka mtoto kautaka 🎵🎵
Ni UONGO kabisa, ila wewe bunaona hivyo kwasababu anakubalika na Serikali kwa makubaliano MAALUMU ya kuramba ASALI, chini yake hana Nia ya kutwaa Dola, anasaidia CCM kubaki MADARAKANI!!!!

CHADEMA chini ya MBOWE SIO CHAMA CHA UPINZANI
 
Ccm ndo wanamtetea mbowe wanajua Lissu akichukua nafasi anatia mchanga chakula ya wachumia tumbo wa ccm.

Nkurunzinza mbowe akae penmbeni miaka 30 ya kuchumia tumbo inatosha
 
kama lissu akishinda
he is going to ruin our beautiful chadema ever
Aint no such as beautiful chadema, either get aggressive or dont , siasa za upinzan dont need soft leaders miaka hii, angalia nchi zingine vyama vya upinzani vikoje
So aggresive
 
Chama ni wanachama na sio kuungwa mkono na machawa.
Mbowe muda wake ulishapita
 
Kati ya kura 1,200, Lissu akiokota walau 50 ni kidume.
Chama ni wanachama na sio kuungwa mkono na machawa.
Huku mawilani tumeshawapa msimamo wajumbe wanaotuwakilisha.
Wakifanya makosa chama watakiua na watabaki wao na mbowe.
 
Mwaka huu Lissu atawafurahisheni kudadeq, unadhani Kuna mwana chadema yeyote mwenye akili timamu Bado anamuamini mbowe???
 
Back
Top Bottom